TANZIA Balozi wa Tanzania nchini Austria, Celestine J Mushi, afariki dunia kwa ajali ya Gari

TANZIA Balozi wa Tanzania nchini Austria, Celestine J Mushi, afariki dunia kwa ajali ya Gari

Unanikumbusha kifo cha mch Mtikila. Mazingira ya kifo chake kilichotokana na ajali yalinifikirisha sana, tena ajali ilitokea katika kipindi ambacho Mtikila alikuwa moto sana.
Ila ndo hivyo watu walizika na maisha yakaendelea.
Mkuu Mr Dudumizi , hapa kwenye kifo cha Mchungaji Mtikikila, umenikumbusha kitu!. Kiukweli haya mambo ya ajali za ajabu ajabu hii njia ya Dar Chalinze, na maeneo ya Tanga kwenye 'fundi' wengi, kumbe pia it's possible ajali zote sio ajali tuu, ajali nyingine ni 'ajali'. Kuna siku nilikutana na Mchungaji Mtikila mahali, akazungumzia mtu anayeuwa watu kwa ku fake accident Uso kwa Uso na Mtikila- Akataa Hongo ya Millioni 100! five years later Mchungaji Mtikila alikuja kufa kwa ajali ambayo ilikuwa ni kama a fake accident!.

Hivyo kuna ajali zinatokea zinakuwa ni ajali tuu na kuna ajali sio ajali tuu, ni 'ajali'
RIP Balozi Mushi!.
P
 
RIP Balozi Mushi, nimeamini wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!.
Huyu ni Balozi mshikaji wa 3 kuchomoka pale foreign!, alianza mshikaji Balozi Cisco, Mshikaji Balozi Akili, kufunga kufungua mshikaji Balozi Edwin Rutageruka!, sasa mshikaji Balozi Celestine Mushi...

Ina maana ukinunua gari ya Mjapan au V8 ukisinzia hufi au kama umelewa wakati waendesha gari hutakufa? Akili za kuvuka barabara hizi.
 
RIP Balozi Mushi, nimeamini wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!.
Huyu ni Balozi mshikaji wa 3 kuchomoka pale foreign!, alianza mshikaji Balozi Cisco, Mshikaji Balozi Akili, kufunga kufungua mshikaji Balozi Edwin Rutageruka!, sasa mshikaji Balozi Celestine Mushi!...
Unapingana na "msemaji kiongozi" wa CCM mzee Makamba?

Yeye kasema "wema hawafi" wewe kada mtiifu unasema "wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana" .

unampinga mpiga debe mkuu wa kudumu CCM ikitaka kuchagua viongozi wake wa juu?

Unataka uitwe kamati ya maadili ya chama kama ulivyo fanywa na kamati ya Ndugai?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Hii inanikumbusha Hotuba ya Mwalimu Juu ya kifo Cha sokoine.

"Watanzania wenzangu nawaombeni sana mkubali kwamba Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine amefariki kwa ajali ya gari.”

JULIUS KAMBARAGE NYERERE
 
Banaa wewe Crown sio za kinyonge achana na hizi Crown za 16 million, kuna Crown zinafika hadi 80 million na kuendelea.. Crown usiposhtuka na barabara zetu mbona hatari, huenda alijisahau akafikiri yupo Austria 😑😑
Kama unaendesha gari kwa 80 kph sio rahisi kupata ajali ! Thats for sure !! Kila siku mnaambiwa Speed kills !! Watu ni wajeuri na wamezowea kutoa statement yetu pendwa ya kukwepa kuwajibika “Mungu amepanga itokee “ Sisemi marehemu R. I. P.

Alikuwa anaendesha kwa spidi kali bali tunakumbushana tu kwamba tuache hii tabia ya kusema Mungu amepanga!! Tujitahidi kuendesha magari yetu kwa mwendo mdogo na kuenjoy mandhari ya Nchi !! Waswahili wanasemaga Kawia ufike !! Na haraka haraka haina baraka !! RIP Balozi wetu na Poleni sana wafiwa Mungu awape Subira na Nguvu 🙏🙏🙏
 
Hii inanikumbusha Hotuba ya Mwalimu Juu ya kifo Cha sokoine.

"Watanzania wenzangu nawaombeni sana mkubali kwamba Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine amefariki kwa ajali ya gari.”

JULIUS KAMBARAGE NYERERE
Alijua hawataamini ile Ajali. Na kweli speculations zilitolewa nyingi tu !!
 
Unanikumbusha kifo cha mch Mtikila. Mazingira ya kifo chake kilichotokana na ajali yalinifikirisha sana, tena ajali ilitokea katika kipindi ambacho Mtikila alikuwa moto sana.
Ila ndo hivyo watu walizika na maisha yakaendelea.
 

Attachments

  • Screenshot_20221216-072320_Chrome.jpg
    Screenshot_20221216-072320_Chrome.jpg
    84.3 KB · Views: 10
  • Screenshot_20221216-072018_Chrome.jpg
    Screenshot_20221216-072018_Chrome.jpg
    211 KB · Views: 10
  • Screenshot_20221216-072129_Chrome.jpg
    Screenshot_20221216-072129_Chrome.jpg
    168.5 KB · Views: 10
Thread nyingine inayosema 'kifo chabalozi kichunguzwe' kuna mdau (id yake Ranger9 nadhani) anamuelezea balozi kama mtu very humble, simple, outgoing na sifa nyingine hapo...

Naconclude mwamba tupo nae hapa jamvini!

Nenda YouTube
 
Acha kurukia ligi za watu, anzisha ligi yako usande.

Ligi Ni nini. Tukisoma unaandika kama mvuta bangi bila sababu za msingi tuna haki ya kujiuliza. Eti ligi . Kweli wewe mtoto sana. Kua kwanza then come back. Hakuna ugomvi kwenye hoja. Je wewe umeanzisha hiyo „ ligi“ na mtu mwingine „ umesanda“. Inawezeka una njaa. Umeachikq, au umelipa hela ya nauli na mtoto mwenzako hahaha, au umegombana na hao ulianzisha „ligi“ nao lakini its uncouth na upumbavu kuanzisha „ ligi“ na mtu mwingine.

Umri ni namba tu. Wewe under 18 unafanya nini JF Badala ya kwenda kuanzisha „ ligi“. Tafuta suluhisho la changamoto zako „mtoto wa ligi“.
 
RIP Balozi Mushi, nimeamini wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!.
Huyu ni Balozi mshikaji wa 3 kuchomoka pale foreign!, alianza mshikaji Balozi Cisco, Mshikaji Balozi Akili, kufunga kufungua mshikaji Balozi Edwin Rutageruka!, sasa mshikaji Balozi Celestine Mushi!...
Nikiwa mkubwa zaidi ya nilivyo sasa nikawa na vijipesa zaidi kusafiri na gari itakuwa mwisho..
Nikitaka kusafiri kwenda kijiji napanda ndege gari anatangulia nayo dereva.

Embu niambie balozi aliwezaje kusafiri mwenyewe kwenye ka gari kadogo vile? Hana dereva?

Juzi kuna. mchaga mmoja hapa mjini alifiwa na kaka yake akaanza safari ya kwenda moshi. Ikumbukwe ana pesa balaa kwenye account hakosi 500mil.

Wakati wanaanza safari yeye, mtoto wake na dereva, basi dereva akamwambia boss wacha niendeshe boss akakataa akaendesha yeye, aisee hawakumaliza lisaa yule baba alilivaa roli kubwa walikufa wote. Kumbuka alikuwa anaenda msibani kwa kaka yake.

Nilivyoenda kumsalimia mmama mmoja ambae ni ndugu wa marehemu akaniambia alikuwa kalewa usiku kabla ya safari alikunywa so asubuhi alikuwa na hangover.

Moja kwa moja marehemu alikufa kwa ajali coz may be alipitiwa ka usingizi na hii ni hali inayowatokea madereva wengi ila ndo hivyo ajali ikitokea visingizio kibao.

My point is mtu ana pesa mwendo h mrefu hivyo ndege hazipo? Si unampa dereva anatangulia na gari?

Itoshe kusema usafiri wa ndege ni usafiri bora na ajali zake ni nadra sana. Ile ya bukoba wajuzi wa mambo washajua washaunganisha matukia.mwamba akiingia mkoa fulani lazima damu kumwagika.😅😅

No. Matter what usafiri wa ndege ni salama.
 
Nikiwa mkubwa zaidi ya nilivyo sasa nikawa na vijipesa zaidi kusafiri na gari itakuwa mwisho..
Nikitaka kusafiri kwenda kijiji napanda ndege gari anatangulia nayo dereva.

Embu niambie balozi aliwezaje kusafiri mwenyewe kwenye ka gari kadogo vile? Hana dereva?

Juzi kuna. mchaga mmoja hapa mjini alifiwa na kaka yake akaanza safari ya kwenda moshi. Ikumbukwe ana pesa balaa kwenye account hakosi 500mil.

Wakati wanaanza safari yeye, mtoto wake na dereva, basi dereva akamwambia boss wacha niendeshe boss akakataa akaendesha yeye, aisee hawakumaliza lisaa yule baba alilivaa roli kubwa walikufa wote. Kumbuka alikuwa anaenda msibani kwa kaka yake.

Nilivyoenda kumsalimia mmama mmoja ambae ni ndugu wa marehemu akaniambia alikuwa kalewa usiku kabla ya safari alikunywa so asubuhi alikuwa na hangover.

Moja kwa moja marehemu alikufa kwa ajali coz may be alipitiwa ka usingizi na hii ni hali inayowatokea madereva wengi ila ndo hivyo ajali ikitokea visingizio kibao.

My point is mtu ana pesa mwendo h mrefu hivyo ndege hazipo? Si unampa dereva anatangulia na gari?

Itoshe kusema usafiri wa ndege ni usafiri bora na ajali zake ni nadra sana. Ile ya bukoba wajuzi wa mambo washajua washaunganisha matukia.mwamba akiingia mkoa fulani lazima damu kumwagika.😅😅

No. Matter what usafiri wa ndege ni salama.
Safari za gari tamu sana , hasa uwe na machine ya ukweli ndani full luxury .. Pembeni totoz story za hapa na pale.. safari huwa tamu sana.. Kuna watu wana billions of money wao ni wazee wa road trip .. huwaambii ndege wa SGR 😊😊😊 Nikiwa kama mmoja wa wana wa road trip.. situmii crown lakini 😑😑
 
Kama unaendesha gari kwa 80 kph sio rahisi kupata ajali ! Thats for sure !! Kila siku mnaambiwa Speed kills !! Watu ni wajeuri na wamezowea kutoa statement yetu pendwa ya kukwepa kuwajibika “Mungu amepanga itokee “ Sisemi marehemu R. I. P. Alikuwa anaendesha kwa spidi kali bali tunakumbushana tu kwamba tuache hii tabia ya kusema Mungu amepanga!! Tujitahidi kuendesha magari yetu kwa mwendo mdogo na kuenjoy mandhari ya Nchi !! Waswahili wanasemaga Kawia ufike !! Na haraka haraka haina baraka !! RIP Balozi wetu na Poleni sana wafiwa Mungu awape Subira na Nguvu 🙏🙏🙏
Sure mwendo kasi ni hatari sana, hasa usiku. Sio kila kifo ni mpango wa Mungu
 
Back
Top Bottom