Kwamba bakwata wamezungumzia kulazimisha mabinti kuolewa!!Utakuta mtu msomi kama Prof Assad na yeye anaunga mkono huu upuuzi, ila yeye mabinti zake, mpaka wa umri wa miaka 30 wapo nyumbani au wanajitegemea na mzazi Wala hawakazimishi kuolewa, anawapa msaada wajikuze kielimu na kifedha.
Hizi sheria za bakwata ni kwa mabinti wa familia choka mbaya tu,Ili kuvipiga pipe vibinti vyao,visivyo na akili, vinawekwa ndani, kazi yao ni kuoga, kupika, kujiremba na kutembezewa rungu tu! na akikutana na Basha kama mie, mpaka msambwanda unaliwa
Kwa hiyo waolewe? Ndio suluhisho halafNi kweli wote wanaomaliza la Saba(miaka 14) huendelea na masomo!?..wanaokwama kusoma wafanyeje!?..wapate uzoefu wa ngono mitaani mpaka watapofika miaka 18!?
yaani inashangaza sana. mtu anaweza akapotosha jamii kwa kiwango hicho anaaminiwaje hata anakuwa kiongozi wa kiroho?... hata hao maustaadhi wenye elimu zao sioni wa kuruhusu mwanae aolewe at 14! Wanacheza na akili za wajinga wasiojielewa! Eti binti wa SSB au wa mama aolewe at 14! Thubutu!
Samaki akioza mmoja ..... Haha ahaaKwahiyo, mapepe mmoja afanye kundi zima lipotee..!!??? Vipi kama mtaani kwenu kuna mashoga..!!???
9 ni kufanya naye mapenzi... kuoa ni 6 kabisa kama alivyofanya mtumeHii siyo sawa mbona hatufuati sunna za mtume hii 14 imetokea wapi na umri ni 9?
Hapana... alioa wa miaka 6 ila akafanya naye mapenzi akiwa na miaka 9Mtume alioa mtoto wa miaka tisa
Punguza jazba mzee mudi alioa mwanamke anamiaka 7 tu.Yaani mtu amesoma sheria mpaka kuwa mwanasheria mkuu wa Bakwata haoni aibu kuongea Upumbavu kama huu...?...anajua mtoto wa miaka 14 alivyo? Kweli ataweza kubeba majukumu ya kuwa mke achilia mbali kuwa mama? Na shule je?.
Aisee...inasikitisha sana.
Sawa... sasa wametoka wapi na hiyo 14?Quran na sunna zikishasema ni zimesema
Kama haendelei na sekondari si aende kujifunza stadi za maisha kama kushona nguo n.k?Kwamba wote wamalizao la Saba huendelea na sekondari
Sina mtoto wa kike, Dada zangu wote ni over 21Kwa hiyo Ndio uhalilishe wanaume mtafurahia kwa sababu mnavibaka hivyo vitoto we mtoto wako miaka 14 utakubali aolewe?
Jibu swali, acha maneno mengi au shule ulienda somea ujinga?Inahusu nini kuolewa kwangu, wakati hapa inaongelewa sheria ya nchi na sheria ya dini.
Kwani sheria za nchi zilitazama nani kaolewa lini?
Mwanamke ni kiumbe cha ajabu sana,huyo miaka 14 akiolewa utashangaa anavyobadilika na anayamudu vizur tu majukumu yake hata akiwa na watoto anawatunza vzur tu na biashara wanafanya za kukizi mahitaj ya familiaYaani mtu amesoma sheria mpaka kuwa mwanasheria mkuu wa Bakwata haoni aibu kuongea Upumbavu kama huu...?...anajua mtoto wa miaka 14 alivyo? Kweli ataweza kubeba majukumu ya kuwa mke achilia mbali kuwa mama? Na shule je?.
Aisee...inasikitisha sana.
Basi waachwe wapelekewe motooooMapepe akiolewa itasaidia kutulia?
Binti akitaka?kama ni binti yangu wa miaka 14 umlazimishe umuoe hata kwa kumsomea albadiri ujue kwangu bado ni ubakaji. Nikishindwa kukushughulikia kisheria nitatumia njia nyingine kukumaliza
Hao uliowataja mabinti zao wote wako over age, labda wajukuu wao... hata hao maustaadhi wenye elimu zao sioni wa kuruhusu mwanae aolewe at 14! Wanacheza na akili za wajinga wasiojielewa! Eti binti wa SSB au wa mama aolewe at 14! Thubutu!
Unataka tuowe mabwawa ta mteraSikubalian nao kabisa binti wa 14 ni ubakaji wa watoto tena wafungwe maisha.
Watoto wahimizwe kusoma ili kuondoa ujinga kichwan na sio kuwaza waolewe tu ndoa zenyewe
Wataka sema kina fulani hawana akili?Wakati TEC Wanapendekeza Viongozi waondolewe Kinga ya kutoshitakiwa, yaani wote tuwe Sawa Mbele ya sheria, Hawa wenzetu wanapendekeza watoto wa miaka 11, 12 ,13 ,14 waruhusiwe kuolewa, kupanga ni kuchagua ......
Alikuwa na ukame hatari au alikuwa kibamiaHapana... alioa wa miaka 6 ila akafanya naye mapenzi akiwa na miaka 9
acha uongo ili kuficha aibu ,Aisha( R.A) aliolewa akiwa na miaka 6 na alianza kuingiliwa na mtume akiwa na miaka 9Kuoa na kumuingilia ni vitu viwili tofauti,hata chini ya hapo mila za zamani walioa kabla ya Sheria za ubakaji.
Walioa wakiendelea kuishi kwa wazazi wao hadi umri uliporuhusu wa kuingiliwa ndipo wakaenda KWA waume zao.
Walichumbia kwa tafsiri ya kuoa.
Huwezi muingilia binti wa miaka 9 itaingia vipi sasa.
Kabla ya shule miaka 14 waliolewa vijijini.