Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Awwwww unantamanisha ujue ππππππ!πΊπΊπΊπΊπΊMbona nikiwa naelekea mbinguni hua nakufikisha kileleni...
Baba wa upako kaonja utamu wa dunia kamkana Yesu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Awwwww unantamanisha ujue ππππππ!πΊπΊπΊπΊπΊMbona nikiwa naelekea mbinguni hua nakufikisha kileleni...
Wewe unasubiria pepo ya kusadikika wakati wenzako tayari wana pepo zao hapa hapa duniani...Awwwww unantamanisha ujue ππππππ!πΊπΊπΊπΊπΊ
Baba wa upako kaonja utamu wa dunia kamkana Yesu
Hiyo mihangaiko BIBLIA haiihofii imeitaja kwa hiyo hakuna jipya.Mtawatambua kwa matendo yao.BIBLIA si kama uhindu,uislam,ubudha au mila fulani kwamba ukikiuka au ukikosoa waamini watakuwajibisha.Mnahangaika sana, suluhisho ni Uislam tu.
Ndio ukisoma ukasoma ukasomea utagundua Jambo isome vizuri bible ukiwa na ice, ndimu/limao na bapa kubwa utaelewa kwamba Mungu na Yesu ni Baba na Mtoto lakini Yesu ni Yesu na Mungu ni Mungu, kuna Mstari kwenye bible anasema "Baba mikononi mwako naiweka ROHO yangu" hapo umeelewa nini Yesu ni Mungu? Kwanini alipolia mpaka kutoka Jasho la damu alisema "Baba naomba uniepushie kikombe hiki" bado hujapata jibu Yesu ni nani na Mungu ni nani?Huendi mbinguni smart ujue Yani amepotea wewe Ndio unaona kajitambuaπ€π€??
Kweli shetani ako kwa kazi π
Soma kwa kutulia mtu Haji kwa nani? Elewa hio Haji sio Manaramtu haji kwa baba
Mchumba bado ujala tu ban? Sio kwa mitusi ileSoma kwa kutulia mtu Haji kwa nani? Elewa hio Haji sio Manara
Mchumba naona umenitafuta unione nilipo atimae umenikuta NIPO kwa Yesu wa Mzee wa Upako Chifu MwantembeMchumba bado ujala tu ban? Sio kwa mitusi ile
Nimekusearch nikategemea nitaona kitu cheupe chenye maandishi mekunduMchumba naona umenitafuta unione nilipo atimae umenikuta NIPO kwa Yesu wa Mzee wa Upako Chifu Mwantembe
π Mchumba ni 100 clones SIO kid's, kwani umenitunuku lini πNimekusearch nikategemea nitaona kitu cheupe chenye maandishi mekundu
Nimesikitika baada ya kusema una watoto 100 humu
Kuna watu huwa wananichokoza wengine nimewatupa kwenye ignore list isijekua ni mali zako hizoππ Mchumba ni 100 clones SIO kid's, kwani umenitunuku lini π
π Hawakugusi Wewe hata kidogo nimewakatazaKuna watu huwa wananichokoza wengine nimewatupa kwenye ignore list isijekua ni mali zako hizoπ
Kwa HIO wewe unasemaje Yesu ni nani Jesus?Nakumbuka miaka kama 15 iliyopita nilikua nabishana na wafia dini wawili wananambia kwamba Yesu ndiye Mungu, nikawaambia mkisema Yesu ni Mungu ntawaelewa lakin mkisema Yesu ndiye Mungu ntawakatalia na wala sio sahihi.
Hapo unyama! Baadae utamwambia mmoja anisalimieπ Hawakugusi Wewe hata kidogo nimewakataza
π Mchumba acha fujo akusalimie vipi sasa HAPO?Hapo unyama! Baadae utamwambia mmoja anisalimie
Aniite 'mama' nitajua mtoto wangu kafikaπ Mchumba acha fujo akusalimie vipi sasa HAPO?
Mkuu japo siko deep sana kwenye bible lkn Yesu ana uungu ndani yake japo yupo Mungu mwenyewe (eloh).Hata wakati Mungu anaumba dunia na vitu vyote Yesu alikuwepo.Kwa HIO wewe unasemaje Yesu ni nani Jesus?
πππ Una VitukoAniite 'mama' nitajua mtoto wangu kafika