Frontier Ace, Meli kubwa kabisa ya Magari kuwahi kutia nanga Bandari ya Dar Es Salaam kesho Ijumaa tarehe 8/04/2022 itaandika historia, itakapotia nanga bandarini mapema asbh, moja kwa moja kutoka Japan.
Hii ni kutokana na maboresho makubwa kabisa ya miundombinu yaliyofanywa katika bandari za Tanzania, na hususani Bandari Kuu ya Dar Es Salaam hivyo kuwezesha Meli kubwa kama Frontier Ace kutia nanga kwa Usalama kabisa bila shida yoyote.
Heshima kwa DG Eric Hamissi kwa bidii ya kazi na kufanya kazi bila makeke yoyote.
Hongera sana Mama Samia kwa kuiunga Mkono Menejimenti ya TPA kupitia uwekezaji wa miundombinu na ununuzi wa vifaa hivyo kuwezesha Bandari yetu kuaminiwa na wenye meli wakubwa
Karibu Tanzania FRONTIER ACE
Kazi Iendelee [emoji111][emoji111]
View attachment 2179435