Landrover 109
JF-Expert Member
- Mar 22, 2019
- 384
- 597
Bwana ametoa, Bwana ametwaa. Jina lake lihimidiwe. Amen!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alitaka adventure labdaAsee bwashee kaamua kukomaa mwenyewe kwenye usukani?kaona shida kutafuta dereva ampe hata laki 2?amfikishw nyumbani arudi zake ?ubahili huu!
Nipo tayari kuzodolewa pote la mbali!
Rip balozi
EheUkisikia mtu amekufa kwa ajali, usiku, mwili umeungua, jiulize maswali mengi. Kuna hawa jamaa zetu wana hiyo modus operandi, hawataki contradictions kutoka kwa madaktari wanatakapofanyia mwili postmoeterm, au wanafamilia kuwa na maswali meeengi
Na kulikuwa na issue Austria, hakuja kwa ajili ya likizo.
Mrangi, hakuna dereva anaejiona yeye sio dereva mzuri kama dereva mwingine, hasa usiemjuaAlitaka adventure labda
Lakini siku yako ikifika mkuu imefika tu
Ova
Kuna discovery iliungua toure drive pale km miezi minne ioiyopitaWajameni kama hali ya uchumi inaruhusu, kwa gari ndogo, saloon cars, nunua chuma cha Mjerumani, na sio haya makatasi ya Japan!.
RIP Balozi Mushi!.
Nimecheka kwa sauti 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Pasco ulishawahi kuwa na gari nyeupe ndefu imekaa kama Noah hv. Moshi kipindi hicho niliwahi kwenda kutoa mahari na ile gari yako huwezi amini. Mungu akubariki sana.RIP Balozi Mushi, nimeamini wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!.
Huyu ni Balozi mshikaji wa 3 kuchomoka pale foreign!, alianza mshikaji Balozi Cisco, Mshikaji Balozi Akili, kufunga kufungua mshikaji Balozi Edwin Rutageruka!, sasa mshikaji Balozi Celestine Mushi!.
Wajameni kama hali ya uchumi inaruhusu, kwa gari ndogo, saloon cars, nunua chuma cha Mjerumani, na sio haya makaratasi ya Japan!.
RIP Balozi Mushi!.
P
Na njia ile kuna wezi balaaMrangi, hakuna dereva anaejiona yeye sio dereva mzuri kama dereva mwingine, hasa usiemjua
Na afadhali nife kwa uzembe wangu katika kuendesha gari kuliko uzembe wa dereva mwingine
Ni kweli, chuma cha Mzungu ni salama hata unapokuwa unakiendesha tofauti na makaratasi ya Mjapani.RIP Balozi Mushi, nimeamini wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!.
Huyu ni Balozi mshikaji wa 3 kuchomoka pale foreign!, alianza mshikaji Balozi Cisco, Mshikaji Balozi Akili, kufunga kufungua mshikaji Balozi Edwin Rutageruka!, sasa mshikaji Balozi Celestine Mushi!.
Wajameni kama hali ya uchumi inaruhusu, kwa gari ndogo, saloon cars, nunua chuma cha Mjerumani, na sio haya makaratasi ya Japan!.
RIP Balozi Mushi!.
P
Mkuu Huwa unamlisha au hela ya bando huwa unamtumia.? Kipi kinakuumiza wewe kwa yeye kushinda jukwaani na vijana? Kwani jf ni kwaajiri ya vijana au?Acha kujifanya bado mtoto, mshikaji mshikaji. Umri wako wa kulea wajukuu lakini kutwa kucha jukwaani kushindana na vijana.
Hayo mavyuma ya muingereza mjerumani nayo kila leo yanachinja watuRIP Balozi Mushi, nimeamini wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!.
Huyu ni Balozi mshikaji wa 3 kuchomoka pale foreign!, alianza mshikaji Balozi Cisco, Mshikaji Balozi Akili, kufunga kufungua mshikaji Balozi Edwin Rutageruka!, sasa mshikaji Balozi Celestine Mushi!.
Wajameni kama hali ya uchumi inaruhusu, kwa gari ndogo, saloon cars, nunua chuma cha Mjerumani, na sio haya makaratasi ya Japan!.
RIP Balozi Mushi!.
P
Tatizo paskali humu ana wapinzani wengi sanaMkuu Huwa unamlisha au hela ya bando huwa unamtumia.? Kipi kinakuumiza wewe kwa yeye kushinda jukwaani na vijana? Kwani jf ni kwaajiri ya vijana au?
Mind your own business!!
Haaa haaa haaaMkuu Huwa unamlisha au hela ya bando huwa unamtumia.? Kipi kinakuumiza wewe kwa yeye kushinda jukwaani na vijana? Kwani jf ni kwaajiri ya vijana au?
Mind your own business!!
WhySystem erased him. Period
Mkuu watu wanshangaza sana yaani mnashanga mpaka kifo alichokiweka Mungu mwenyeweHata kama angeendesha V8 kama siku zake zimefika zimefika tu.
Crown kwa sasa ni jeneza linalotembea kwa vijana wanaochipukia kwa ukwasi.Hata kama angeendesha V8 kama siku zake zimefika zimefika tu.
Source niliyoiuliza ilinijibu hivyo kwa ufupi. Hakunipa sababu zaidi mkuuDuh
Ova