BAKWATA: Wasichana wa umri wa miaka 14 waendelee kuolewa

Maelezo mengi ila nikurahisishie

Wanafuata Sunna ya Muhammad alioa mtoto wa miaka 6 na akamuingilia alivyo fikisha miaka 9

Na Kuna nchi za kiislamu zinafuata hivyo , ndio unaona wanaona angalau 14 sio mbaya
 
Sheria ya ndoa limetunga bunge baada ya kujiridhisha kuwa mtoto wakike akisha fikia miaka husika kwa usimamizi wa mahakama aweza olewa hata sasa walioko mitaani wakijiuza pamoja na wewe bikizee ni hao miaka 12 13 14 hata walio pigwa mimba mwaka huu walio rudi shule na vichanga ni umri huo sijui mapovu unatoa ya nini au unafurahika makahaba mnavio ongezeka
 
Na hili ndilo swala ambalo wengi hawajiulizi, kuwa hawa viongozi wa kiimani watakuwa na ajenda ya kuharibu jamii na kuidhoofu?!
Wanachotaka ni Sunna kutoka kwa Muhammad
Alioa mtoto wa miaka 6 akamuingilia alivyofikisha miaka 9 , ndio umeona wameona hiyo 14 haiko mbali Sana , maana wanajua wangependekeza 9 wangedharaulika na jamii
 
Kwamba utaruhusu aolewe akiwa na miaka 14 (mhitimu darasa la saba)?
Kama anatoloka usiku kufuata bwana kuepusha kulea wajukuu bora aolewe lakini kama katulia anapiga kitabu asome tu
 
Miaka 14 ndio wanao nyonyesha unasema ni watoto?kukataa kwako ukweli akumfanyi binti miaka 14 anae nyonyesha kuwa mtoto
Wewe nimekwambia adhabu Yako tukikukuta na mtoto ni kukuta makende na sime ,
 
Wewe tamaduni zako zilizo andikwa kwenye kitabu chako mtoto wa kike akisha vunja uongo kinacho fatia nn?
 
Ulipo wewe kahaba sema polepole tunakujua kila mwanaume anae simamisha anapenda hiyo kitu labda wewe khanithi kama mtume Paulo
 
huu ndo upuuzi wa kusema mahakama ni chombo huru sijui taka taka ganiii...sasa sheria ya kingese kama hii serikali kuifuta mpaka waanze kusumbuana na mahakama no wonder kenya wanapitisha ushoga kisa mahakama zilizojaa WAAFRIKA WENYE NJAA WAPUUZI.
Wewe sio muafirika sio
 
Atakayeolewa mipaka 14 hayupo shule mzee,wa shuleni haoleki kwa mujibu wa Sheria,je mabinti wote tz wenye miaka 14+huwa wapo shule!?..Kama hawapo hufanya nini mtaani,hawaleti watoto wa mitaani!?
Huu mjadala unahitaji utulivu wa hali ya juu sana kujadili.
 
Mwaka huu 2023 mabiti wapatao 6000 wenye miaka 14 13 ndio walio ludishwa shuleni kwa huluma ya mm samia,mpumbafu ni yule anae shindana na maumbile ya mungu kama kanisa heti padri asioe maisha matokeo yake ni kufira watoto na wao kuwa mashoga
 
Hacha kujitoa akili wewe mtoto maisha anza kutokwa damu kila mwezi kaja mtu kumuoa usimuozeshe hili umlala wewe au
 
Gusu mtoto nikukute kijana ndio utajua sime inamakali kiasi gani ikipitia makende
Hahahahhaha hata muwe milioni nina wake wawili hivi ninavyo zungumza na wewe na mmoja ana miaka 17 katimiza jana pumba wewe mnaongea humu mitandaoni lakin uhalisia on ground mambo yanaendelea kama kawaida

Na wake wote wako na furaha

Bikira maria anakusalimia

Karibu futari iliyo shiba kuna kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…