Kwa hiyo yaliyotokea kwenye Uchaguzi wa Rais wa USA 2020 pia ilikua ni maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi??Balozi ana haki ya kuongelea uchaguzi wowote wa kijeshi. Ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Naomba unijibu hili [emoji1483]swali tafadhali.