Balozi Dau aletwe Bandari/TPA?

Wanya nje wana tabu sana wakisikia kapata Muislam cheo basi roho zinawauma ni wivu wa Jogoo
 
haya ya udini sasa mtamalizana wenyewe huko.

Don't you run away,mention ufisadi ambao kaufanya yeye kama yeye,na hatua zilizochukuliwa juu yake,

Kama hauna sisi tuna generalize kuwa ni yale yale,chuki za kuona waislam wasiwe na nafasi katika utendaji wowote ndan ya Taifa hili,

After all nyinyi mnafanya nin zaid zaid ya ufisadi tuh,ni ufisadi na kukimbilia kuungama KWA maaskofu wenu na kutoa sadaka makanisani...
 


Hilo daraja nalo ni swala lingine!
Kwanza pesa wanazotozwa wananchi kupita hapo ni nyingi sana .
Nani aliyetoa huo ushauri?!

Hayo ambayo unadai kuyafanya yana mambo vilevile.

Ni mfano hayo mapagale ya magorofa kama yangekamilika kwa haraka nani angefahamu yaliyofanyika?

Tumuogope Mungu!
 


Nashauri bora kuchagua kuchutama kuliko kinyume chake!
 
Huu ni mfuko ulitoa mafao duni kabisa.kwa mstaafu mwenye sifa mfanano katika ajira unaambulia nusu ya pspf au lapf.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app

Okay,tell us now...

Where is pspf,PPF,lapf,gepf n the likes?

Si zote zimeunganishwa na baado dhooful hal??

Msingi aliouweka dau Nssf had leo hilo shirika liko liquid had mnalitolea macho na kutaka kutoana roho KWA fedha za wastaafu,watu wameinvest akili pale,

Mumebakia udini,udini ooh waislam waislam

Hao waislam waliojaa hapo Nssf bas ndo wameifanya kuwa Giant hivyo mnavyoiona mnataka kusema nini SASA,

Wameperform au hawajaperfom??Prove them wrong if you can,and I know you can't wagalatia
 

What do you mean unaposema kuwa hilo daraja ni suala lingine,una appreciate au kwenye hilo daraja pia Dau kaweka udini hapo??

Kama unatozwa naul kubwa,anaekutoza naul hapo Dau au??...hayo magorofa aliekuja baada yake hajaendeleza unataka kumpa lawama nani?

Tumuogope mungu,una mungu unaemugopa wewe mgalatia,una mungu au majungu?
 
Hivi waandishi wa habari kwanini hawahoji na Mbunge wa kigamboni yale mapagale ya magorofa kwanini yametelekezwa?

Kwanini yamesuswa?

Kulikoni?

Hela za wananchi inakuwaje?
 


Hata yale mapagale ya magorofa yangekamilika kwa wakati ungesema kazi Nzuri imefanyika, lakini Je uzuri wa kazi unaipimaje? Kwa kukamilika au ni zaidi ya hivyo?

Je uadilifu ulizingatiwa?
 
Umeongea kwa Volume ya juu sana binafsi nimekuelewa

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu unauhakika na unacho kinena au chuki zako tu.
 
Mkuu asante, kumbe ndio maana yale madudu yooote ya NSSF ustaadh Dau hakuguswa na badala yake akazawadiwa ubalozi....asante JF, asante Azarel! Kumbe nilikuwa nashangilia utumbuaji "biased"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…