Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Liufupi tuna raisi dhaifu sana. Nina mashaka hao wasaidizi wake wanamuingiza chaka ili 2025 asiwepo. Kiongozi dhaifu huleta shida kwenye taifaUzi huu hauhusiani na uzi mwingine, ni alert mahsusi kwa Rais Samia.
Mh Rais inamaana wewe na wabunge hamfahamu kuwa vifaa vingi vya ulinzi na usalama huingia nchini kupitia bandari?
Vipi endapo kampuni itakayopewa kuendesha bandari ikiajiri bila kujua majasusi wa nchi jirani kuwa watumishi wake, huoni utakuwa unatoa siri za uwezo wa jeshi lako bila kujua?
Huoni utawaanikia magaidi taarifa zako muhimu? Unakodisha vipi kitovu cha uchumi wako?
Kuna mikataba mingine hayati JPM alisema inaweza kusainiwa na vichaa tu.
Nimekwambia kwa nia njema kabla hayajakufika.
Hapa uliposema UNLESS uwe mtaalamu wa masuala ya Kijeshi tayari umekubali kuwa haishindikani kupandikizwa Majasusi wa aina hiyo.Umefikiria kienyeji sana,hivi umewahi ona pesa zinaposafirishwa si ndio? Huwa zinapekuliwa? Huwa unajua kiasi? Ila unajua ni msafara wa pesa bila shaka..
Hata huko Bandarini vifaa vya kijeshi vinaweza ingia na hakuna wa kukagua,kukodisha Bandari sio kukodisha exclusive rights za Nchi na mara kadhaa tumeshuhudia misafara ya majeshi wakisafirisha zana zao usiku au mchana ila huwezi jua aina ya zana unless wewe ni mtaalamu wa mambo ya jeshi..
Hata huko Nchi zilizoendelea tunaona silaha zinasafirishwa na maadui wanajua ila huwezi jua quantity hata zana zote kiujumla.
Mwisho kwamba Nchi ambazo hazina Bandari basi wewe unajua aina ya silaha zoote walizonazo si ndio? Tuacheni ujuaji usio na msingi na kuwafanya viongozi wajinga..
Acha blaa blaa wewe hata Sasa majasusi wapo Wala haihitaji kuwepo bandariniHapa uliposema UNLESS uwe mtaalamu wa masuala ya Kijeshi tayari umekubali kuwa haishindikani kupandikizwa Majasusi wa aina hiyo.
Usimrushie mtu madongo kuwa anajifanya mjuaji ilihali alichofanya ni kufikiria nje ya boksi na kuweka tafakuri yake.
Tujifunze kuheshimu mawazo ya wengine.
Huko ndiko aliko nyanya Yako.Hakuna sheria inayozuia raia wa Tanzania kuhama nchi, nenda Burundi mkuu
Kwamba humu tunalisha FAKE News!!.Lakini kwenye Mkataba Waziri Mbarawa inaonekana ameghushi sahihi ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kuna wino wa Kijani wa kalamu ya Waziri alafu hapo hapo kuna wino wa bluu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua maana ya nchi kuuzwa?Hapo vip!!
Binafsi haya maswala yanaendelea ndani ya nchi yetu ni inatoa tafsiri rahisi kwa ulimwengu dhidi ya uwezo wa majeshi ya yetu kulinda nchi na usalama wa nchi kwa ujumla.
Simaanishi majeshi yetu sio imara ila najiuliza maswali kwanini wanafumbia macho maswala mbalimbali,nchi nyingine kuuziwa eneo na kutawala eneo fulani fulani na kuwa na mamla kwenye eneo hilo ndani ya nchi yetu ni hatari kwa usama wao na nchi kwa ujumla.
Hakuna mtanzania asiyefahamu issue ya loliondo taifa nyingine kuwa na utawala na mamlaka yakufanya chochote katika eneo hilo.Hili jambo halikubaliki hata kidogo katika taifa linalojielewa.
Hii tabia emeendele kumea na kukua kwa kasi,sasa tunasikia bandari inabinafsishwa kwa taifa lingine na kwa aina ya mkataba wa ubinfsishaji ni sawa na kuuza bandari kwa taifa lingine na kuipaa mamlaka ya kufanya chochote ndani ya bandari zetu..Bandari katika nchi ni sawa na mlango wa kuingilia ndani kwako,usalama wa nchi upo wap..huu si ukoloni unaorudi kwa njia ya kuzidiwa akili na wale wale waliotutawala kwa nyakati zile..yaani hapa naandika huku machozi yakinitoka.
Ndio unieleweshe mimi sijuiUnajua maana ya nchi kuuzwa?
Hili nalo mkalitizame.JWTZ ibinafsishwe kwa Wagner PMC.
HAKUNA tunachoweza
Mkuu mheshimu Raise aisee...Kuna mikataba mingine hayati JPM alisema inaweza kusainiwa na vichaa tu.
Kuna sheria ipi inayosema lazima uende nchi ambayo nyanya yako yupo?Huko ndiko aliko nyanya Yako.