TANZIA Balozi wa Tanzania nchini Austria, Celestine J Mushi, afariki dunia kwa ajali ya Gari

TANZIA Balozi wa Tanzania nchini Austria, Celestine J Mushi, afariki dunia kwa ajali ya Gari

RIP Balozi Mushi, nimeamini wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!.
Huyu ni Balozi mshikaji wa 3 kuchomoka pale foreign!, alianza mshikaji Balozi Cisco, Mshikaji Balozi Akili, kufunga kufungua mshikaji Balozi Edwin Rutageruka!, sasa mshikaji Balozi Celestine Mushi!.

Wajameni kama hali ya uchumi inaruhusu, kwa gari ndogo, saloon cars, nunua chuma cha Mjerumani, na sio makatasi ya Japan!.
RIP Balozi Mushi!.

..Balozi Akili unayemzungumzia ni yupi?

..Ni yule aliyefariki akiwa kituoni New York?
 
TANZIA: Balozi wa Tanzania nchini Austria, Celestine Mushy amefariki dunia katika ajali iliyotokea eneo la Mkata wilayani Handeni mkoani Tanga

Inaelezwa kuwa Balozi Mushy alifariki juzi Jumanne alipokuwa akisafiri kwa kuendesha gari mwenyewe kutoka Dar es Salaam kuelekea mkoani Kilimanjaro #EastAfricaTV
 
Acha kujifanya bado mtoto, mshikaji mshikaji. Umri wako wa kulea wajukuu lakini kutwa kucha jukwaani kushindana na vijana.
A man is as old as he feels, a woman as old as she looks!. Life begins at 50!, mimi mbona bado sana, japo tayari ni 50+, lakini naendelea kufyatua!, kati hapa nimefyatua tena Changamoto za Kupata Mtoto Mchanga, Ukiwa Umri wa Kustaafu!. Unakuwa ni Baba Babu!. Dawa ni Kujipanga Kabla, Vinginevyo ni Kubebesha Watu Mizigo Yako!

Kama unapenda nyama, na meno bado ipo, lazima utaendelea kutafuna tuu nyama, meno yakingooka, hapo sasa ndio unaanza kula vitu laini laini kama maini!.

Mushi ni mshikaji sana!, neno mshikaji halina umri!. Rip Balozi mshikaji Mushi.

P
 

Balozi alikuwa anaenda Moshi mwenyewe? Hana familia?
Jihoji.
Ajali ya mtu mzito kama balozi inatokea juzi ila inaanza kusikika mitandaoni leo(do you get the point?)

Akiwa peke yake anakoa gia kuelekea kaskazini anakutwa amefariki garini na gari likiwa limeteketea(kirahisi tu? Milango ilijilock? Labda magari ya umeme hatujui kilichojiri)

Vipi kama alichukuliwa na kuhojiwa vizuri halafu baada ya mahojiano jamaa wanao hoji wakaamua kumtupa hapo na ikachukuliwa gari mkweche moja ya kupitezea maboya ikapigwa kiberiti?
 
Back
Top Bottom