Bank tellers ni wezi wa kimya kimya, kuweni makini

sasa weee jamaa,unategemea wamiminia vipo miyoyo yao????,wa2 wanaiba mpaka sadaka kanisani!! muuza duka nae anrekebisha mzani!!!,manabii wnauza udongo wa buza kwa ku2danganya umetoka ISRAIL!!,michango ya mafuriko ya manyoni kuna wa2 si ajabu wanalamba!!!"this is bongo jamaa"
 
Wadada warembo halafu wezi
 
Tumejua una maburungutu, hongera zako
 
Kwa nini? Kwani kamera za Benki si zinaonesha mchakato mzima au?
 


Huwezi tafuta hela kwa shida na Jasho halafu uchukue bila kuhesabu.
 
Pesa bandia ndio mchezo wao![emoji23][emoji23] Unabambikizwa fake notes za 30,000/=
Kwa hiyo Hawa staff wanazitoa wapi hizo pesa bandia Hadi zinaingia kwenye system ya bank na kuwapa wateja?

Kuna siku nitakuja kuwauliza watu wa Fedha na Polisi ,ufanye nini ukipewa pesa bandia bank? Je ukigundua ukasema nibadikishie watakataa?
 
Ni upuuzi wa Baadhi ya matela Kwa nini wasiwaambie waende kwenye dirisha la bulk cash? Huwa Wanaboa sana,unakuja jitu limejaza mabulungutu kwenye begi harafu anakuja kupanga foleni.
 
Kwa hiyo Hawa staff wanazitoa wapi hizo pesa bandia Hadi zinaingia kwenye system ya bank na kuwapa wateja?

Kuna siku nitakuja kuwauliza watu wa Fedha na Polisi ,ufanye nini ukipewa pesa bandia bank? Je ukigundua ukasema nibadikishie watakataa?
sidhani kama utajibuwa jibu la uhakika zaidi ya kupewa siasa kwamba Pesa Bandia Bank hazipo.
 
Pale kaunta kuhesabu haiwezekani,ila mwambie azipitishe kwenye mashine kabla ya kukupatia wewe kodoa macho mashine inakwambia ziko ngapi.
Simple!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…