Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watapiga hela sanaWacha niwaalike wale jamaa wenye matangazo ya Nguvu za kiume. Jamii forum wameisahahu sana.
Wenye akili walishatusanua wabongo mapema sana. Sema wabongo akili zetu zimelala tu na hazitaki kuamkaNamkumbuka sana Mange Kimambi 2018
Nimekuelewa vizuri sana nduguMkisikia Tanzania kuwa kama Dubai, mjue Tanzania inayoongelewa ni Chato, siyo Mbeya, Iringa, Kilimanjaro wala Arusha au Singida.
Nako kuna hospitali ya Kanda au Chuo cha kisasa cha veta?
Yaani wewe nawe,unatabiri mvua kunyesha kipindi cha masika?Sawa lakini isiwe kigezo cha kuua bandari ya kemondo bukoba, kwa kuwa ziko jilani
Very soon litakuwa ni jijiChato kumekucha!!! Ngoja nitafute kiwanja chato, naona muda si mrefu itizidi Mwanza.
Eee!! Ngoja aje wa Kigoma, itakuwa DubaiJamaa linajipakulia minofu yote. Hafichi chini ya ubwabwa wala nini wazi wazi anakombeleza.
R.I.P mwl JK NyerereNyerere angefanya hivi Butiama ingekuwa kama Europe
Tena Jiji la kisasaVery soon litakuwa ni jiji
Umuhimu upi?Hii ni bandari muhimu sana ba wala sio kwa sababu ya jiwe
Kama hujiangaishi kujua hautajua kama ukijiangaisha kujua utajua tuuNako kuna hospitali ya Kanda au Chuo cha kisasa cha veta?
Bandari ipo tangia kipindi cha Nyerere sema ilikufa tu hivo TPA wamekarabati tu hapo
Jibu swali acha tantalilaKama hujiangaishi kujua hautajua kama ukijiangaisha kujua utajua tuu
Kamuzu Banda.Prezoo ya muyaya...