babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Bandari ya bagamoto ndio wapi?bandari ya bagamoto
Huko shuleni mlienda kujifunza ujinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bandari ya bagamoto ndio wapi?bandari ya bagamoto
Hilo ndio swali la msingiKwanini wanauza vya Tanganyika tu ?
Huo mkataba wa kuuzwa Tanganyika uko wapi?Kwanini wanauza vya Tanganyika tu ?
Waarabu watatubaka vibaya sana. Kwa kisayansi kabisa kihongozi wa dini ya kiislamu wa Tanzania (ila sio Africa Magharibi) akiongea MUARABU basi mkund u mavi yanasogea mlangoni na hutaman kifuro tu. Hii ni sayansi, hata mkatae ni ukweliPimbi wa msoga nyie, mnapenda vya bure mtaolewa
Janja janga piga mvua kuanzi miaka thelathini au kunyonga kwa maslahi ya TaifaMtu kama rais akiona janja janja nyingi kama kweli ana dhamira ya kukomesha janja janja kinachotakiwa ni kutunga Sheria inayoweza kukomesha janja janja hizo na siyo kulikimbia tatizo
Mimi binafsi nampongeza rais kwa kuwakodishia bandari wabia wengine.
Bandari pengine inaleta faida kidogo sana na janja janja zimekuwa nyingi mno.
Mheshimiwa rais angalia na namna ya kubinafsisha mashirika mengine kama vile tanesco na mashirika ya maji. Mashirika haya yamefanya kazi kwa kusua sua sanahuku baadhi wa watu wachache wakijilimbikizia mali. Ikiwezekana binafsisha hata taasisi ya Elimu.
Waache wabwabwaje mkuu!Bandali kwa miaka mingi inaendeshwa na private sector, kuna kwmpuni moja lilimaliza muda wake mwakw jana sijui tis nadhani sasa nafikiri zabuni mpyw imefika hivyo si ajabu sana
Acheni kuwasingizia wazee! 2020 tulipokuwa tunapiga kura vijana mlikuwa wapi? 2020 wakati Magu anaiba kura vijana mlikuwa wapi? Kwa hiyo tulieni kabisa maana hata ndiyo madhara ya ujinga wenu kukimbia sanduku la kura! Wabinafsishe tu!Wazee wa miaka 60+ wana waamulia Watoto wenu kwa miaka 99 ijayo, ina maana Bandari yetu itachukuliwa chini ya hao Wageni hadi 2122, ambao wote humu tutakuwa Makaburi ikiwemo na aliyeuza.
Hizi ni athari za kutokuwa na Viongozi Wazalendo, wanajifikiria wao tu
Nimekwambia kwa nia njema kabla hayajakufika.
Mavi-jana yenyewe yamegeuka kuwa machawa!Ngoja tuendelee kuibiwa na hawa Wazee hadi akili ziturudie.
Vijana si bado wamelala 🙆♂️
Unajua utaratibu wa kupakua vifaa?Watanzania tuache undundu, hivi unafikri vifaa vya kijeshi vinashushwa pale bandarini utasogeza hata pua yako pale? Sina hakika kama tuna jeshi dhaifu kiasi hicho!
Soma uelewe wewe mvaa makobaziHuo mkataba wa kuuzwa Tanganyika uko wapi?