Balozi Batilda Buriani: Mtoto aliyeandika Barua ya kuacha Shule, ana akili sana

Dogo inaonekana anajua mambo mengi sana, yaani yuko smart sema mwandiko ndiyo unaweza mpiga mweleka japo siyo kesi
For sure, nilimfuatilia akihojiwa na media duuuuuu anaongea na kujenga hoja as if kamaliza chuo cha kumbukumbu ya mwl Nyerere
 
Ni kweli huyu mtoto ana akili sana.Hata alivyojieleza unaona kabisa he is bright. Nadhani atolewe aende boarding ataafanya maajabu
 
Kuna tv moja ilificha sura yake,hawa naona wamempiga picha vzur tu

Watz tupunguzen kuzaa,hata viatu huwez nunua na una miaka 45+ bado unaendelea kuzaa,nyambafu kabsa

Afu yalivyo majinga,yanakubal kupiga picha na mtoto ambaye yameshndwa kumpa mahitaj yake,eti hata chakula nacho ntatizo

Sasa hapo hayaoni kama yamejitangaza,nyambafu
 
Kwako elimu ni kukaa juu ya madawati na kuandika kwenye daftari na kujua kuandika vizuri na kujua kingereza?
 
Yule wa Njombe na yeye mlimtafuta..? Aliyesema " Mimi shule SISOMIIII... " huku akitoka machozi.
 
Bright with poor handwritting
Usichokijua ni hiki mdogo wangu mwenye muandiko mbaya huwa ana mambo mengi kichwani kwake kwa hiyo yy suala la kuandika huwa halizingatii mfano na mwenye muandiko mzuri huwa hana mambo mengi kwahiy muda anaotumia kuandika akili yake humakinika kwenye kuandika
 
For sure, nilimfuatilia akihojiwa na media duuuuuu anaongea na kujenga hoja as if kamaliza chuo cha kumbukumbu ya mwl Nyerere
Private...hivi Kabende unatumia jina gani kule Jukwaa la Mapenzi na Mahusiano!
 
Mi ni mwalimu by profession. Moja ya dalili ya intelligent person ni poor hand writing.
Hii ni uongo mkubwa huu.

Hakuna mahusiano ya mwandiko mbaya na intelligence

Wapo wenye miandiko mibaya na ni vichwa na sio kwamba vichea kwa sababu ya miandiko yao,lakini ndivyo walivyoumbwa.

Na wapo wenye miandiko mizuri nw ni vichwa na sio kwamba ni vichwa kwa sababu ya miandiko yao mizuri,bali jdivyo walivyoumbwa.

Hivyo hzi propaganda ziishe kabisa ni uongo wa wazi
 
Kwahiyo RC wa Mtwara bila kuambiwa na RC Batilda asingechukua hatua yoyote!

Nchi ngumu sana.
Hilo tatizo limemalizwa kisiasa... Lakini dogo ukimuangalia kwenye hiyo picha unaona kabisa hajarudi shule!
 

Everybody is trainable person! Kumbuka huyo ni kutoka kijijini tena kamaliza darasa la saba Kijijini. Huo ni mwandiko wa mwanafunzi wa darasa la saba tu, kwani hatuwez kusema tayari ni form one kwa maana halisi hiyo!
By the way, kugha na mwandiko vime- reflect hali halisi ya Elimu iliyopo huko Vijijini.
 

Week ya 4 au 5 tu ya kidato cha kwanza kwa mtu aliyetoka darasa la saba kijijini atajua Kiingereza?
Watu muliozaliwa na kuishi mijini pekee inaonesha hamjui kabisa hali ilivyo vijijini huko( ingawa siyo vijiji vyote)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…