Bandari na Usalama wa Taifa, Rais Samia hujui hata hili?

Bandari na Usalama wa Taifa, Rais Samia hujui hata hili?

Inawezekena Watanzania ndi Nchi inayoongoza kwa kuwa na Wajinga kuliko Nchi yeyote Duniani aisee pana vitu ukivisikia akili ndogo inakataa kuwa hicho kitu hakiwezekani ila baadae utasikia kweli...
SOME AFRICAN COUNTRIES AND THEIR NICK NAMES.

• South Africa – Rainbow Nation [emoji1221]
• Rwanda – Land of a Thousand Hills[emoji1206]
• Madagascar – The Red Island [emoji1155]
• Lesotho – The Kingdom In the Sky [emoji1147]
• Egypt – The Gift of the Nile [emoji1093]
• Burkina Faso – Land of the Upright Men[emoji1059]
• Ghana- The gateway to Africa/The Blackstar of Africa[emoji1110]
• Nigeria- The Giant of Africa [emoji1184]
• Namibia- Land of the Brave [emoji1176]
• Uganda- The Pearl of Africa [emoji1254]
• Malawi- The Warm heart of Africa [emoji1156]
• Zambia- The real Africa [emoji1268]
• Kenya - the pride of Africa [emoji1139]
• Tanzania - Brain of Africa (Bongo) [emoji1241]
• Gambia- the smiling coast of Africa [emoji1108]
• Ethiopia- the land of origin [emoji1098]
• Burkina faso - the land of upright men[emoji1059]
• Morroco -the land of colours [emoji1173]
• Mauritius- the continental island [emoji1164]
• Comoros- the perfum island [emoji1076]
• Sierra leone - salone [emoji1214]
• Chad- the dead heart of Africa [emoji1070]
• Mali- the eyes of africa[emoji1159]
• Djibouti - the pearl of the gulf of tadjiboura [emoji1089]
• Cabo verde - llha do [emoji1065]
• Sao tome and Principe- the chocolate island [emoji1209]
• Cameroun- the hinge of Africa [emoji1062]
• Seychelles - the land of perpetual summer [emoji1213]
• Gabon - Le bled [emoji1107]
• Somali - the horn of Africa [emoji1220]
• Botswana - Peaceful nation [emoji1052]
#copied
 
Hata 2040 hatutakuwa na mawazo mapya,watoto walioko shule wanachora zombies kwenye mitihani😭😭😭😭
Wakibaki wenyewe bila hawa Wazee huenda wakawa na mtazamo tofauti, hawa Wazee wameanza wizi kitambo baada ya Mwl kufariki mwaka 1999
 
Bandali kwa miaka mingi inaendeshwa na private sector, kuna kwmpuni moja lilimaliza muda wake mwakw jana sijui tis nadhani sasa nafikiri zabuni mpyw imefika hivyo si ajabu sana
Ilikuwa inaitwa TICS... Tofauti ni kwamba haikuwa na mkataba kama huu, ndiyo maana serikali iliweza kuachana nao baada ya kuona mapungufu yao...
 
Inawezekena Watanzania ndi Nchi inayoongoza kwa kuwa na Wajinga kuliko Nchi yeyote Duniani aisee pana vitu ukivisikia akili ndogo inakataa kuwa hicho kitu hakiwezekani ila baadae utasikia kweli...
Kumbuka mwaka 1961 Nyerere alitangaza maadui watatu UJINGA, MARADHI na UMASIKINI je hao maadui tumeweza kuwaangamiza?
 
Tuondoe hofu, kila kitu kina faida na hasara, inawezekana faida ikawa ni kubwa zaidi kuliko hasara; nadhani kutakuwepo na muda wa matazamio.
Umesikia chochote kwenye huo mkataba wakisema tutapata asilimia ngapi ya mapato yatajayokuwa yanapatikana?
 
Shida inaanzia kwenu nyie wanya nchi ni ma hopeless saana....
Hata ivyo ni mashirika mangap mlipewa mkaua, hata iyo bandari imelalamikiwa mara ngap??
Mkiambiwa mri act mnauliza ooh mbona kina Mboe na tundu lissu hawaendi front??

Mwisho wasiku mama samia she is right mijitu anayoitawala inawaza wizi tuu na uvivu huku nchi inapata hasara mwisho wa siku bora ataifishe apate faida ya kueleweka
Unalaumu wananchi kwani ndiyo wanaoteuwa watendaji wa bandari? Tanzania tuko milioni 60 na ushee, tena wengine wako huko nje na ni wazoefu wakubwa je wametumiwa au kila siku ni kufanya recycling [emoji748] ya watu wale wale tuu?
 
Uzi huu hauhusiani na uzi mwingine, ni alert mahsusi kwa Rais Samia.

Mh Rais inamaana wewe na wabunge hamfahamu kuwa vifaa vingi vya ulinzi na usalama huingia nchini kupitia bandari?

Vipi endapo kampuni itakayopewa kuendesha bandari ikiajiri bila kujua majasusi wa nchi jirani kuwa watumishi wake, huoni utakuwa unatoa siri za uwezo wa jeshi lako bila kujua?

Huoni utawaanikia magaidi taarifa zako muhimu? Unakodisha vipi kitovu cha uchumi wako?

Kuna mikataba mingine hayati JPM alisema inaweza kusainiwa na vichaa tu.

Nimekwambia kwa nia njema kabla hayajakufika.
Kuhusu Ulinzi na Usalama tuna chombo iyo hapo inachukua mzigo kokote Duniani na dereva ni mbongo huyo hapo mwanamama.Bandari aachiwe muarabu wa Dubai tuagize Ramboghini na ma Ferrari alafu ushuru bei chee tu kulitoa Bandarini kama ya Bagamoyo tumeikataa huu ndio mbadala wake ukizingatia tuna SGR mizigo mingi inabidi tu supply kupitia Digital port tulishe nchi za SADIC naiona Tanzania kubwa sana Mama aungwe mkono.View attachment 2654212
IMG-20230603-WA0100.jpg
View attachment 2654213
 
Mimi binafsi nampongeza rais kwa kuwakodishia bandari wabia wengine.
Bandari pengine inaleta faida kidogo sana na janja janja zimekuwa nyingi mno.
Mheshimiwa rais angalia na namna ya kubinafsisha mashirika mengine kama vile tanesco na mashirika ya maji. Mashirika haya yamefanya kazi kwa kusua sua sanahuku baadhi wa watu wachache wakijilimbikizia mali. Ikiwezekana binafsisha hata taasisi ya Elimu.
Sawa, je mwenzetu umeweza kujua tutapata asilimia ngapi ya mapato yatajayokuwa yanapatikana hapo bandarini?
 
Unalaumu wananchi kwani ndiyo wanaoteuwa watendaji wa bandari? Tanzania tuko milioni 60 na ushee, tena wengine wako huko nje na ni wazoefu wakubwa je wametumiwa au kila siku ni kufanya recycling [emoji748] ya watu wale wale tuu?
Blow binadamu anaasili ya ubinafsi asipo dhibitiwa hawezi kufkiria wenzake (taifa).
Ishu ni kwamba katiba inampa nguvu mtu mmoja tuu na si (wananchi) tumeridhika....na hapa ndo penye shina na mzizi wa matatizo mengi. Si tunabaki kusema mambo ya siasa hayatuhusu
 
Uzi huu hauhusiani na uzi mwingine, ni alert mahsusi kwa Rais Samia.

Mh Rais inamaana wewe na wabunge hamfahamu kuwa vifaa vingi vya ulinzi na usalama huingia nchini kupitia bandari?

Vipi endapo kampuni itakayopewa kuendesha bandari ikiajiri bila kujua majasusi wa nchi jirani kuwa watumishi wake, huoni utakuwa unatoa siri za uwezo wa jeshi lako bila kujua?

Huoni utawaanikia magaidi taarifa zako muhimu? Unakodisha vipi kitovu cha uchumi wako?

Kuna mikataba mingine hayati JPM alisema inaweza kusainiwa na vichaa tu.

Nimekwambia kwa nia njema kabla hayajakufika.

Nawaalika Watanzania bara wote ku sign petition ya kuzuia uovu huu sasa;
Unataka kuwafundisha watu wa usalama kuhusu usalama?


Tumia. Kichwa chako kufikiri japo kiduchu, siyo kukiwacha mzigo tu juu ya mabega yako.
 
Uzi huu hauhusiani na uzi mwingine, ni alert mahsusi kwa Rais Samia.

Mh Rais inamaana wewe na wabunge hamfahamu kuwa vifaa vingi vya ulinzi na usalama huingia nchini kupitia bandari?

Vipi endapo kampuni itakayopewa kuendesha bandari ikiajiri bila kujua majasusi wa nchi jirani kuwa watumishi wake, huoni utakuwa unatoa siri za uwezo wa jeshi lako bila kujua?

Huoni utawaanikia magaidi taarifa zako muhimu? Unakodisha vipi kitovu cha uchumi wako?

Kuna mikataba mingine hayati JPM alisema inaweza kusainiwa na vichaa tu.

Nimekwambia kwa nia njema kabla hayajakufika.

Nawaalika Watanzania bara wote ku sign petition ya kuzuia uovu huu sasa;
Kwa lugha nyepes kuwapa waarabu kitiivo cha uchumi tunasema huo ni ujinga uliotukuka
 
Umesikia chochote kwenye huo mkataba wakisema tutapata asilimia ngapi ya mapato yatajayokuwa yanapatikana?
Ukitaka usiwe na stress katika hii dunia, ni kuachana na mambo ya siasa; hakuna namna,maisha mafupi, stress za nini.
 
Back
Top Bottom