Bandari na Usalama wa Taifa, Rais Samia hujui hata hili?

Bandari na Usalama wa Taifa, Rais Samia hujui hata hili?

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Uzi huu hauhusiani na uzi mwingine, ni alert mahsusi kwa Rais Samia.

Mh Rais inamaana wewe na wabunge hamfahamu kuwa vifaa vingi vya ulinzi na usalama huingia nchini kupitia bandari?

Vipi endapo kampuni itakayopewa kuendesha bandari ikiajiri bila kujua majasusi wa nchi jirani kuwa watumishi wake, huoni utakuwa unatoa siri za uwezo wa jeshi lako bila kujua?

Huoni utawaanikia magaidi taarifa zako muhimu? Unakodisha vipi kitovu cha uchumi wako?

Kuna mikataba mingine hayati JPM alisema inaweza kusainiwa na vichaa tu.

Nimekwambia kwa nia njema kabla hayajakufika.

Nawaalika Watanzania bara wote ku sign petition ya kuzuia uovu huu sasa;
 
Mimi naona tuu watu wakiandika andika ila sijaona tamko la Serikali kuhusu hili maana sitegemei kwa Nchi kama Tanzania kuamua kitu cha kijinga namna hiyo na kama ni kweli waliohusika wote wachunguzwe pana mambo ya rushwa kubwa kubwa hapo sio bure...sitegemei kama hicho kitu ni kweli wakeamua watu na akili zao Tomamu kabisaa...
 
Uzi huu hauhusiani na uzi mwingine, ni alert mahsusi kwa Rais Samia.

Mh Rais inamaana wewe na wabunge hamfahamu kuwa vifaa vingi vya ulinzi na usalama huingia nchini kupitia bandari?

Vipi endapo kampuni itakayopewa kuendesha bandari ikiajiri bila kujua majasusi wa nchi jirani kuwa watumishi wake, huoni utakuwa unatoa siri za uwezo wa jeshi lako bila kujua?

Huoni utawaanikia magaidi taarifa zako muhimu? Unakodisha vipi kitovu cha uchumi wako?

Kuna mikataba mingine hayati JPM alisema inaweza kusainiwa na vichaa tu.

Nimekwambia kwa nia njema kabla hayajakufika.
Kwani anajali hilo?
 
Mimi naona tuu watu wakiandika andika ila sijaona tamko la Serikali kuhusu hili maana sitegemei kwa Nchi kama Tanzania kuamua kitu cha kijinga namna hiyo na kama ni kweli waliohusika wote wachunguzwe pana mambo ya rushwa kubwa kubwa hapo sio bure...sitegemei kama hicho kitu ni kweli wakeamua watu na akili zao Tomamu kabisaa...
Remote iko MSOGA 😅😅😅
 
Wazee wa miaka 60+ wana waamulia Watoto wenu kwa miaka 99 ijayo, ina maana Bandari yetu itachukuliwa chini ya hao Wageni hadi 2122, ambao wote humu tutakuwa Makaburi ikiwemo na aliyeuza.

Hizi ni athari za kutokuwa na Viongozi Wazalendo, wanajifikiria wao tu
 
Wazee wa miaka 60+ wana waamulia Watoto wenu kwa miaka 99 ijayo, ina maana Bandari yetu itachukuliwa chini ya hao Wageni hadi 2122, ambao wote humu tutakuwa Makaburi ikiwemo na aliyeuza.

Hizi ni athari za kutokuwa na Viongozi Wazalendo, wanajifikiria wao tu
Inawezekena Watanzania ndi Nchi inayoongoza kwa kuwa na Wajinga kuliko Nchi yeyote Duniani aisee pana vitu ukivisikia akili ndogo inakataa kuwa hicho kitu hakiwezekani ila baadae utasikia kweli...
 
Hizi habari kama ni zakweli basi Nchi yetu tunaongozwa na wachumia matumbo Yao tu,maana huwezi gawa Moja ya kitega uchumi mama kwa watu Baki!!!
 
Uzi huu hauhusiani na uzi mwingine, ni alert mahsusi kwa Rais Samia.

Mh Rais inamaana wewe na wabunge hamfahamu kuwa vifaa vingi vya ulinzi na usalama huingia nchini kupitia bandari?

Vipi endapo kampuni itakayopewa kuendesha bandari ikiajiri bila kujua majasusi wa nchi jirani kuwa watumishi wake, huoni utakuwa unatoa siri za uwezo wa jeshi lako bila kujua?

Huoni utawaanikia magaidi taarifa zako muhimu? Unakodisha vipi kitovu cha uchumi wako?

Kuna mikataba mingine hayati JPM alisema inaweza kusainiwa na vichaa tu.

Nimekwambia kwa nia njema kabla hayajakufika.
Mtanikumbuka
 
Inawezekena Watanzania ndi Nchi inayoongoza kwa kuwa na Wajinga kuliko Nchi yeyote Duniani aisee pana vitu ukivisikia akili ndogo inakataa kuwa hicho kitu hakiwezekani ila baadae utasikia kweli...
Hii Nchi itakuwa Raia wake tumerogwa, yaani Viongozi wanafanya mambo ya kutuumiza alafu raia wake tumekaa kimya tu.

Ila ngoja hiki Kizazi cha hawa Wazee kifutikez huenda tukawa na mwanzo mpya kufikia 2040
 
Back
Top Bottom