Balozi Dau aletwe Bandari/TPA?

Kagame mwizi Tu Hana lolote, anaiba Mali za Congo na kupelekwa kwake
yaweza kuwa sawa anaiba kongo anapeleka Rwanda lakini Mitanzania mijizi inaiba Tanzania inapeleka ugenini sasa bora ni yupi
 
Hujui kitu unalaghai Umma,
~Miradi hii ilijengwa wakati wa awamu ya nani?
~JPM hakuwahi kuwa rafik wa Dau
~Udini NSSF wakati wa Dau waislam walikua 35% na Wakristo 65% Uongozi wa juu hsa mameneja Wakristo walikua 70% na baada ya kutoka Dau sasa Watumishi waislam wapo 12% hivi ndio Mkristo wewe unafuraika.

Kijana mdogo kuwa na wind mind ni janga
 
Ni kweli wana sifa walizopata madrasa

Kama Wana sifa za madrasa,wewe unaumia nin??

Unataka achukue sifa za kipaimara?

Tulizeni mishono waimba kwaya,msijifanye nyinyi hii nchi ni yenu,

After all mnafanya nin cha maana huko maofisin zaid ya wiizi na ufisadi
 
Daaah wa bongo mna maneno, ilo la udini ni kweli alikuwa anawapa scholarship wanafunzi wa Dini yake tu kupitia mfuko wa Nssf, baada ya kuondolewa Nssf tu marafiki zangu walikuwa wanasomeshwa na dau walishindwa kuendelea ma masomo wakaacha chuo tukawa nao mtaani.
 
Hata field ukienda na jina la kinanihii linapigwa chini...niliwahi kuwasaidia madogo kuomba hapo NSSF wale wa upande mwingine walikuwa wakikosa na upande wake walikuwa wakipata kwa miaka mitatu mfululizo, nikaelewa vigezo na masharti ya kuzingatia
 
Siungi mkono hata chembe huyu mtu ni mdini na fisadi mkubwa! Aliachwa tu basi lkn alitakiwa awe segerea.

Ufisadi gan ameufanya dau,tuwekee ushahid

Hapo kwenye udini tunashindwa kuelewa mtu akiwa Muislam nchi hii hatakiwi kuwa mtumish wa umma??

Mnataka waimba kwaya muendelee kujazana huko na kuibia serikali hadi lin??
 

That's very ridiculous comment,

Shida yenu wagalatia akili zenu mmezijaza chuki had mnashindwa kuwa na common Sense,hilo ni shirika la umma,anaweza kiongoz akachukua pesa eti akawasomeshe ndug zake kutokana na utashi wake,

Kila shirika la umma lazima liwe linafanyiwa ukaguz kila mwaka,kwann hayo madudu unayoyasema yasiwekwe waz na yakaonekana,una elimu gan ww jamaa,au una umri gan,usikute tunachart na watoto bado mko mnaish KWA shemej zenu hapa,

Reasoning ya AJabu kabisa
 
Yale mapagale magorofa yaliyopo Kigamboni yaliyotelekezwa kwa hasira ilikuwa wakati nani akiwa CEO wa NSSF?

Je kwanini yale mapagale yamesuswa kuendelezwa?

Je hasara ile itakuwaje fedha za wananchi kupotelea pale?
 
Dau huyu-huyu aliyetia hasara NSSF ?

Kindly mention,ni hasara zip dau kazileta Nssf?

And if it's so,why mwendazake asimtumbue na instead akampa ubalozi,alihofia nin??

Alihofia udini au,maana wagalatia hamuelewekii mnasimamia kwenye nin,

Very Astonishing
 
Ni taarifa ipi ya CAG ambayo iligundua eneo la pale yalipo yale mapagale magorofa kununuliwa kwa bei isiyo ya kawaida kwa ekari moja?

Mnatukumbusha machungu?
 
Kindly mention,ni hasara zip dau kazileta Nssf?

And if it's so,why mwendazake asimtumbue na instead akampa ubalozi,alihofia nin??

Alihofia udini au,maana wagalatia hamuelewekii mnasimamia kwenye nin,

Very Astonishing
haya ya udini sasa mtamalizana wenyewe huko.
 
Yale mapagale magorofa yaliyopo Kigamboni yaliyotelekezwa kwa hasira ilikuwa wakati nani akiwa CEO wa NSSF?

Je kwanini yale mapagale yamesuswa kuendelezwa?

Je hasara ile itakuwaje fedha za wananchi kupotelea pale?

Nani SASA kaacha kuyaendeleza,dau au aliefuatia baada ya Dau??

Ile ni long-term investment,ukitaka iweje sasa,kama umemuondoa na aliekuja hajaendeleza unampa lawama nani,

After all he has done a lot of things,mbona hamuvitaji badala yake mnaegemea kwenye weakness,

Hilo daraja la kigambon are you blind about that??Ameacha legacy na always legacy yake itajibeba yenyewe,


Nani alikua hiyo Nssf before Dau hajashika hatam hapo?it's a giant company na hiyo ni kutokana na utawala wake,mnabisha??

Msione vyaelea,vimeundwa...mnachojua nyinyi ni kupika chuki na majungu tuh
 
Aje atuambie sababu ya yale mapagale magorofa kutelekezwa ni nini pale Kigamboni?
 
Sasa ikawaje chini yake nssf ilikua inalipa wastaafu kwa wkt?

Sa hivi tumeweka watakatifu huko kwny mifuko ya kijamii na matokeo yake wastaafu wanakaa mpk miaka 3 hajalipwa mafao.
Huu ni mfuko ulitoa mafao duni kabisa.kwa mstaafu mwenye sifa mfanano katika ajira unaambulia nusu ya pspf au lapf.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…