Balozi wa Tanzania aliyevurunda nchi ya SADC ni nani? Rais Samia apangua mabalozi akiwepo mmoja kutoka SADC

Balozi wa Tanzania aliyevurunda nchi ya SADC ni nani? Rais Samia apangua mabalozi akiwepo mmoja kutoka SADC

Namibia ni mwanachama wa SADC,+ Kapilimba alikuwa Namibia.
= Kapilimba alikuwa haendi kazini na wala hashiriki vikao. Yupoyupo tu.
Sasa mkuu wa nchi anaanza kumchamba kachero mbobezi na aliwahi kuwa DGS wa TISS hizi ni dharau sana akumbuke TISS hastaafu kutoka kwenye mfumo labda afe. Alipelekwa na JPM kule kabla hajachomeka Diwani ambao wote amewatoa akihofia huenda wanampinga na kumkwamisha.
 
Uingereza si mwanachama wa SADC
China si mwanachama wa SADC
Kenya si mwanachama wa SADC
Namibia ni mwanachama wa SADC
Mhe. Rais alitembelea wapi na wapi hivi karibuni kwenye ukanda wa SADC?
Inatosha au niongeze sauti?
Mkuu huko vizuri sana. Yani jibu umelitoa kigreat thinker. Atakuwa tu mtaalam wa IT
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida rais Samia ameeleza kupokea ombi kutoka kwa mmoja wa marais wa nchi za SADC akimwomba rais Samia ambadilishe balozi wa Tanzania aliyeko nchini “kwake” kutokana na utendaji wake mbovu.

“Nilishakutana na Rais mwenzangu ndani ya nchi za kiafrika, ndani ya Sadc, akaniambia nimbadilishie balozi, akisema uliyeniletea hata kazini haendi, mikutano hashiriki, yupo yupo tu, hatuelewi, Tanzania hatujawazoea hivyo, sasa labda umbadilishe, nikamwambia nimekusikia,” amesema Rais Samia .

Rais aliyasena hayo jana tatehe 16 August alipokuwa akiwaapisha mabalozi wapya ikulu.

Taarifa zilizopatikana leo tarehe 17 August zinaeleza rais Samia amefanya mabadiliko katika balozi tatu moja kati ya hizo ni ubalozi uliopo nchi ya SADC.

Je ni balozi yupi huyo aliyeombwa kumtangua? Soma habari hiyo hapa chini.

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amewapangia vituo vya kazi mabalozi watatu na kumbadilishia kituo cha kazi Balozi Mbelwa Kairuki aliyekuwa China ambaye sasa anakwenda Uingereza akichukua nafasi ya Dk Asha-rose Migiro aliyemaliza mkataba wake.

Hayo yamebainishwa katika taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu usiku wa kuamkia leo Alhamisi Agosti 17, 2023 ikiwa ni saa chache tangu Rais Samia awaapishe mabalozi wapya huku akizungumzia suala la utendaji usioridhisha wa baadhi ya wanadiplomasia hao.

Katika mabadiliko hayo, waliopangiwa vituo vya kazi ni pamoja na Balozi Khamis Mussa Omar anayekwenda China akichukua nafasi ya Kairuki ambaye amehamishiwa London, Uingereza.

Rais Samia amempangia kituo cha kazi Balozi Ceaser Waitara kwenda Namibia akichukua nafasi ya Dk Modestus Kipilimba ambaye amestaafu.

Mwingine ni Balozi Bernard Kibesse aliyepangiwa kuiwakilisha Tanzania nchini Kenya, akichukua nafasi ya Balozi John Simbachawene ambaye amehamishiwa Kampala, Uganda.
So, ndiyo isomeke kwamba Kipilimba alikua amesusia majukumu yake?
 
Huyu Bibi! Alichukua hatua gani.
Anapenda uswahili sana na michambo..

Hajui kama utendaji kazi wa watumishi umeshuka sana katika sekta mabalimbali.
Ni vile tu Afrika na waafrika wakipata kazi huwa hawajali
we kima kweli, km amewaondoa kazini na wengine amewabadilisha viyuo ulitaka achukue hatua gani tena. We ndio mswahili mama yuko makini sana na anachapa kazi siyo kuropoka km yule marehemu wenu
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida rais Samia ameeleza kupokea ombi kutoka kwa mmoja wa marais wa nchi za SADC akimwomba rais Samia ambadilishe balozi wa Tanzania aliyeko nchini “kwake” kutokana na utendaji wake mbovu.

“Nilishakutana na Rais mwenzangu ndani ya nchi za kiafrika, ndani ya Sadc, akaniambia nimbadilishie balozi, akisema uliyeniletea hata kazini haendi, mikutano hashiriki, yupo yupo tu, hatuelewi, Tanzania hatujawazoea hivyo, sasa labda umbadilishe, nikamwambia nimekusikia,” amesema Rais Samia .

Rais aliyasena hayo jana tatehe 16 August alipokuwa akiwaapisha mabalozi wapya ikulu.

Taarifa zilizopatikana leo tarehe 17 August zinaeleza rais Samia amefanya mabadiliko katika balozi tatu moja kati ya hizo ni ubalozi uliopo nchi ya SADC.

Je ni balozi yupi huyo aliyeombwa kumtangua? Soma habari hiyo hapa chini.

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amewapangia vituo vya kazi mabalozi watatu na kumbadilishia kituo cha kazi Balozi Mbelwa Kairuki aliyekuwa China ambaye sasa anakwenda Uingereza akichukua nafasi ya Dk Asha-rose Migiro aliyemaliza mkataba wake.

Hayo yamebainishwa katika taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu usiku wa kuamkia leo Alhamisi Agosti 17, 2023 ikiwa ni saa chache tangu Rais Samia awaapishe mabalozi wapya huku akizungumzia suala la utendaji usioridhisha wa baadhi ya wanadiplomasia hao.

Katika mabadiliko hayo, waliopangiwa vituo vya kazi ni pamoja na Balozi Khamis Mussa Omar anayekwenda China akichukua nafasi ya Kairuki ambaye amehamishiwa London, Uingereza.

Rais Samia amempangia kituo cha kazi Balozi Ceaser Waitara kwenda Namibia akichukua nafasi ya Dk Modestus Kipilimba ambaye amestaafu.

Mwingine ni Balozi Bernard Kibesse aliyepangiwa kuiwakilisha Tanzania nchini Kenya, akichukua nafasi ya Balozi John Simbachawene ambaye amehamishiwa Kampala, Uganda.
Huyo atakuwa Kipilimba, akalee wajukuu sasa
 
Sasa mkuu wa nchi anaanza kumchamba kachero mbobezi na aliwahi kuwa DGS wa TISS hizi ni dharau sana akumbuke TISS hastaafu kutoka kwenye mfumo labda afe. Alipelekwa na JPM kule kabla hajachomeka Diwani ambao wote amewatoa akihofia huenda wanampinga na kumkwamisha.
DG wa TISS kwa rais ni mtu mdogo sana
 
Mimi nauhakika chakubanga huko Havana naye haendi kazini ni kuhudhuria tu carnival. Wamfuatilie.
From Ocean drive, ile miguu inanyooshwa nyooshwa hadi pande za Bayside Marketplace, mara mtu kama Chakubanga...copyright, but kila mtu na time zake sasa sijui ndiye.
 
Tatizo ni vyeo kugeuka zawadi.... watu wanapewa ukuu wa wilaya na mikoa, ubalozi etc bila hata kujali kama wanaitaka hiyo kazi au wanaweza kufanya hiyo kazi etc.

Nimewahi kuongea na Balozi mstaafu mmoja, a proper diplomat, nikamuuliza swali rahisi, kazi za balozi za kila siku ni nini? Akaniambia "kazi kubwa ya Balozi ni socializing" na wenyeji; sasa imagine umetoa mtu ambae by nature sio outgoing.
 

Na ujinga ujinga utaendelea sana kwasababu wanawateua kwa kuangalia ukada na uwepesi wa kuwaingilia kimsimamo. Kama una misimamo ya kiadilifu usahau kabisa kupata cheo kwenye nchi hii.
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida rais Samia ameeleza kupokea ombi kutoka kwa mmoja wa marais wa nchi za SADC akimwomba rais Samia ambadilishe balozi wa Tanzania aliyeko nchini “kwake” kutokana na utendaji wake mbovu.

“Nilishakutana na Rais mwenzangu ndani ya nchi za kiafrika, ndani ya Sadc, akaniambia nimbadilishie balozi, akisema uliyeniletea hata kazini haendi, mikutano hashiriki, yupo yupo tu, hatuelewi, Tanzania hatujawazoea hivyo, sasa labda umbadilishe, nikamwambia nimekusikia,” amesema Rais Samia .

Rais aliyasena hayo jana tatehe 16 August alipokuwa akiwaapisha mabalozi wapya ikulu.

Taarifa zilizopatikana leo tarehe 17 August zinaeleza rais Samia amefanya mabadiliko katika balozi tatu moja kati ya hizo ni ubalozi uliopo nchi ya SADC.

Je ni balozi yupi huyo aliyeombwa kumtangua? Soma habari hiyo hapa chini.

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amewapangia vituo vya kazi mabalozi watatu na kumbadilishia kituo cha kazi Balozi Mbelwa Kairuki aliyekuwa China ambaye sasa anakwenda Uingereza akichukua nafasi ya Dk Asha-rose Migiro aliyemaliza mkataba wake.

Hayo yamebainishwa katika taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu usiku wa kuamkia leo Alhamisi Agosti 17, 2023 ikiwa ni saa chache tangu Rais Samia awaapishe mabalozi wapya huku akizungumzia suala la utendaji usioridhisha wa baadhi ya wanadiplomasia hao.

Katika mabadiliko hayo, waliopangiwa vituo vya kazi ni pamoja na Balozi Khamis Mussa Omar anayekwenda China akichukua nafasi ya Kairuki ambaye amehamishiwa London, Uingereza.

Rais Samia amempangia kituo cha kazi Balozi Ceaser Waitara kwenda Namibia akichukua nafasi ya Dk Modestus Kipilimba ambaye amestaafu.

Mwingine ni Balozi Bernard Kibesse aliyepangiwa kuiwakilisha Tanzania nchini Kenya, akichukua nafasi ya Balozi John Simbachawene ambaye amehamishiwa Kampala, Uganda.
Anaweza kuwa yule wa Namibia 🤣🤣
 
Back
Top Bottom