Bandari Salama, bandari ya TPA, itakapopokea meli kubwa ya kihistoria

Bandari Salama, bandari ya TPA, itakapopokea meli kubwa ya kihistoria

Acha kupotosha kwa muda aliokaa Eric pale TPA kamwe asingeweza kuboresha hiyo miundombinu.

Bali ukweli ni huu maboresho yote unayoyaona hapo TPA ni moja ya maamuzi bora kabisa kufanywa na Hayati Magufuli kwa kutenga fedha za kufanya maboresho ya miundombinu yote ya bandari yetu pendwa ya Dar es Salaam.

Wakati mwingine hata kama tuna chuki na mtu lakini tumpe credit kwa aliyoyafanya.
Yalianza na JK 2014

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeona wakenya wakisema kuna meli 10 zimeshusha mizigo Bandari ya Mombasa kukwepa Foleni Bandari ya daressalaam, kama ni kweli maoni ni uongozi wa Bandari fanyieni kazi hilo , Katika zama hizi za ushindani ili ufanikiwe lazima uwezo wako wa Utendaji uwe Juu.
Kama Bandari ya daressalaam ni ndogo bado ipo Bandari ya Tanga ufanyike upanuzi wa haraka na kuongeza vifaa meli zikijaa Dar zishushe mizigo Tanga .
Yote kwa yote ni kwa ustawi wa nchi
 
Back
Top Bottom