Mwana
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 5,439
- 1,962
Mi ni mwalimu by profession. Moja ya dalili ya intelligent person ni poor hand writing.Bright with poor handwritting
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi ni mwalimu by profession. Moja ya dalili ya intelligent person ni poor hand writing.Bright with poor handwritting
Na wengine wanaangaliaga kiinglishiMental slavery....who said brightness are maesured by looking handwriting
Huyu alikuwa wa kupewa boti na nyavu tu..Ila dogo kwenye iyo barua kuna sehemu alisema anaenda kufanya kazi za uvuvi,hapo kumshauri na dogo kurudi shule hawaoni wamemnyima haki yake ya kuwa mvuvi,huenda ameona hao waliosoma hawana kazi na yeye njia aliyoona ni kufanya uvuvi
Are you serious unaitaka tukupe ndani ya dakika 10?Namba ya simu ya Kijana au Wazazi wake yenye kupokea fedha, naipataje?
Huyu a likuta wa kupewa boti na nyavu tu.
HakikaMi ni mwalimu by profession. Moja ya dalili ya intelligent person ni poor hand writing.
Big up Taufiq hatimae umerudi shule"MTOTO ALIYEANDIKA BARUA YA KUACHA SHULE ANA AKILI SANA" RC TABORA
"Niliongea na mkuu wa mkoa wa Mtwara baada ya kuona barua ya mtoto aliyetaka kuacha shule, nikamwambia huyu mtoto ana akili sana kwasababu haiwezekani mwanafunzi mtoro aandike barua kama hiyo, nikamwambia mkuu wa mkoa wa Mtwara mtafute huyu mtoto na kweli amemtafuta na kutatua changamoto zake na sasa amerudi shule mwenyewe, kwahiyo walimu wasaidieni watoto kuwajenga kisaikolojia"-Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Batilda Buriani katika kongamano la walimu na uchumi.
Taufiki Salumu mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule ya sekondari Msimbati Mkoani Mtwara ambaye aliandika barua ya kuacha shule kwa mwalimu mkuu wa shule hiyo amesema lengo kubwa la kutaka kuacha shule ni hali ngumu ya maisha ambayo imemlazimu yeye kuchukua maamuzi hayo.
Chanzo cha habari ni CGFM Tabora
Pia, soma:
1). Mtwara: Mwanafunzi wa kidato cha 1 aandika barua kwa Mwalimu Mkuu akisema Shule imemshinda
View attachment 2132031View attachment 2132032View attachment 2132033
Kwahyo RC wa Tabora ndio msemaji wa RC Mtwara"MTOTO ALIYEANDIKA BARUA YA KUACHA SHULE ANA AKILI SANA" RC TABORA
"Niliongea na mkuu wa mkoa wa Mtwara baada ya kuona barua ya mtoto aliyetaka kuacha shule, nikamwambia huyu mtoto ana akili sana kwasababu haiwezekani mwanafunzi mtoro aandike barua kama hiyo, nikamwambia mkuu wa mkoa wa Mtwara mtafute huyu mtoto na kweli amemtafuta na kutatua changamoto zake na sasa amerudi shule mwenyewe, kwahiyo walimu wasaidieni watoto kuwajenga kisaikolojia"-Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Batilda Buriani katika kongamano la walimu na uchumi.
Taufiki Salumu mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule ya sekondari Msimbati Mkoani Mtwara ambaye aliandika barua ya kuacha shule kwa mwalimu mkuu wa shule hiyo amesema lengo kubwa la kutaka kuacha shule ni hali ngumu ya maisha ambayo imemlazimu yeye kuchukua maamuzi hayo.
Chanzo cha habari ni CGFM Tabora
Pia, soma:
1). Mtwara: Mwanafunzi wa kidato cha 1 aandika barua kwa Mwalimu Mkuu akisema Shule imemshinda
View attachment 2132031View attachment 2132032View attachment 2132033
There is a few and almost No evidence which justify the person with poor handwriting have low IQBright with poor handwritting
No it's not true at allMi ni mwalimu by profession. Moja ya dalili ya intelligent person ni poor hand writing.
Kwamba RC wa Mtwara hakustuka Mpaka RC wa Tabora alipomstua ?"MTOTO ALIYEANDIKA BARUA YA KUACHA SHULE ANA AKILI SANA" RC TABORA
"Niliongea na mkuu wa mkoa wa Mtwara baada ya kuona barua ya mtoto aliyetaka kuacha shule, nikamwambia huyu mtoto ana akili sana kwasababu haiwezekani mwanafunzi mtoro aandike barua kama hiyo, nikamwambia mkuu wa mkoa wa Mtwara mtafute huyu mtoto na kweli amemtafuta na kutatua changamoto zake na sasa amerudi shule mwenyewe, kwahiyo walimu wasaidieni watoto kuwajenga kisaikolojia"-Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Batilda Buriani katika kongamano la walimu na uchumi.
Taufiki Salumu mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule ya sekondari Msimbati Mkoani Mtwara ambaye aliandika barua ya kuacha shule kwa mwalimu mkuu wa shule hiyo amesema lengo kubwa la kutaka kuacha shule ni hali ngumu ya maisha ambayo imemlazimu yeye kuchukua maamuzi hayo.
Chanzo cha habari ni CGFM Tabora
Pia, soma:
1). Mtwara: Mwanafunzi wa kidato cha 1 aandika barua kwa Mwalimu Mkuu akisema Shule imemshinda
View attachment 2132031View attachment 2132032View attachment 2132033
Kwa huo mwamdiko?Kweli kijana yuko vizuri
Mwache asome atakuwa mvuvi wa watuIla dogo kwenye iyo barua kuna sehemu alisema anaenda kufanya kazi za uvuvi,hapo kumshauri na dogo kurudi shule hawaoni wamemnyima haki yake ya kuwa mvuvi,huenda ameona hao waliosoma hawana kazi na yeye njia aliyoona ni kufanya uvuvi