RIP Balozi Mushi, nimeamini wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!.
Huyu ni Balozi mshikaji wa 3 kuchomoka pale foreign!, alianza mshikaji Balozi Cisco, Mshikaji Balozi Akili, kufunga kufungua mshikaji Balozi Edwin Rutageruka!, sasa mshikaji Balozi Celestine Mushi!.
Wajameni kama hali ya uchumi inaruhusu, kwa gari ndogo, saloon cars, nunua chuma cha Mjerumani, na sio makatasi ya Japan!.
RIP Balozi Mushi!.
Wakiwa na mav8 mnasema mafisadiMungu amueke mahara pema poponi,.........ila balozi wetu kuendesha crown sloon sijui ndo economy yetu ndo ilivyo au ubahili?
Usikariri maisha!!!RIP balozi, ila wachagga tarehe hizi siyo nzuri99 kwenda kuhiji.
Huenda ndege tickets zilikua zimeisha, au alitaka kuonyesha Crown yake mpya ya 80m kijijini kwao machameR.I.P
Balozi si ungepanda ndege tu jamani. Pole kwa familia
Inaleta maswali mengi sanaa,Mungu amueke mahara pema poponi,.........ila balozi wetu kuendesha crown sloon sijui ndo economy yetu ndo ilivyo au ubahili?
Question is whySystem erased him. Period
Kuna mchagga asio kua fisadi au tapeli hata mwenye basikeliWakiwa na mav8 mnasema mafisadi
Una kosa adabu.Acha kujifanya bado mtoto, mshikaji mshikaji. Umri wako wa kulea wajukuu lakini kutwa kucha jukwaani kushindana na vijana.
Angechukua dereva huenda taifa lingepata misiba miwili. Yani msiba wa balozi na dereva wake.Balozi aliona atapata hasara kuchukua dereva[emoji17][emoji848]
Wote wangeungua?Angechukua dereva huenda taifa lingepata misiba miwili. Yani msiba wa balozi na dereva wake.
Kama ameungua it means gari iliwaka pia, lakini habari yenyewe haijakamilikaHapa na mie nimepata ukakasi
A man is as old as he feels, a woman as old as she looks!. Life begins at 50!, mimi mbona bado sana, japo tayari ni 50+, lakini naendelea kufyatua!, kati hapa nimefyatua tena Changamoto za Kupata Mtoto Mchanga, Ukiwa Umri wa Kustaafu!. Unakuwa ni Baba Babu!. Dawa ni Kujipanga Kabla, Vinginevyo ni Kubebesha Watu Mizigo Yako!Acha kujifanya bado mtoto, mshikaji mshikaji. Umri wako wa kulea wajukuu lakini kutwa kucha jukwaani kushindana na vijana.
Jihoji.
Balozi alikuwa anaenda Moshi mwenyewe? Hana familia?