TANZIA Balozi wa Tanzania nchini Austria, Celestine J Mushi, afariki dunia kwa ajali ya Gari

TANZIA Balozi wa Tanzania nchini Austria, Celestine J Mushi, afariki dunia kwa ajali ya Gari

RIP Balozi Mushi, nimeamini wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!.
Huyu ni Balozi mshikaji wa 3 kuchomoka pale foreign!, alianza mshikaji Balozi Cisco, Mshikaji Balozi Akili, kufunga kufungua mshikaji Balozi Edwin Rutageruka!, sasa mshikaji Balozi Celestine Mushi!.

Wajameni kama hali ya uchumi inaruhusu, kwa gari ndogo, saloon cars, nunua chuma cha Mjerumani, na sio haya makatasi ya Japan!.
RIP Balozi Mushi!.

P
Balozi hana uzowefu wa kuendesha long trip, angemwachia dereva mwenye uzowefu wa safari ndefu tu amuendeshe, na wengi watapata ajali hasa wale madereva wa msimu!!
 
Kama ameungua it means gari iliwaka pia, lakini habari yenyewe haijakamilika
Gari GRS180 imenishtua, na kwa umiliki ni gari yake mwenye Celestine joseph mushy .. ingekuwa ya mtu mwingine tungesema labda mtego.. Kuwaka moto napo ndio kichwa kinawaka ni mzinga wa aina hani huo.. crown zinachinja sana watu ila kuripuka nadra sana
 
Hiyo ajali mbona ina maelezo pungufu?

Ni Gari imepinduka? Gari imegonga au kugongwa? Gari imeshika tu Moto? Mbona hali ya Gari haielezwi Popote? Tunaambiwa mwili umekutwa umeungua tuu?

Anyway, Poleni wafiwa..
 
Gari GRS180 imenishtua, na kwa umiliki ni gari yake mwenye Celestine joseph mushy .. ingekuwa ya mtu mwingine tungesema labda mtego.. Kuwaka moto napo ndio kichwa kinawaka ni mzinga wa aina hani huo.. crown zinachinja sana watu ila kuripuka nadra sana
Mbona hata picha ya gari yake haikuwekwa ili tujue kama gari iligonga sehemu, iligongwa, ilipinduka, au ilikuaje mpaka marehemu kukutwa ameungua moto.
 
Alipoulizwa kuhusu kifo cha balozi huyo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Joseph Sokoine amesema wizara yake haijapata taarifa rasmi, wakipata watathibitisha hilo.
"Hatujapata taarifa hizo, tuta-comfirm (tutathibitisha), tutakwambia," amesema Balozi sokoine
 
A man is as old as he feels, a woman as old as she looks!. Life begins at 50!, mimi mbona bado sana, japo tayari ni 50+, lakini naendelea kufyatua!, kati hapa nimefyatua tena Changamoto za Kupata Mtoto Mchanga, Ukiwa Umri wa Kustaafu!. Unakuwa ni Baba Babu!. Dawa ni Kujipanga Kabla, Vinginevyo ni Kubebesha Watu Mizigo Yako!

Kama unapenda nyama, na meno bado ipo, lazima utaendelea kutafuna tuu nyama, meno yakingooka, hapo sasa ndio unaanza kula vitu laini laini kama maini!.

Mushi ni mshikaji sana!, neno mshikaji halina umri!. Rip Balozi mshikaji Mushi.

P
Kumbe una umri mkubwa namna hiyo halafu unaletaga utumbo tu humu.
 
Gari GRS180 imenishtua, na kwa umiliki ni gari yake mwenye Celestine joseph mushy .. ingekuwa ya mtu mwingine tungesema labda mtego.. Kuwaka moto napo ndio kichwa kinawaka ni mzinga wa aina hani huo.. crown zinachinja sana watu ila kuripuka nadra sana
Tutapata habari kamili, kuhusu Crown kuchinja watu wao ndio wanajichinja, crown ya 12M, used ya Japan ikaingia bongo ikawa used tena, ina editiwa odo isome 90,000 km kumbe gari imetembea 280,000 kms n services za kuunga unga..
 
Mbona hata picha ya gari yake haikuwekwa ili tujue kama gari iligonga sehemu, iligongwa, ilipinduka, au ilikuaje mpaka marehemu kukutwa ameungua moto.
Nimeangalia kutumia hiyo namba yake ya usajili , na ikaleta GRS1800042051 na owner ni Celestine joseph mushy. Tuone mazingira ambayo hari imepata ajari ndio tutajua, kama imefanyiwa setup au ajari kama ajari ya chombo au uzember wa dereva au ya kutengezwa
 
RIP Balozi Mushi, nimeamini wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!.
Huyu ni Balozi mshikaji wa 3 kuchomoka pale foreign!, alianza mshikaji Balozi Cisco, Mshikaji Balozi Akili, kufunga kufungua mshikaji Balozi Edwin Rutageruka!, sasa mshikaji Balozi Celestine Mushi!.

Wajameni kama hali ya uchumi inaruhusu, kwa gari ndogo, saloon cars, nunua chuma cha Mjerumani, na sio haya makatasi ya Japan!.
RIP Balozi Mushi!
Top top top secret well Sina neno. Kila mtu na kazi yake na miiko yake.. Amen
 
Jihoji.
Ajali ya mtu mzito kama balozi inatokea juzi ila inaanza kusikika mitandaoni leo(do you get the point?)

Akiwa peke yake anakoa gia kuelekea kaskazini anakutwa amefariki garini na gari likiwa limeteketea(kirahisi tu? Milango ilijilock? Labda magari ya umeme hatujui kilichojiri)

Vipi kama alichukuliwa na kuhojiwa vizuri halafu baada ya mahojiano jamaa wanao hoji wakaamua kumtupa hapo na ikachukuliwa gari mkweche moja ya kupitezea maboya ikapigwa kiberiti?
Hatari Sana Ya Kujihoji Ni Mengi Sana!!
 
Back
Top Bottom