Bandari Salama, bandari ya TPA, itakapopokea meli kubwa ya kihistoria

Bandari Salama, bandari ya TPA, itakapopokea meli kubwa ya kihistoria

Kutua kwa meli kubwa bibsawa. Ila kunahitajika mambo ya ziada ambayo yangenufaisha nchi yetu kiulaini kabisa bila makeke. Pamoja na sheria kuwepo. Kama ningekuwa nini ningerekebisha baadhi ya mambo yafuatayo.
1. Ningeacha kutoza customs warehouse rent, maana tayari storage inatozwa na toa.
2. Ningeruhusu wateja wanaokuja kuchujua magari yao na wakanunua mizigo kariakoo waibebe kwa uhuru ili mradu wawe na efd receipts. Kwenye hili uchumi wa mduka yetu ungeonezeka sana.
3. Ningepunguza usumbufu wa askari barabarani kwa kuweka vituo maalumu njiani bila haja ya kusimamishwa kila mahali.
Usumbufu huu ungehusu pia malori yanayibeba mizigo kwenda nje ya nchi.
4. Ningehakikisha pale bandarini kunakuwa na mzingira mazuri ya mawakala wanaotoa mizigo. Mawakala hawana usafiri wa haraka bandarini. Ucheleweshaji wa utayarishaji wa Ankara za kulipia malipo ya bandari.
5. Ningehakikisha malipo yakishafanyika ya bandari basi kutolewe masaa 24 ili kutoa mzigo huo bandarini. Tofauti na sasa ambapo wakala akilipia saa 3 usiku basi ikifika saa 6 usiku inahesabiwa kuwa ni siku nyingine.
6. Ningeruhusu pale mzigo mkubwa unapolipiwa kabola ya siku za storage kuanza basi mzigo huo uendelee kutolewa mpaka uishe kuliko utaratibu wa sasa ambapo kama kintena 100 zimelipiwa kabla ya storage, wakala akaanza kuingiza kupakia, siku ya storage ikifika yanahesabiwa storage. Haina tija yoyote.
Mkuu shukrani kwa maoni yako
 
Sasa hongera ya nini unafurahia imports ? Yaani nchi hii watu ni wajinga hadi wanakera, ingekuwa inakuja kuchukuwa exports na kuondoka imejaa bidhaa zetu hapo kungekuwa na cha kufurahia, sasa unafurahia imports ??? Unafurahia meli inayoleta bidhaa za nchi nyingine na kuondoka tupu ?
 
Frontier Ace, Meli kubwa kabisa ya Magari kuwahi kutia nanga Bandari ya Dar Es Salaam kesho Ijumaa tarehe 8/04/2022 itaandika historia, itakapotia nanga bandarini mapema asbh, moja kwa moja kutoka Japan.

Hii ni kutokana na maboresho makubwa kabisa ya miundombinu yaliyofanywa katika bandari za Tanzania, na hususani Bandari Kuu ya Dar Es Salaam hivyo kuwezesha Meli kubwa kama Frontier Ace kutia nanga kwa Usalama kabisa bila shida yoyote.

Heshima kwa DG Eric Hamissi kwa bidii ya kazi na kufanya kazi bila makeke yoyote.

Hongera sana Mama Samia kwa kuiunga Mkono Menejimenti ya TPA kupitia uwekezaji wa miundombinu na ununuzi wa vifaa hivyo kuwezesha Bandari yetu kuaminiwa na wenye meli wakubwa

Karibu Tanzania FRONTIER ACE
Kazi Iendelee ✌✌

View attachment 2179435
Hii meli haijaletwa na CCM ieleweke hivyo
 
Acha kupotosha kwa muda aliokaa Eric pale TPA kamwe asingeweza kuboresha hiyo miundombinu.

Bali ukweli ni huu maboresho yote unayoyaona hapo TPA ni moja ya maamuzi bora kabisa kufanywa na Hayati Magufuli kwa kutenga fedha za kufanya maboresho ya miundombinu yote ya bandari yetu pendwa ya Dar es Salaam.

Wakati mwingine hata kama tuna chuki na mtu lakini tumpe credit kwa aliyoyafanya.
Alianza Kikwete,Magufuli akamalizia,huyo Eric ni wa jana tu
 
Shukrani kwa aliefanya ukarabati na upanuzi wa hio bandari ku accomodate ma meli makubwa...he had vision ambayo wengine wanaitembelea km Nyota yao...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kishindo kikuu 'Bandari Salama', bandari ya TPA, itakapopokea meli kubwa ya kihistoria. Kaa tayari kujua.
View attachment 2179355

Ushauri TPA habari zao mbali ya kutumia lugha ya kiSwahili pia wawakumbuke wateja wakimataifa wanaotumia lugha za kiEnglish na kiFaransa maana inahudumia nchi jirani za Zimbabwe, Malawi, Zambia, DR Congo, Burundi na Rwanda pia ikiwa kweli TPA imepania kushindana na bandari zingine za Kusini mwa Afrika na Afrika Mashariki.

Kitengo cha mawasiliano kwa umma na masoko cha TPA wajiongeze kukabiliana na ushindani kimataifa kwa kila mbinu ikiwemo matumizi ya lugha kubwa za kimataifa ktk platform zote za media na ICT.
 
The current position of FRONTIER ACE is in Malacca Strait with coordinates 1.30665° / 103.33542° as reported on 2022-03-29 05:18 by AIS to our vessel tracker app. The vessel's current speed is 18 Knots and is heading at the port of DAR ES SALAAM. The estimated time of arrival as calculated by MyShipTracking vessel tracking app is 2022-04-07 17:53

© marinetraffic.com
NameFRONTIER ACE
Flag
PA.png
Panama
MMSI352283000
IMO9209271
Call SignH3CM
TypeVehicles Carrier
Size190 x 32 m
Speed AVG/MAX---
Draught AVG---
GRT52,276 Tons
DWT17,693 Tons
Owner---
Build2000 ( 22 years old )
 
Acheni kupamba watu wasiohusika, ukarabati wa pale TPA ulianza muda Sana mwishoni mwa JK na Magu akapokea malengo yakiwa ndio haya ya meli kubwa kutia nanga na kuchochea uchumi na hata wakuu wa bandari by then walipita wengine sio huyu wa Jana eric...au labda kakutuma umfanyie branding?
Huyu muanzisha uzi mshamba sana...

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Bandari yenyewe kwa sasa 8nafanya kazi very slowly acha tuu mombasa kutoa mzigo kwa sasa ni siku 28 napa kwetu kwa sasa miezi 2 na point sijui kama kuna mizigo ya East Africa country inyopitisha mizigo bandari ya Dar es salaam kwa sasa naona Mombasa kwa sasa imeshika hatamu
 
Frontier Ace, Meli kubwa kabisa ya Magari kuwahi kutia nanga Bandari ya Dar Es Salaam kesho Ijumaa tarehe 8/04/2022 itaandika historia, itakapotia nanga bandarini mapema asbh, moja kwa moja kutoka Japan.

Hii ni kutokana na maboresho makubwa kabisa ya miundombinu yaliyofanywa katika bandari za Tanzania, na hususani Bandari Kuu ya Dar Es Salaam hivyo kuwezesha Meli kubwa kama Frontier Ace kutia nanga kwa Usalama kabisa bila shida yoyote.

Heshima kwa DG Eric Hamissi kwa bidii ya kazi na kufanya kazi bila makeke yoyote.

Hongera sana Mama Samia kwa kuiunga Mkono Menejimenti ya TPA kupitia uwekezaji wa miundombinu na ununuzi wa vifaa hivyo kuwezesha Bandari yetu kuaminiwa na wenye meli wakubwa

Karibu Tanzania FRONTIER ACE
Kazi Iendelee [emoji111][emoji111]

View attachment 2179435

Chawa pro max hivi mnalishwaga nini kujikomba komba kwa watu ivo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nitakuwepo hapo kusaidia Kaz ndogndogo au vip mleta mada
 
Hayo Magari yanakuja kuongeza changamoto ya mafuta tu, yaliyopo tu hayatoshi 😡😡😡😡
 
Kishindo kikuu 'Bandari Salama', bandari ya TPA, itakapopokea meli kubwa ya kihistoria. Kaa tayari kujua.
Kuna jamaa kaandika

"It's our Vessel called Frontier Ace is coming direct from Singapore carrying 4342 units. Accordingly to Vessel Captain tomorrow morning at 0900Lts confirmed will be out Anchorage for waiting berth instruction from Port Control our authority"
View attachment 2179355

Tunamshuru Rais Samia kwa kutuletea meli kubwa
IMG_0754.jpg
 
Piga kazi mama tumecheleweshwa mnooo kama taifa.
 
Back
Top Bottom