Medecin
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 8,221
- 22,496
Makabwela tumeshakufa huku tunaishi... kwamba hamfi? Hongereni kwa hilo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makabwela tumeshakufa huku tunaishi... kwamba hamfi? Hongereni kwa hilo!
Mabalozi wengi kitengo/idara,hizo ajali ni ajali au ajali za kikazi!?..kwa nini mabalozi/foreign wamepotea hivyo kwa ajali!?RIP Balozi Mushi, nimeamini wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!.
Huyu ni Balozi mshikaji wa 3 kuchomoka pale foreign!, alianza mshikaji Balozi Cisco, Mshikaji Balozi Akili, kufunga kufungua mshikaji Balozi Edwin Rutageruka!, sasa mshikaji Balozi Celestine Mushi!.
Wajameni kama hali ya uchumi inaruhusu, kwa gari ndogo, saloon cars, nunua chuma cha Mjerumani, na sio makatasi ya Japan!.
RIP Balozi Mushi!.
Acha kujifanya bado mtoto, mshikaji mshikaji. Umri wako wa kulea wajukuu lakini kutwa kucha jukwaani kushindana na vijana.RIP Balozi Mushi, nimeamini wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!.
Huyu ni Balozi mshikaji wa 3 kuchomoka pale foreign!, alianza mshikaji Balozi Cisco, Mshikaji Balozi Akili, kufunga kufungua mshikaji Balozi Edwin Rutageruka!, sasa mshikaji Balozi Celestine Mushi!.
Wajameni kama hali ya uchumi inaruhusu, kwa gari ndogo, saloon cars, nunua chuma cha Mjerumani, na sio makatasi ya Japan!.
RIP Balozi Mushi!.
Kama ni hivyo tayari,hawatakagi makelele ya risasi,ni Kama hivyo yaani..ajaliInasemekana huyu bwana kapiga tukio huko kwenye kituo chake..vipi tuunganishe nukta?
Ni kweli ila hilo alimanishe utumie pikipiki kuendea MoshiHata kama angeendesha V8 kama siku zake zimefika zimefika tu.
Kwahiyo huyu balozi mchagga alikua anaendesha crown ya 80m,? Tuma picha tuione hapaBanaa wewe Crown sio za kinyonga achana na hizi Crown za 16 million, kuna Crown zinafika hadi 80 million na kuendelea.. Crown usiposhtuka na barabara zetu mbona hatari, huenda alijisahau akafikiri yupo Austria [emoji58][emoji58]
Makaratasi ya Japan yanaungua?RIP Balozi Mushi, nimeamini wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!.
Huyu ni Balozi mshikaji wa 3 kuchomoka pale foreign!, alianza mshikaji Balozi Cisco, Mshikaji Balozi Akili, kufunga kufungua mshikaji Balozi Edwin Rutageruka!, sasa mshikaji Balozi Celestine Mushi!.
Wajameni kama hali ya uchumi inaruhusu, kwa gari ndogo, saloon cars, nunua chuma cha Mjerumani, na sio makatasi ya Japan!.
RIP Balozi Mushi!.
Wote hatujui Crown ya aina gani ( ila wamesema crown ), nilie mnukuu, alishangaa why Balozi atumie crown, na mie nikampasha kuna crown zinazidi 80 million.Kwahiyo huyu balozi mchagga alikua anaendesha crown ya 80m,? Tuma picha tuione hapa
Hapa na mie nimepata ukakasiIna maana wamekuta mwili umeungua gari iliwaka moto?
RIP.
Huyu alikuwa mtu mbaya kwa kweli.RIP Balozi Mushi, nimeamini wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!.
Huyu ni Balozi mshikaji wa 3 kuchomoka pale foreign!, alianza mshikaji Balozi Cisco, Mshikaji Balozi Akili, kufunga kufungua mshikaji Balozi Edwin Rutageruka!, sasa mshikaji Balozi Celestine Mushi!.
Wajameni kama hali ya uchumi inaruhusu, kwa gari ndogo, saloon cars, nunua chuma cha Mjerumani, na sio makatasi ya Japan!.
RIP Balozi Mushi!.
Sio kweli viongozi sio wajinga kupanda v8 hutu tugari tudogo ukipata mzinga hutoboiHata kama angeendesha V8 kama siku zake zimefika zimefika tu.
Kajiua huyu kwa kashfa ya kubaka.
Kajiongeza kwa aibu ya kufukuzwa kwa kashfa ya kubakaAlikuw na jambo