Balozi wa Tanzania nchini Uturuki, Luteni Jenerali Yacoub Mohamed

Sasa hawa wana tija gani jamani? Ni kama nchi imekosa watu wenye sifa na uwezo
 
... badala ya kwenda kupiganisha vita anakula viyoyozi na pizza Ulaya! Sijui kwanini hii nchi haiheshimu profesheni za watu.
Nchi nyingi zinapigana vita, lakini hutasikia mlio wa bomu au risasi.

Kuna cyber wars, economic wars, cultural wars, political wars, ukiona bongo vijana wanaimba hip-hop , ujue hayo ni mafanikio ya vita ya kitamaduni ya Wana magharibi, ukiona demokrasia, mavazi, and the like
 
Naniliu wa sasa aliingia ofisini akiwa na miaka 60
 
CDf, Jaji mkuu, professors umri wao wa kustaafu Kwa lazma ni 65. So almost awe chini ya 59
 
Homeboy hakuwa na umri huo wakati anapewa so hakuna kinachoshindikana

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Sio kweli kwamba mabalozi duniani kote asilimia kubwa ni makechero bali katika ya wafanyakazi wa ubalozi mara nyingi huwa wanapachika makechero.
 
Masoja si wanaenda hadi 65
 
Paskali ni mlevi mbwa anaandika akiwa amelewa
Pascal kuna wakati hua unatoka kabisa kwenye reli,sijui kwa nini! Mabeyo wakati anakuwa CDF alikua above 54! Alikua na 60 kabisa huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…