Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alibaka wapiRIP MR BALOZI JAPO INADAIWA ULIBAKA WAKAKUFULUSHA
Crown inamwendo gani mkali [emoji23][emoji23][emoji23]Let us assume alikua anakimbia mwendo mkubwa.
Akalose control baada ya kupigwa full light na gari aliyopishana nayo.
Akatoka nje ya barabara.
Gari ikapiga mahali ikawaka....
The rest is history.
Hii ni assumption tu.
Nyie ndio mnafujo sanaTunaosafiri na IST tukomenti wapi?
Familia poleni! Mh Balozi alipaswa kuwa na dereva!!.
Tuache ubinafsi. Boss mkubwa kiasi hicho unasafiri usiku mwenyewe? Unakosa personal driver? Mwakilishi wa nchi una mambo mengi, unajipa na jukumu la kuendesha? Alipaswa kuwa na dereva na ili kuwa busy na safari, angekuwa na mtu wa kupiga naye story. Huyu atakuwa alisinzia akahama barabarani huku mguu ukiwa kwa moto.View attachment 2447629
Balozi wa Tanzania nchini Austria, Celestine Joseph Mushy, amefariki dunia kwa ajali ya gari eneo la Mkata, wilayani Handeni mkoani Tanga.
Unaenda lini?Mkata pameanza kunywa damu ya December
End off....🤣🤣😂Nani amlipe huyo dereva wa balozi, kodi zetu ?????
Hivi unadhani balozi wa USA akiwa kwao Marekani anapewa dereva ?
Vi nchi vya masikini wachafu ndio tunataka viongozi waishi kama wafalme.
Acha watumie barabara hizo hizo , acha wafe kwenye mazingira hayo hayo tunayofia sisi.
Next weekUnaenda lini?
Hapa kuna mdau amegusia huenda balozi ame-fake death,Thread nyingine inayosema 'kifo chabalozi kichunguzwe' kuna mdau (id yake Ranger9 nadhani) anamuelezea balozi kama mtu very humble, simple, outgoing na sifa nyingine hapo...
Unakuwa mkurugenzi kwa nini usiwe na dereva? Yaani unashindwa kumlipa mtu 200k akupeleke unapotaka?Kwa ngazi za kiutendaji, Balozi wa Tanzania anaporudi nyumbani (Tanzania) anahesabika kama Mkurugenzi wa Idara.
Hivyo ni vyema kuzingatia hilo mtu anapotoa hoja ya kushangaa Balozi kujiendesha mwenyewe. Je ni Wakurugenzi wote wanatumia madereva wanaposafiri?
Utakufa, usiendeNext week
Dah!Unakuwa mkurugenzi kwa nini usiwe na dereva? Yaani unashindwa kumlipa mtu 200k akupeleke unapotaka?