Bandari ya Nyamirembe - Chato ipo tayari kwa matumizi

Bandari ya Nyamirembe - Chato ipo tayari kwa matumizi

Halafu eti mabango kila kona tunaambiwa kuwa mzalendo kwa nchi yako,ukienda dukani dai risiti wakati mambo yenyewe ndio haya,hili kwangu sitalifanya.

Au nasema uongo ndugu zanguuu?
 
Namkumbuka sana Mange Kimambi 2018
 
Mkisikia Tanzania kuwa kama Dubai, mjue Tanzania inayoongelewa ni Chato, siyo Mbeya, Iringa, Kilimanjaro wala Arusha au Singida.
 
Kheee MAGUFULI nyie duuu [emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums-1434162751.jpg


Lord denning
 
Back
Top Bottom