Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Vijana wamechagua kuwa machawa wa Watawala 🙆♂️Watakuwa vijana wapo kwenye mtego ambao hawataweza kufanya chochote maana umasikini ndio tatizo kubwa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wamechagua kuwa machawa wa Watawala 🙆♂️Watakuwa vijana wapo kwenye mtego ambao hawataweza kufanya chochote maana umasikini ndio tatizo kubwa...
🤣🤣Leo hawezi,yuko baa analewa,hajakumbukwa kwenye mkeka🤣Mkuu pascal atakuja kutoa ufafanuzi KWA maslahi ya taifa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Atajulia wapi?[emoji1787] Ye anajua kutoa hela za magoli ya mama[emoji474][emoji475]
Tusubirie..Ngoja aje
Ooooooh ma ankoliii tenaaa???Hana muda huo wa kujali mambo kama hayo.
Ili mradi wanaopewa ni wajomba zake.
Duh..Hii Nchi itakuwa Raia wake tumerogwa, yaani Viongozi wanafanya mambo ya kutuumiza alafu raia wake tumekaa kimya tu.
Ila ngoja hiki Kizazi cha hawa Wazee kifutikez huenda tukawa na mwanzo mpya kufikia 2040
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Taifa limepata Rais bomu kuwahi kutokea tangu dunia iubwe.
TutafakariInawezekena Watanzania ndi Nchi inayoongoza kwa kuwa na Wajinga kuliko Nchi yeyote Duniani aisee pana vitu ukivisikia akili ndogo inakataa kuwa hicho kitu hakiwezekani ila baadae utasikia kweli...
Watu mna maneno, nimechekaa km mwehuuImeanza kwisha betri, awe makini.
Maandamano yakianzishwa, wavaa nguo za mabaka baka wanasema watapiga watu na kuvunja miguu,Hakika Watanzania tumerogwa, Viongozi wanatuchezea watakavyo alafu tumetulia tu [emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Leo hawezi,yuko baa analewa,hajakumbukwa kwenye mkeka[emoji1787]
Utasema wao (Maaskari) wameridhika na huu wizi unaofanywa na watawala.Maandamano yakianzishwa, wavaa nguo za mabaka baka wanasema watapiga watu na kuvunja miguu,
Sasa nani anataka ulemavu wa ukubwanii??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wengi wao wako above 60, hata kama wakipewa neema ya kuishi umri mrefu hawatatoboa 100Duh..
Hakuna namnaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utasema wao (Maaskari) wameridhika na huu wizi unaofanywa na watawala.
Hakika Tumelaaniwa
Ngoja tuendelee kuibiwa na hawa Wazee hadi akili ziturudie.Hakuna namnaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanini wanauza vya Tanganyika tu ?Uzi huu hauhusiani na uzi mwingine, ni alert mahsusi kwa Rais Samia.
Mh Rais inamaana wewe na wabunge hamfahamu kuwa vifaa vingi vya ulinzi na usalama huingia nchini kupitia bandari?
Vipi endapo kampuni itakayopewa kuendesha bandari ikiajiri bila kujua majasusi wa nchi jirani kuwa watumishi wake, huoni utakuwa unatoa siri za uwezo wa jeshi lako bila kujua?
Huoni utawaanikia magaidi taarifa zako muhimu? Unakodisha vipi kitovu cha uchumi wako?
Kuna mikataba mingine hayati JPM alisema inaweza kusainiwa na vichaa tu.
Nimekwambia kwa nia njema kabla hayajakufika.
Watz tulieni dawa iwaingieUzi huu hauhusiani na uzi mwingine, ni alert mahsusi kwa Rais Samia.
Mh Rais inamaana wewe na wabunge hamfahamu kuwa vifaa vingi vya ulinzi na usalama huingia nchini kupitia bandari?
Vipi endapo kampuni itakayopewa kuendesha bandari ikiajiri bila kujua majasusi wa nchi jirani kuwa watumishi wake, huoni utakuwa unatoa siri za uwezo wa jeshi lako bila kujua?
Huoni utawaanikia magaidi taarifa zako muhimu? Unakodisha vipi kitovu cha uchumi wako?
Kuna mikataba mingine hayati JPM alisema inaweza kusainiwa na vichaa tu.
Nimekwambia kwa nia njema kabla hayajakufika.