Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Atakuwa katubu tumsameheSafi Slaa, sikupendi kwa vile uliunga juhudi ukatili wa magufuli, kwa hili tuko na wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa katubu tumsameheSafi Slaa, sikupendi kwa vile uliunga juhudi ukatili wa magufuli, kwa hili tuko na wewe
Tatizo siyo kupinga uwekezaji, kinachopingwa ni aina ya Mkataba ambao Serikali inaingia na Wawekezaji.
Naona wazee wa kudandia mada wameona fursa ya kupata attention ni kukandia mkataba wa Badari.Balozi Dkt. Willibrod Slaa anazungumza na Wanahabari Jijini Dar es Salaam, leo Juni 13 2023 kuhusu hati ya makubaliano yaliyoingiwa kati ya Tanzania na DP World....
Tulishangaa tu "Waarabu" wa Magufuli wameanza kazi bila hata Zabuni😆Dr.Slaa atuambie....alipokuwa balozi SWEDEN....Serikali ya JMT iliingia mikataba na ARAB CONTRACTORS kujenga bwawa la ufuaji umeme la Mwalimu Nyerere alielezwa? Tulielezwa ?!!!![]()
Kwa hiyo nchi ya Marekani wameiuza wenyewe?!!!Huwezi kuwapa bandari za maziwa, bahari, mabwawa na mito na lolote lijalo kuhusu bandari ukasema una nchi. Umeuza nchi
Mleta uzi kasema hivi:Tatizo siyo kupinga uwekezaji, kinachopingwa ni aina ya Mkataba ambao Serikali inaingia na Wawekezaji.
Katubu wapi?na lini?Atakuwa katubu tumsamehe
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]Kanisa Moja Takatifu la Mitume
Huyu na Kamilius ni mazao ya Itaga Seminary
[emoji7][emoji7][emoji1787][emoji1787]Huyu Mzee ni rahisi kununuliwa ndio shida yake.
Aliyo yasema ni uongo? Jikite kwenye mjadala na usihamishe magoliDr.Slaa banaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
"Opportunist"....
Pamoja na usomi wake...sijui huwa anafanya kusudi kutochagua maneno ya "staha" ya kidiplomasia ilihali yeye ni MSOMI NA BALOZI?!...
Mengi ya hayo aliyoongea ni upungufu wa uelewa wa mwanasiasa yoyote yule.Balozi Dkt. Willibrod Slaa anazungumza na Wanahabari Jijini Dar es Salaam, leo Juni 13 2023 kuhusu hati ya makubaliano yaliyoingiwa kati ya Tanzania na DP World...
Chema Chajiuza bwashee 😄😄UMENENA
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Akiwa upande wa wananchi anaondolewa dhambi zake zote
Hata hii kutetea rasilimali za taifa hadharani ni toba tosha kabisaKatubu wapi?na lini?
Wewe ni jongoo?Mengi ya hayo aliyoongea ni upungufu wa uelewa wa mwanasiasa yoyote yule.
Anahitaji kuelimishwa kama wanavyoelimishwa watu wa taasisi nyinginezo.
Huyu ni nyoka wa usalama wa taifa, huwezi ukaamini sauti yake hata kama inabeba uchungu na kuonekana ni ya dhati.
Hana tofauti na Polepole wakihongwa ubalozi tu wanafunga midomo yao mpaka watakapofukuzwa ndio wanaanza tena kujifanya wanauchungu na Nchi.Humjui wewe
Walionunuliwa Wanaishi Dubai
Chuki kwa Samia tena?. Rais wa nchi yetu hazungumziwi kwa miaka mingi. Ukiona mwanasiasa mpaka anatumia pesa ili apate nafasi ya kuwa mgombea, tambua huyo keshaukosa urais.Naam Dr.slaa mzalendo kabisa
Huyu Samia kwa mara ya kwanza nadiriki kusema ni kiongozi asiyefaa hata kidogo
Kwenye picha kubwa ni asilimia mia moja hajali chochote kuhusu Tanganyika mbaya zaidi wale waliomleta kwenye siasa za Tanganyika wanamuunga mkono kwasababu wanafaidika na maamuzi yake yanayohusisha...