luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
0652003003 Hii namba iliripoti ajali hiyo na akasema aliyekufa ni mwanamke leo ghafla tunaambiwa balozu wetu hatunaye.Balozi anafariki Jumanne usiku,taarifa za kifo zinatoewa Alhamisi, ?
Familia/Serikali hawakuwa na taarifa kuhusu hiyo safari yake??
Ile kuondolewa Mama Mula Mula Foreign, na Balozi Mushi kuwa Balozi wa Tanzania kwenye Taasisi za UN Vienna Austria, na kwa hulka ya Balozi, ya kutokumung'unya maneno, pengine kuna boko alitoa against Mamlaka za Uteuzi huko kwenye group sogozi za Mabalozi/WakubwaMabalozi wengi kitengo/idara,hizo ajali ni ajali au ajali za kikazi!?..kwa nini mabalozi/foreign wamepotea hivyo kwa ajali!?
Hiyo kazi itakusaidia nini ?Wapungue na wengine wapate kazi, utakuta kuna siku angekuja kuwa waziri.
Kinachonisaidia ni kifo chake, kazi watafanya wengine.Hiyo kazi itakusaidia nini ?
Watu kama wewe ni wachache duniani huwa hawadumuKinachonisaidia ni kifo chake, kazi watafanya wengine.
NendaHiyo kazi itakusaidia nini ?
Mimi ntadumu kama ilivyopangwa, kuna uzi huko wanasema alishafukuzwa.Haijulikani kauawa au kafaje.Wahalifu wanaojificha kwenye mgongo wa utumishi wa umm.Watu kama wewe ni wachache duniani huwa hawadumu
Ndugu, usilolijua ni usiku wa kiza kinene...hufikiri kwanini leo zimesambazwa habari za kusema Balozi Mushi alifukuzwa nchini Austria kwa tuhuma za Ubakaji? Kwanini hizo habari zitoke siku 1 na almost wakati mmoja na habari za kifo chake? Na kwanini ajali itokee juzi itangazwe leo? Na Mamlaka za uteuzi nazo zitoe salam za rambirambi leo? Maswali ni mengi muda mchache, wacha nilaleBalozi aliona atapata hasara kuchukua dereva[emoji17][emoji848]
Wewe ni msemaji wa ubalozi?Nenda
Mimi ntadumu kama ilivyopangwa, kuna uzi huko wanasema alishafukuzwa.Haijulikani kauawa au kafaje.Wahalifu wanaojificha kwenye mgongo wa utumishi wa umm.
Saaaafi sana, bonge la analysis, nimeona Ile Ajali, lory liko upande wa kulia limedondoka na gari ndogo imekusanywa ikaungua moto upande mwingine...... anyway hii Ajali mmmghhhNdugu, usilolijua ni usiku wa kiza kinene...hufikiri kwanini leo zimesambazwa habari za kusema Balozi Mushi alifukuzwa nchini Austria kwa tuhuma za Ubakaji? Kwanini hizo habari zitoke siku 1 na almost wakati mmoja na habari za kifo chake? Na kwanini ajali itokee juzi itangazwe leo? Na Mamlaka za uteuzi nazo zitoe salam za rambirambi leo? Maswali ni mengi muda mchache, wacha nilale
Niliona lile gari, imeteketea yote Kwa moto ila Lory liko salama japo na lenyewe limeangukia upande mwingineIna maana wamekuta mwili umeungua gari iliwaka moto?
RIP.
Tena ajali yenyewe ya Balozi kuungua moto imagineHili la ajali kutokea tangu juzi na umma ujulishwe au uanze kupata habari leo ndio linafikirisha zaidi.
Inawezekana walijipa mda wa kufanya uchunguzi ukizingatia ni siku moja tuNdugu, usilolijua ni usiku wa kiza kinene...hufikiri kwanini leo zimesambazwa habari za kusema Balozi Mushi alifukuzwa nchini Austria kwa tuhuma za Ubakaji? Kwanini hizo habari zitoke siku 1 na almost wakati mmoja na habari za kifo chake? Na kwanini ajali itokee juzi itangazwe leo? Na Mamlaka za uteuzi nazo zitoe salam za rambirambi leo? Maswali ni mengi muda mchache, wacha nilale
Capital City of The WitchesLabda aliona ni safari yake binafsi,mkata haipo mbali na kwamsisi