Balozi Ombeni Sefue alivyotimuliwa Ikulu kibabe usiku wa manane

Mi ningekuwa Jpm ningekimbiza mwizi kimya kimya ,sasa umtukane mzungu wakati kwenye moyo kuna betri na anayetakiwa kuifanyia service ni huyo mzungu,huo ni ujinga
 
Udukuzi uliofanywa kwa kina Nape, January, Kinana na Makamba ulikuwa unahusiana vipi na usalama wa Rais au nchi??
 
Hata huyu wa sasa nae ameiga kutolala,

Vp Mwigu na Marope wanafukuzwa lini vile!!!!
 
Sasa bila kudukua si ndo angeishi na kina nape sijui membe kumbe wanamzungukaa wanataka kumuondoaa 😀 😀 😀 😀 makamba aliamua kukaza aisee bora afe kiume. Jamaa alikuwa na maadui wengi waliokuwa kwenye system na walioijua system kuliko rais yeyote yule bongoo...
 
Mzigo gani na ulikuwa unatoka wapi unaenda wapi wee jamaa hapana dhambi nyingine za uongo mtazitubu lini
 
Udukuzi uliofanywa kwa kina Nape, January, Kinana na Makamba ulikuwa unahusiana vipi na usalama wa Rais au nchi??
kwa hiyo yale mazungumzo wew uliona ni ya kawaida?? unadhani walikuwa wanaelekea wapi kwa yale mazungumzo jamaa asingemwaga mambo hadharani kuwaumbua??
 
Umeathirika na maneno ya kukariri ya kijiweni. Magufuli alikuwa na udhaifu sana kwenye ku-deal na mambo muhimu na ndiyo maana alikuja kufa kwa korona. Unajua ni kwa nini Mo alitekwa? Kulikuwa na ulazima gani wa kumteka wakati kuna njia nyingi ambazo zingeweza kutumika? Suala la kuawa kwa Ben Saanane au Lissu kupigwa risasi ni masuala madogo sana ambayo yalifanywa kwa pupa wakati hayakustahili hata attention ya rais.
 
Mbona Membe alimwambia Bashiru wampeleke mahakamani kama ana kosa ila hawakufanya hivyo?!
kwa hiyo yale mazungumzo wew uliona ni ya kawaida?? unadhani walikuwa wanaelekea wapi kwa yale mazungumzo jamaa asingemwaga mambo hadharani kuwaumbua??
 
kwa hiyo yale mazungumzo wew uliona ni ya kawaida?? unadhani walikuwa wanaelekea wapi kwa yale mazungumzo jamaa asingemwaga mambo hadharani kuwaumbua??
Yale mazungumzo tuliyosikia ilikuwa ni sehemu ndogo sana wa mkakati waliokuwa wanapanga kina Kikwete, Membe, Mo Dewji, Kinana etc. Walikuwa hawana habari kuwa kuna mtambo unawarekodi lakini kwangu mimi naona ni bora ange deal na tatizo bila kuweka hadharani zile clip.
 
Let’s go Brandon ———— go on spin, as long as you have interested readers!
 
Mbona Membe aliwaambia wampeleke mahakamani kama wanafikiri ana kosa ila hawakumpeleka??!
Kipindi wanadukuliwa mipango yao ilikuwa inamuhusu nani?? au wewe unajua usalama wa rais ni upi??
 
Angewaita for lunch ikulu akawasikilizisha umbea wao,presha zingewqpanda
 
Huyu jamaa alikuwa akiendesha nchi kijuha na kimajumui kuliko kawaida; na hiki ndicho kilichomponza mazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…