Balozi Batilda Buriani: Mtoto aliyeandika Barua ya kuacha Shule, ana akili sana

Balozi Batilda Buriani: Mtoto aliyeandika Barua ya kuacha Shule, ana akili sana

Ujumbe mzuri ipo haja serikali nayo kuongeza nguvu kuzisaidia kaya maskini!
 
"MTOTO ALIYEANDIKA BARUA YA KUACHA SHULE ANA AKILI SANA" RC TABORA
"Niliongea na mkuu wa mkoa wa Mtwara baada ya kuona barua ya mtoto aliyetaka kuacha shule, nikamwambia huyu mtoto ana akili sana kwasababu haiwezekani mwanafunzi mtoro aandike barua kama hiyo, nikamwambia mkuu wa mkoa wa Mtwara mtafute huyu mtoto na kweli amemtafuta na kutatua changamoto zake na sasa amerudi shule mwenyewe, kwahiyo walimu wasaidieni watoto kuwajenga kisaikolojia"-Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Batilda Buriani katika kongamano la walimu na uchumi.

Taufiki Salumu mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule ya sekondari Msimbati Mkoani Mtwara ambaye aliandika barua ya kuacha shule kwa mwalimu mkuu wa shule hiyo amesema lengo kubwa la kutaka kuacha shule ni hali ngumu ya maisha ambayo imemlazimu yeye kuchukua maamuzi hayo.

Chanzo cha habari ni CGFM Tabora

Pia, soma:

1). Mtwara: Mwanafunzi wa kidato cha 1 aandika barua kwa Mwalimu Mkuu akisema Shule imemshinda
View attachment 2132031View attachment 2132032View attachment 2132033
Big up Taufiq hatimae umerudi shule
 
hii ndo nguvu ya sosho media. ni ajabu mjinga mmoja alitaka kuzifuta. dogo ameshauza sura. kesho utaskia anapiga indavyuu bibisii huko.
 
"MTOTO ALIYEANDIKA BARUA YA KUACHA SHULE ANA AKILI SANA" RC TABORA
"Niliongea na mkuu wa mkoa wa Mtwara baada ya kuona barua ya mtoto aliyetaka kuacha shule, nikamwambia huyu mtoto ana akili sana kwasababu haiwezekani mwanafunzi mtoro aandike barua kama hiyo, nikamwambia mkuu wa mkoa wa Mtwara mtafute huyu mtoto na kweli amemtafuta na kutatua changamoto zake na sasa amerudi shule mwenyewe, kwahiyo walimu wasaidieni watoto kuwajenga kisaikolojia"-Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Batilda Buriani katika kongamano la walimu na uchumi.

Taufiki Salumu mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule ya sekondari Msimbati Mkoani Mtwara ambaye aliandika barua ya kuacha shule kwa mwalimu mkuu wa shule hiyo amesema lengo kubwa la kutaka kuacha shule ni hali ngumu ya maisha ambayo imemlazimu yeye kuchukua maamuzi hayo.

Chanzo cha habari ni CGFM Tabora

Pia, soma:

1). Mtwara: Mwanafunzi wa kidato cha 1 aandika barua kwa Mwalimu Mkuu akisema Shule imemshinda
View attachment 2132031View attachment 2132032View attachment 2132033
Kwahyo RC wa Tabora ndio msemaji wa RC Mtwara
 
..sidhani kama Dr.Batilda alikuwa na nakala ya barua ya mtoto aliyeacha shule kabla hajatoa kauli kuhusu mtoto huyo.

..Form 1 lakini anaandika kwa kiwango cha chini sana.

..huyo mwanafunzi tatizo lake sio muandiko tu, bali hata kupangilia maneno, na kuandika kwa ufasaha, hawezi.
 
Sasa kusoma basii si afadhali hela ya daftari nikanunulie ndoano nivue samaki .Maana nashangaa wasomi wamerundikana mtaani hawana ajira
 
"MTOTO ALIYEANDIKA BARUA YA KUACHA SHULE ANA AKILI SANA" RC TABORA
"Niliongea na mkuu wa mkoa wa Mtwara baada ya kuona barua ya mtoto aliyetaka kuacha shule, nikamwambia huyu mtoto ana akili sana kwasababu haiwezekani mwanafunzi mtoro aandike barua kama hiyo, nikamwambia mkuu wa mkoa wa Mtwara mtafute huyu mtoto na kweli amemtafuta na kutatua changamoto zake na sasa amerudi shule mwenyewe, kwahiyo walimu wasaidieni watoto kuwajenga kisaikolojia"-Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Batilda Buriani katika kongamano la walimu na uchumi.

Taufiki Salumu mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule ya sekondari Msimbati Mkoani Mtwara ambaye aliandika barua ya kuacha shule kwa mwalimu mkuu wa shule hiyo amesema lengo kubwa la kutaka kuacha shule ni hali ngumu ya maisha ambayo imemlazimu yeye kuchukua maamuzi hayo.

Chanzo cha habari ni CGFM Tabora

Pia, soma:

1). Mtwara: Mwanafunzi wa kidato cha 1 aandika barua kwa Mwalimu Mkuu akisema Shule imemshinda
View attachment 2132031View attachment 2132032View attachment 2132033
Kwamba RC wa Mtwara hakustuka Mpaka RC wa Tabora alipomstua ?

No wonder Polisi wameua Mfanya Biashara since October 2021 issue imekuja kubumbuluka Feb 2022
 
Ila dogo kwenye iyo barua kuna sehemu alisema anaenda kufanya kazi za uvuvi,hapo kumshauri na dogo kurudi shule hawaoni wamemnyima haki yake ya kuwa mvuvi,huenda ameona hao waliosoma hawana kazi na yeye njia aliyoona ni kufanya uvuvi
Mwache asome atakuwa mvuvi wa watu
 
Back
Top Bottom