Bandari na Usalama wa Taifa, Rais Samia hujui hata hili?

Bandari na Usalama wa Taifa, Rais Samia hujui hata hili?

Naomba kufahamu kwani wamekodisha bandari zote? Na kingine vipi silaha zetu zotena na mambo mengine lazma yapitie dar es salaam pekeyake........ bado siungi mkono ukodishwaji wa bandari yetu kama kulikuwa na mapungufu nivema tukaya fanyia kazi ..... naomba kueleweshwa hapa
Hamuwezi kuyafanyia kazi nyie mapungufu hata mpewe miak 1000
Mtabaki vilevile

Ova
 
Tunaelewa sana tunachokisoma na tunaelewa sana hizi ni chuki za kibaguzi tu, hakuna zaidi. Hata kauli zako hazijifichi.

Wewe hivyo viatu vyako bila Salim Ahmed Salim kuruhusu mitumba ungekuwa unapekuwa mpaka leo.

"Wavaa kobazi" ndiyo waliokuletea ustaarabu ambao unakushinda mpaka leo hii.

Usisahau hilo.
Ustaarabu upi ? Huo wa kujilipua mabomu ili mpate mabikra akhera ?

Acha ujinga.
 
Hakuna Serikali inaweza kuua Raia wake wengi kwa mara moja, imagine wameandamana Wananchi laki 2 hapa DSm unadhani Serikali itaweza kuwapiga wote Risasi

Hapo ni uthubutu tu
Usithubutu, utakufa ni hakika hao watu hawana utu mbele ya madaraka yao
 
Uzi huu hauhusiani na uzi mwingine, ni alert mahsusi kwa Rais Samia.

Mh Rais inamaana wewe na wabunge hamfahamu kuwa vifaa vingi vya ulinzi na usalama huingia nchini kupitia bandari?

Vipi endapo kampuni itakayopewa kuendesha bandari ikiajiri bila kujua majasusi wa nchi jirani kuwa watumishi wake, huoni utakuwa unatoa siri za uwezo wa jeshi lako bila kujua?

Huoni utawaanikia magaidi taarifa zako muhimu? Unakodisha vipi kitovu cha uchumi wako?

Kuna mikataba mingine hayati JPM alisema inaweza kusainiwa na vichaa tu.

Nimekwambia kwa nia njema kabla hayajakufika.
Hili suala Magu alilifafanua sana, alafu huyu mama anajitia upofu.
 
Ilo yeye halimuhusu anachokitaka yeye ni kupeperusha bendera ya Zanzibar TU...sisi tutauzwa mchana kweupe na utanzania wetu... wazanzibar Wana visasi vibaya sana asikwambie mtu...Hawa watu tungewaachia nchi Yao na sisi tubaki na nchi yetu...
 
Zamani Babu na bibi zetu walivishwa nyororo na kuuzwa ,tuliosoma historia tulikuwa tunasema inawezekanaje ina maana hawa watu walikuwa wajinga eeh,lakini Sasa hivi pamoja na elimu na teknolojia yaani tunauzwa tena pasipo hata kufungwa nyororo.
 
In the contrary, it's very well known !!!
 
Uzi huu hauhusiani na uzi mwingine, ni alert mahsusi kwa Rais Samia.

Mh Rais inamaana wewe na wabunge hamfahamu kuwa vifaa vingi vya ulinzi na usalama huingia nchini kupitia bandari?

Vipi endapo kampuni itakayopewa kuendesha bandari ikiajiri bila kujua majasusi wa nchi jirani kuwa watumishi wake, huoni utakuwa unatoa siri za uwezo wa jeshi lako bila kujua?

Huoni utawaanikia magaidi taarifa zako muhimu? Unakodisha vipi kitovu cha uchumi wako?

Kuna mikataba mingine hayati JPM alisema inaweza kusainiwa na vichaa tu.

Nimekwambia kwa nia njema kabla hayajakufika.
Acha kusingizia na kufikiria kutumia akili ndogo. Umeambiwa hayo ni makubaliano na siyo ya kila kitu, vitu vyetu vitapitia njia salama kabisa. Acheni kumsumbua Mama
 
Hakuna faida yeyote.

Baada ya Nyerere walibinafsisha kila kitu tumebakia maskini mpaka sasa.

Rais nchi imemshinda anatamani kubinafsisha kila kitu mpaka raia wake ila sio cheo chake.
Hakuna sheria inayozuia raia wa Tanzania kuhama nchi, nenda Burundi mkuu
 
Uzi huu hauhusiani na uzi mwingine, ni alert mahsusi kwa Rais Samia.

Mh Rais inamaana wewe na wabunge hamfahamu kuwa vifaa vingi vya ulinzi na usalama huingia nchini kupitia bandari?

Vipi endapo kampuni itakayopewa kuendesha bandari ikiajiri bila kujua majasusi wa nchi jirani kuwa watumishi wake, huoni utakuwa unatoa siri za uwezo wa jeshi lako bila kujua?

Huoni utawaanikia magaidi taarifa zako muhimu? Unakodisha vipi kitovu cha uchumi wako?

Kuna mikataba mingine hayati JPM alisema inaweza kusainiwa na vichaa tu.

Nimekwambia kwa nia njema kabla hayajakufika.
Umefikiria kienyeji sana,hivi umewahi ona pesa zinaposafirishwa si ndio? Huwa zinapekuliwa? Huwa unajua kiasi? Ila unajua ni msafara wa pesa bila shaka..

Hata huko Bandarini vifaa vya kijeshi vinaweza ingia na hakuna wa kukagua,kukodisha Bandari sio kukodisha exclusive rights za Nchi na mara kadhaa tumeshuhudia misafara ya majeshi wakisafirisha zana zao usiku au mchana ila huwezi jua aina ya zana unless wewe ni mtaalamu wa mambo ya jeshi..

Hata huko Nchi zilizoendelea tunaona silaha zinasafirishwa na maadui wanajua ila huwezi jua quantity hata zana zote kiujumla.

Mwisho kwamba Nchi ambazo hazina Bandari basi wewe unajua aina ya silaha zoote walizonazo si ndio? Tuacheni ujuaji usio na msingi na kuwafanya viongozi wajinga..
 
Anataka awajaze mashekhe bandarini. Huyu mama ni mdini sana hamjui tu. Ukiangalia kwa makini kwa mtu mwenye akili kayika teuzi zake utagundua zuna udini sana
 
Back
Top Bottom