Bandari Salama, bandari ya TPA, itakapopokea meli kubwa ya kihistoria

Bandari Salama, bandari ya TPA, itakapopokea meli kubwa ya kihistoria

Waswahili ni watu wa ajabu ajabu sana!
Tulitarajia ulete habari kama hii:
" Hatimaye TPA kuingiza mapato ya Trilioni mbili kwa mwezi! Bei ya petroli sasa kuwa buku jero kwa lita!"
"Kazi iendelee!!"
 
Frontier Ace, Meli kubwa kabisa ya Magari kuwahi kutia nanga Bandari ya Dar Es Salaam kesho Ijumaa tarehe 8/04/2022 itaandika historia, itakapotia nanga bandarini mapema asbh, moja kwa moja kutoka Japan.

Hii ni kutokana na maboresho makubwa kabisa ya miundombinu yaliyofanywa katika bandari za Tanzania, na hususani Bandari Kuu ya Dar Es Salaam hivyo kuwezesha Meli kubwa kama Frontier Ace kutia nanga kwa Usalama kabisa bila shida yoyote.

Heshima kwa DG Eric Hamissi kwa bidii ya kazi na kufanya kazi bila makeke yoyote.

Hongera sana Mama Samia kwa kuiunga Mkono Menejimenti ya TPA kupitia uwekezaji wa miundombinu na ununuzi wa vifaa hivyo kuwezesha Bandari yetu kuaminiwa na wenye meli wakubwa

Karibu Tanzania FRONTIER ACE
Kazi Iendelee [emoji111][emoji111]

View attachment 2179435
Hapo umesifia wee, Ila mama Samia mwenyewe anasema bandari Kuna matatizo kuliko kawaida na anasema Bora watafute mbia
 
HONGERA CHAWA the great kwa UPUUZI, hivi hujui habari ya vifaa, vitu kupanda bei, UJIO wa meli ya Magari una maana gani? Huku bei ya mafuta pasha kichwa, hongera kwa kuchagua UJINGA....😃😃😬😬😆😆
DG Eric hahusiki na mfumuko wa bei; hayo ni mambo ya Waziri wa Fedha
 
Acheni kupamba watu wasiohusika, ukarabati wa pale TPA ulianza muda Sana mwishoni mwa JK na Magu akapokea malengo yakiwa ndio haya ya meli kubwa kutia nanga na kuchochea uchumi na hata wakuu wa bandari by then walipita wengine sio huyu wa Jana eric...au labda kakutuma umfanyie branding?
Sasa tusifie wasiokuwepo? Aliyepo ndo anafanya kazi
 
Frontier Ace, Meli kubwa kabisa ya Magari kuwahi kutia nanga Bandari ya Dar Es Salaam kesho Ijumaa tarehe 8/04/2022 itaandika historia, itakapotia nanga bandarini mapema asbh, moja kwa moja kutoka Japan.

Hii ni kutokana na maboresho makubwa kabisa ya miundombinu yaliyofanywa katika bandari za Tanzania, na hususani Bandari Kuu ya Dar Es Salaam hivyo kuwezesha Meli kubwa kama Frontier Ace kutia nanga kwa Usalama kabisa bila shida yoyote.

Heshima kwa DG Eric Hamissi kwa bidii ya kazi na kufanya kazi bila makeke yoyote.

Hongera sana Mama Samia kwa kuiunga Mkono Menejimenti ya TPA kupitia uwekezaji wa miundombinu na ununuzi wa vifaa hivyo kuwezesha Bandari yetu kuaminiwa na wenye meli wakubwa

Karibu Tanzania FRONTIER ACE
Kazi Iendelee [emoji111][emoji111]

View attachment 2179435
Hii kwa kiwango kikubwa ilikuwa maono na kati ya vipaumbele vya magufuli.. credits nying kwake tusiwe wanafki
 
Acha kupotosha kwa muda aliokaa Eric pale TPA kamwe asingeweza kuboresha hiyo miundombinu.

Bali ukweli ni huu maboresho yote unayoyaona hapo TPA ni moja ya maamuzi bora kabisa kufanywa na Hayati Magufuli kwa kutenga fedha za kufanya maboresho ya miundombinu yote ya bandari yetu pendwa ya Dar es Salaam.

Wakati mwingine hata kama tuna chuki na mtu lakini tumpe credit kwa aliyoyafanya.
Wanasema ukarabati ulianza wakati wa JK magu ameendeleza kiufupi maamuzi bora ktk hili yalifanywa na JK!
 
Kutua kwa meli kubwa bibsawa. Ila kunahitajika mambo ya ziada ambayo yangenufaisha nchi yetu kiulaini kabisa bila makeke. Pamoja na sheria kuwepo. Kama ningekuwa nini ningerekebisha baadhi ya mambo yafuatayo.
1. Ningeacha kutoza customs warehouse rent, maana tayari storage inatozwa na tpa.
2. Ningeruhusu wateja wanaokuja kuchukua magari yao na wakanunua mizigo kariakoo waibebe kwa uhuru ili mradi wawe na efd receipts. Kwenye hili uchumi wa maduka yetu ungeongezeka sana.
3. Ningepunguza usumbufu wa askari barabarani kwa kuweka vituo maalumu vya ukaguzi kama vigwaza njiani bila haja ya kusimamishwa kila mahali.
Usumbufu huu ungehusu pia malori yanayobeba mizigo kwenda nje ya nchi.
4. Ningehakikisha pale bandarini kunakuwa na mazingira mazuri ya mawakala wanaotoa mizigo. Mawakala hawana usafiri wa haraka bandarini. Ucheleweshaji wa utayarishaji wa Ankara za kulipia malipo ya bandari.
5. Ningehakikisha malipo yakishafanyika ya bandari basi kutolewe masaa 24 ili kutoa mzigo huo bandarini. Tofauti na sasa ambapo wakala akilipia saa 5 usiku basi ikifika saa 6 usiku inahesabiwa kuwa ni siku nyingine.
6. Ningeruhusu pale mzigo mkubwa unapolipiwa kabla ya siku za storage kuanza basi mzigo huo uendelee kutolewa mpaka uishe bila storage kuliko utaratibu wa sasa ambapo kwa mfano kama kontena 100 zimelipiwa kabla ya storage, wakala akaanza kuingiza magari kupakia, siku ya storage ikifika kontena zilioko bandarini zinahesabiwa storage. Haina tija yoyote.
Mkuu hili.la malori ya transit kiukweli nimewah kuketi na madereva kadhaa wana ipongeza Tz sana wana sema sasa iv hakuna usumbufu as long as ukitii sheria ya barabaran ....
 
Iyo chuma kuja kwake tume wa alert tu majirani,

Screenshot_2022_0408_065117.jpg
 
Frontier Ace, Meli kubwa kabisa ya Magari kuwahi kutia nanga Bandari ya Dar Es Salaam kesho Ijumaa tarehe 8/04/2022 itaandika historia, itakapotia nanga bandarini mapema asbh, moja kwa moja kutoka Japan.

Hii ni kutokana na maboresho makubwa kabisa ya miundombinu yaliyofanywa katika bandari za Tanzania, na hususani Bandari Kuu ya Dar Es Salaam hivyo kuwezesha Meli kubwa kama Frontier Ace kutia nanga kwa Usalama kabisa bila shida yoyote.

Heshima kwa DG Eric Hamissi kwa bidii ya kazi na kufanya kazi bila makeke yoyote.

Hongera sana Mama Samia kwa kuiunga Mkono Menejimenti ya TPA kupitia uwekezaji wa miundombinu na ununuzi wa vifaa hivyo kuwezesha Bandari yetu kuaminiwa na wenye meli wakubwa

Karibu Tanzania FRONTIER ACE
Kazi Iendelee ✌✌

View attachment 2179435
Hayo maboresho kafanya huyo Hamis peke yake??? Kwa pesa zake??? Kwanza lini kamaliza lini??
 
Pale kivukoni kuna kina kirefuuu.
Ukizama Kama haujui kuogelea safari
 
Hongera kwa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano was Tz...Hongera kwa WaTanzania wote tuliowezesha huu mradi tokea awamu ya JK,JPM na SSH kwa kuendelea kulipa kodi ambayo imesababisha Bandari hii kupanuliwa na kuongezewa uwezo...
WaTanzania wengi uwezo wetu mdogo sana wakufikiri watu umu wamasema itatusaidia nini ebooo.... Huu ndo uwekezaji ambao tunauongelea bila vyanzo vya uhakia serikali itaendelea kutunyonya kwamakodi hadi basi... Imagine ayo magari 4000+ ni ya Burundi,Rwanda,DRC na Malawi unnafikiri tunapata kodi tena kwa fedha za kigeni shiling ngapi? JF ina watu waajabu sana ebu fikiria mzigo wote huu ungepita Msumbiji tungepitoza shilingi ngapi? Bila uwekezaji kama huu basi tutaendelea kukamuliwa mpaka damu maana serikali lazima ipate kodi kupitia sisi... Ayo Magari mpaka yanafika nchi zao unafikiri yatakua yame refuel Lita ngapi za Petrol/ diesel? Na apo wafanyabiashara mafuta yao yakiisha sindowanaagiza mengine haraka na serikali inapata mapato yake haraka... Tusiwe watu wa kupingapinga kila kitu Hii habari wakiisikia Kenya Mombasa wanaumia... Serikali iendelee kuboresha Bandari ya Tanga na Ntwara kwa haraka sana.... Kama serikali ingeacha masifa ya kununua mindege ambayo haina Tija kwetu na hizo fedha ingepeleka kwenye uwekezaji wa Bandari za Dar/Mtwara/Tanga Leo tungekua ni wakubwa sana kwenye kuingiza mapato sana na uchumi wetu uenda ungekua vizuri sana
 
Sina hofu, nashangaa, unapotoa pongezi Kwa mtu aliyepokea mradi , kuna watangulizi wake. nao waliofanya kazi, hii tabia ya kumpongeza viongozi wakati ni wajibu wao siyo fadhila, sijui itakoma lini!?
 
Sina hofu, nashangaa, unapotoa pongezi Kwa mtu aliyepokea mradi , kuna watangulizi wake. nao waliofanya kazi, hii tabia ya kumpongeza viongozi wakati ni wajibu wao siyo fadhila, sijui itakoma lini!?
Tuliaa, usihofu
 
Frontier Ace, Meli kubwa kabisa ya Magari kuwahi kutia nanga Bandari ya Dar Es Salaam kesho Ijumaa tarehe 8/04/2022 itaandika historia, itakapotia nanga bandarini mapema asbh, moja kwa moja kutoka Japan.

Hii ni kutokana na maboresho makubwa kabisa ya miundombinu yaliyofanywa katika bandari za Tanzania, na hususani Bandari Kuu ya Dar Es Salaam hivyo kuwezesha Meli kubwa kama Frontier Ace kutia nanga kwa Usalama kabisa bila shida yoyote.

Heshima kwa DG Eric Hamissi kwa bidii ya kazi na kufanya kazi bila makeke yoyote.

Hongera sana Mama Samia kwa kuiunga Mkono Menejimenti ya TPA kupitia uwekezaji wa miundombinu na ununuzi wa vifaa hivyo kuwezesha Bandari yetu kuaminiwa na wenye meli wakubwa

Karibu Tanzania FRONTIER ACE
Kazi Iendelee [emoji111][emoji111]

View attachment 2179435
Hayo marekebisho hayajafanyika jana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni kupamba watu wasiohusika, ukarabati wa pale TPA ulianza muda Sana mwishoni mwa JK na Magu akapokea malengo yakiwa ndio haya ya meli kubwa kutia nanga na kuchochea uchumi na hata wakuu wa bandari by then walipita wengine sio huyu wa Jana eric...au labda kakutuma umfanyie branding?
Si hilo tu bali hata fedha ni WBank wametoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom