Balozi Dkt. Slaa: Hata mimi nimetishiwa, na hata Ubalozi wakitaka wauchukue

Balozi Dkt. Slaa: Hata mimi nimetishiwa, na hata Ubalozi wakitaka wauchukue

Mimi naona tatizo ni huu muungano wa mchongo,naona tuuvunje tu hakuna jinsi nyingine
 
HUENDA RAISI HANA SHIDA KITI CHA URAIS NDIO INA SHIDA INAHITAJI MAOMBI . KWAMBA KILA ATAKAYEKIKALIA KINABADILI MAWAZO
 
Akiwa na tonge mdomoni👇😁😁😁

Baada ya kunyanga'anywa tonge mdomoni👇😁😁😁
 
Dkt. Slaa amesema vitisho vya wanaokosoa mkataba sio tu kwa wanasheria, bali hata yeye amepokea vitisho kutokana na kukosoa yanayoendelea kwenye mkataba wa bandari.

Amesema hivi karibuni kuwa walimwambia hata Ubalozi wake watauchukua, ambapo bila kuonesha woga Slaa amesema wauchukue tu Ubalozi.

Slaa ameyazungumza hayo akiwa anazungumza na waandishi wa habari kuhusu mkataba wa bandari.

Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
Mzee wetu, mzalendo. Anasimama na ukweli, maslahi ya Taifa.
 
Samia alihongwa nini na waarabu mpaka anashindwa kuuvunja ule mkataba?

Kuendelea kukaa kimya anajionesha yeye ni kiongozi wa Tanganyika au waarabu?

Kama hatusikilizi watanganyika anaotuongoza, basi atakuwa anawasikiliza waarabu aliowapa zawadi ya bandari zetu zote milele..

Kwa hali hiyo, nikisema tuna kiongozi msaliti nitakuwa nimekosea wapi? na kwanini wanitishe nisiseme Samia ni msaliti ikiwa tabia zote za kisaliti anazo?

Wasipoteze muda kututisha, ukweli wauache usemwe, lazima utasemwa.
Inaonekana anajali zaidi maslahi ya waarabu kuliko Watanganyika.
 
Mtu mwenye ujasiri wa kunyata na kuiba sadaka madhabahuni lazima awe jasiri kusema haya.
 
Kuwaamini wanasiasa kama Silaa ambao ni sehemu ya serikali ndicho kinachopoteza malengo ya ukombozi wa Mwafrika.

Mtu yeyote aliyewahi kufanya kazi serikalini siyo wa kumwamini kabisa.
 
Haha haaa [emoji3][emoji28]

Kwamba hata wakitaka joho lao yupo tayari wachukue au sio ?!

Kweli jamaa kumbe kadhamiria na kuwa serious.

Safi sana.

Naona dawa za Josefin zimesha-expire sasa.
 
Mimi nitachelewa kumwamini tena Huyu mzee.

Maana Josefin anaweza kuja tena kumrubuni Kwa nyuma Kama wakati ule ili afanye usaliti.

Ijapokuwa ni kweli kuwa hata saa mbovu kuna wakati husoma Kwa usahihi.
 
Dr. Slaa anajidai kuwaponda UWT. Tanzania hii utapewa ubalozi kama haupo kwenye system?

Huyu ana maslahi binafsi, na ni mtu ambae hawezi kufikiri kwa kina. Amesahau kilichomkumba mrema alivyojisahau na kujaribu kuigeuka sysstem iliyomweka madarakani. wakati yeye anajulikana alikuwa pandikizi pale Chadema.
System iliishia kumwozesha bint mdogo ,au unamanisha nn
 
Back
Top Bottom