Uchaguzi 2020 Balozi wa Japan ashangazwa na ubadhilifu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Balozi wa Japan ashangazwa na ubadhilifu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

CCM muombeni huyu mzee msamaha kabla HAJATOKA DUNIANI. Simuombei mabaya Ila moyo wake umebeba Mambo mazito sana.
Screenshot_20201105-192407.jpg
 
Nawashukuru walinipandisha ndege kwa mara ya kwanza kupiga kozi ughaibuni
Sasa panda madege ya Magufuli yamepark hapo Dar miaka kwa kukosa wapandaji kumbe upo unatumia ndege za mabeberu kwenda kwa mabeberu. Madege yapo wasafiri hawapo wanabana matumizi kwa kuwa hawajui lughà!
 
Haukuwa uchaguzi ni kupotezeana muda tu.

Hatuwezi kunyamaza na ukweli utasema waliiba kura na kuingiza kura feki.
Demokrasia ni nini? Na Je, demokrasia ina guarantee Maendeleo ya nchi?

Mwambieni Balozi Rais kasema Uchaguzi umeisha!
 
Washikirika wa mataifa makubwa wote wanatoa matamko yanayotia shaka juu mchakato mzima kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2020 na matokeo yake.

Hapa ni mtihani mkubwa kwa serikali ya CCM Mpya kuweza kuendelea kupata misaada toka kwa "wadau wa maendeleo" baada ya uchaguzi huu batili wa 2020 ulioupa CCM Mpya miaka mitano mingine.

Yetu macho tutazame kinachoendelea baada ya CCM Mpya kulazimisha kuwepo madarakani kwa njia haramu kupata madaraka ya urais na kulimiliki bunge.
 
Naomba nitoe lineage ya Ufalme kwa kule Japan wanaita Emperor.Ufalme wa kijapan umeanza miaka mingi na ni wazamani katika dunia nzima kuongozwa na familia moja.
Umeeleza fresh sana

Ila tunapofanya vitu vyetu wenyewe tufanye kwa majadiliano yaliyo wazi
Pande zote zisikilizwe,isionekane kuna watu wenye dhamira mbovu
Isisemwe upande flani ni vibaraka

Dola itumike kwa maslahi ya kila mtu
Kinacholeta sifa mbaya ni kunyamazisha upande 1
 
Naomba nitoe lineage ya Ufalme kwa kule Japan wanaita Emperor.Ufalme wa kijapan umeanza miaka mingi na ni wazamani katika dunia nzima kuongozwa na familia moja..
Ujinga unaosemwa hapa ilikuwa usemwe na Balozi wetu mtalii kule Japan ambaye anaishi nao na kuyaona yote yanayotendeka nchini humo kama Balozi wa Japan nchini anavyoishi na Watanzania na kuadhirika na yote yanayotendeka.

Bei ya Saruji au Sukari inamuadhiri pia maana anahitaji kwa matumizi yake binafsi au ya Ubalozi. Ufalme na Udikteta ni tawala mbili tofauti haziwezi kulinganishwa kwa vyovyote!
 
Watanzania wenzangu haswa wale wa kile chama cha✌🏿. Naomba mfanye uchunguzi wa kitu kinachoitwa demokrasia hapa duniani. Tena fanyeni uchunguzi wa kina.

Kifupi ni kwamba, demokrasia ni kitu ambacho tumeaminishwa na wazungu , ila kiukweli hakipo kwenye uso wa dunia tunayoishi.
Wacha nikupe mfano mdogo tu, huko uingereza wabunge na viongozi wa siasa wanabishana na kurumbana saaaana kuhusu swala la korona na lockdown.

Wapo viongozi wanaopinga lockdown, na wapo wanaokubali. Lkn siku ya mwisho chama tawala ndio chenye maamuzi ya mwisho. Sasa demokrasia iko wapi hapo? Kama ipo basi wale viongowanaopinga lockdown si wangesikilizwa?
 
Kwani democracy kwa CCM maana yake ni wizi na mauaji?
Hakuna kitu kinachoitwa democracy hapa duniani, hiyo tumedanganywa na kuaminishwa na wazungu.

Nenda kafanye uchunguzi wako kwa kina.

Mm ninaamini umoja ni nguvu na utengano ni dhaifu.

Mfumo wa vyama vingi tumeletewa na wakoloni ili tugombane na kuuana cc kwa cc ili wao waje nchini kumiliki rasilimali zetu.
 
Haturudi nyuma, hatuna muda wa kuchezea.
Balozi afanye kazi yake, mambo yetu ya ndani hayamhusu, na kama amekwazika afunge virago.
Baada ya kushiba ugali na maharage unasumbua sumbua humu eti, unasahau ukiumwa hata malaria tu pale Sinza hospitali unakutana na jengo lililojengwa kwa msaada wa Japan/Korea, Magari ya wagonjwa USAID/UKAID, Ukienda Mwenge unakutana na Wajapan Wakijenga Barabara kwa hela yao(Msaada).

Hicho kiburi kinaishia sebuleni kwako tu. Na ndivyo ilivyo kwa CCM wote waliojichagua kwa kura feki, kiburi chao kinaishia sebuleni tu. Jamaa wanaanza kupiga spana huko nje, Mtanyooka tu
 
Baada ya kushiba ugali na maharage unasumbua sumbua humu eti, unasahau ukiumwa hata malaria tu pale sinza hospitali unakutana na jengo lililojengwa kwa msaada wa Japan/Korea, Magari ya wagonjwa USAID/UKAID, Ukienda Mwenge unakutana na Wajapan Wakijenga Barabara kwa hela yao(Msaada). Hicho kiburi kinaishia sebuleni kwako tu. Na ndivyo ilivyo kwa mafisiem wote waliojichagua kwa kura feki, kiburi chao kinaishia sebuleni tu. Jamaa wanaanza kupiga spana huko nje, Mtanyooka tu
Mjapan hawezi kufanya kazi ya bure wewe. Fanya utafiti. Hakuna mchina, mjapani, muingereza, mdachi au mmarekani anayetoa msaada bila kupata faida yoyote au yeye kunufaika.

Huko nchini wanakotokea hao mnaowaita wafadhili wana matatizo chungu nzima. Sasa jiulize, kwann wasitatue matatizo waliyonayo huko nchini kwao badala yake waje kukupa msaada ww mtanzania.
 
Back
Top Bottom