Hawawezi kukuelewa Mkuu! Huoni nguvu kubwa ya ushawishi inavyotumika? Hawataki kusikia upinzani kwenye hili, nimeona clip ya Chris Lukosi imewekwa kwenye Account ya Facebook ya Mama yupo Kazini akitetea uwekezaji huo.

Kwa maelezo yake anasema eti Kampuni hiyo imepewa uwekezaji kwenye Bandari za Uingeleza ikiwemo London Gate Way na Southampton, hivi anafahamu Uingeleza wameingia Mkataba gani na Dubai? Suala hapa ni aina ya Mkataba ambao Serikali inaingia na Dubai, hivi Nchi yetu inaingia Mkataba wa hovyo kama huu lakini Kuna Watu wanajitoa ufahamu na kutetea uozo.
 
Ina maana CCM haijampa TOR? Huwezi kumruhusu agent akiwashe wakati huu wa taharuki
Mtakuja kunishukuru,
huu ni wakati wa kumrudisha Agent katika nafasi yake kwa faida ya baadae.
CCM haiufii chochote kuhusu huo mkataba wanauhakika utaenda kama ulivyo pangwa.
Kama walivyo fanya ktk uchaguzi mkuu 2020 na mkatulia kimya.
 
Lakini Padre, Dr. Wilbrod P.Slaa legitimacy yako pia iko na wasiwasi mingi. Pia huu uchambuzi wako wa kawaida sana hauna hisia za uchungu za kizalendo, me nadhani unajaribu ku-lay down trap kwa vyama vya siasa vivutiwe nawe upate nafasi ambayo unaitamani sana ya kugombea Urais2025. But for sure uchambuzi wako wa leo kuhusu Bandari haujabamba hata
 
Anayepinga uwekezaji wa bandari ni adui wa maendeleo. Mmeendesha bandari wenyewe miaka yote bila tija yeyote zaidi ya rushwa na urasimu tu. Maza akimaliza bandari zifuate airports wape wanaojua wanachokifanya na wenye nyezo za kazi.
 
Ndiyo maana bandari za Zanzibar hazimo kwenye huu uchafu
 
Ndiyo maana bandari za Zanzibar hazimo kwenye huu uchafu
 
Acha tupige deal mkuu , msijali kwenye SGR mkataba tutautafsiri hadi kwa kiswahili ili muelewe ila huu tumeshausaini .
Kwanza miaka mia mbele wewe hutakuepo tena !!
Cheers 😂😂
 
Balozi Dkt. Willibrod Slaa anazungumza na Wanahabari Jijini Dar es Salaam, leo Juni 13 2023 kuhusu hati ya makubaliano yaliyoingiwa kati ya Tanzania na DP World...
Unaongea mambo mengi, mengine hayana muunganiko, unaharaka sana, unakosea hujajipanga, unatuchanganya, unaonekana kama kuna ka-mkono kasiko onekana kanakokusukuma.
 
Anayepinga uwekezaji wa bandari ni adui wa maendeleo. Mmeendesha bandari wenyewe miaka yote bila tija yeyote zaidi ya rushwa na urasimu tu. Maza akimaliza bandari zifuate airports wape wanaojua wanachokifanya na wenye nyezo za kazi.
Tatizo siyo kupinga uwekezaji, kinachopingwa ni aina ya Mkataba ambao Serikali inaingia na Wawekezaji.
 
Dr.Slaa banaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


"Opportunist"....

Pamoja na usomi wake...sijui huwa anafanya kusudi kutochagua maneno ya "staha" ya kidiplomasia ilihali yeye ni MSOMI NA BALOZI?!!![emoji15][emoji15]

Japo hawafanani asilimia zote ila Dr.Slaa hana tofauti sana na Mh.Tundu Lissu....wanapenda sana siasa za "TUG OF WAR" na "kuvabana" kila inapotokea "FURSA ADHIMU"......[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Eti anasema mh.Rais alisaini mikataba 17 na iko "SIRINI" ....

Hivi mikataba yote inayosainiwa huwekwa wazi ?!!!

Dr.Slaa atuambie....alipokuwa balozi wa SWEDEN...Serikali ya JMT iliingia mikataba na YERPI MERKEZ kujenga SGR alielezwa?!!!

Tulielezwa wananchi ?!!!

Dr.Slaa atuambie....alipokuwa balozi SWEDEN....Serikali ya JMT iliingia mikataba na ARAB CONTRACTORS kujenga bwawa la ufuaji umeme la Mwalimu Nyerere alielezwa? Tulielezwa ?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]

Dr.Slaa banaa.....akiwa balozi kimyaaaaa.....huyu kama yule ndugu kamarada "Slowslow" eeeee?!!![emoji1787]

#MamaAnaupigaMwingiMnooo[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…