Bandari ya Dar es Salaam ibadilishwe jina iitwe Bandari ya Samia

Nimekuelewa sana mkuu, yaaani nimekuelewa!,
 
Naunga mkono hoja!
 
Acha uhuni 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Chawa kule bungeni wanatuaribia nchi
 
Hata wewe na Baba yako na mama yako mbadili jina na kuitwa ubini wa Samia
 
Naunga mkono hoja
 
😆😆😆😆naunga hoja😆🤣
 
Mkuu
Hii nchi haijawahi kuwa serious.

Chawa wanalipwa sana kuliko wanataaluma wetu wanaopaswa kuisaidia nchi
 
Mimi napendekeza wanaume wote wa Ccm nao wapewe jinsia mpya.
 
Napendekeza iitwe kati ya
1 Bandari Samia
2 Almaktoum Port
3 Sukuma Zone Port
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…