HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Yalianza na JK 2014Acha kupotosha kwa muda aliokaa Eric pale TPA kamwe asingeweza kuboresha hiyo miundombinu.
Bali ukweli ni huu maboresho yote unayoyaona hapo TPA ni moja ya maamuzi bora kabisa kufanywa na Hayati Magufuli kwa kutenga fedha za kufanya maboresho ya miundombinu yote ya bandari yetu pendwa ya Dar es Salaam.
Wakati mwingine hata kama tuna chuki na mtu lakini tumpe credit kwa aliyoyafanya.
Sent using Jamii Forums mobile app