Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Nice question,tusubirie majibuBandari ni suala la muungano kwa mujibu wa Katiba. Kuna DG wa Bandari wa Tanzania na huko Zanzibari kuna DG. Sasa anahoji huyo wa Zanzibar yupo kwa mujibu wa katiba ipi? Maana yake Zanzibar amekwapua madaraka na kuvunja katiba
Kuna genge moja hatari sana nyuma yakeHuyu Samia kwa mara ya kwanza nadiriki kusema ni kiongozi asiyefaa hata kidogo
Kwenye picha kubwa ni asilimia mia moja hajali chochote kuhusu Tanganyika mbaya zaidi wale waliomleta kwenye siasa za Tanganyika wanamuunga mkono kwasababu wanafaidika na maamuzi yake yanayohusisha ufisadi mkubwa ikiwemo kuuza nchi! Ukiuza bandari,ukiuza loliondo ukiruhusu madini yatoroshwe wewe umepiga mnada Tanganyika huna tofauti na muhujumu uchumi yule seth
Kulwa jilala ni jinga sana!! Huyu mchunga ng'ombe yaan hataki kuona mtu akimsema JPM tofaut na atakavyo!!!Toa mchango wako Kwa staha
Naunga mkono hojaMzungumzaji anahoji kama ni ubinafsishaji kwa nini bunge lisibinafsishwe? Amenipa raha sana. Akiendelea hivi naweza kukojoa
Ujue NSA walikuwa wanasikiliza Simu zote za Angel Merkel?Nyerere hakuipenda Ikulu ya Mkoloni na ndiyo maana alikuwa akilala Msasani
Achana naye na hela ya Canada,jee hoja yake unaionaje?Huyu msanii tu anatafuta pakutokea.
Pesa ya Canada ishakata.
Kwanini Waziri mkuu ni batili!?Dr. Slaa anasema hatuna bunge. Kuna 28 walipita bila kupingwa hawatambuliki kisheria na katiba. Bunge ni batili ikiwepo Waziri Mkuu
Tulieni tuuzwe.Hotuba imejaa madini tupu
Yaani Mhe. Rais pamoja na kuwa na lundo la washauri lakini bado anaingia Mikataba ya akina Chifu Mangungo ambaye yeye hakujua kusoma wala kuandika[emoji2297][emoji848]
Alipita bila kupingwaKwanini Waziri mkuu ni batili!?
Mbowe ndie Mpinzani wa kweli kuliko huyo dakta mihogo.Sababu ni nini!?
Wacha kuhangaika.Mbowe ndie Mpinzani wa kweli kuliko huyo dakta mihogo.
Hali ya hewa ya leo inasoma kivingine, hivi vyombo vya ulinzi na usalama vinafanya kazi gani nchi inapouzwa mchana kweupeee tena na watu wawili kutoka nchi jiraniSerikali ya awamu ya nne wakati inataka kutaifisha mashirika muhimu ikiwemo bandari, aliyetupa taarifa alifukuzwa kazi. Alitupa taarifa ya kutokubali kuyataifisha kutokana umuhimu wake kwa usalama wa Taifa.
Dkt. Slaa ameongelea mfano wa mbia katika kampuni ya mafuta wakati wa vita ya Uganda ambapo Tanzania ilikuwa inamiliki 51% katika kampuni hiyo huku mbia akiwa na 49% lakini aliweka ngumu kwasababu alidai mtu tunayepigana nae ni mbia wake pia hivyo. Slaa amedai kwa siku 5 vifaa havikuweza kuondoka kwasababu ya mafuta wakati nchi inaendelea kupigwa.
Kwahiyo hapo anatuzuga tu!?Mbowe ndie Mpinzani wa kweli kuliko huyo dakta mihogo.
UT na maafisa wengine wa nchii wapo ofisini,na majukumu yao 99.9% ni kuhakikisha CCM inabaki madaraka IHali ya hewa ya leo inasoma kivingine, hivi vyombo vya ulinzi na usalama vinafanya kazi gani nchi inapouzwa mchana kweupeee tena na watu wawili kutoka nchi jirani