Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Huko hakufikiki kirahisi ndio maana hata kuandika ni ngumu[emoji16]Ni Gran Melia.. grand ndio nini?
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko hakufikiki kirahisi ndio maana hata kuandika ni ngumu[emoji16]Ni Gran Melia.. grand ndio nini?
Inanichanganya sana ile mitaa Mara Philips mara Sanawari basi hovyo tu kwa sisi wageni.Mount Meru Hotel ipo Kijenge?.
Yes ni paleNachanganya...bila shaka anaongelea ile lounge pale mbele ya Mount meru hotel
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Ewaah! Lile chimbo ni salama sana nilikuwa najilia vyangu mpaka saa 7 usiku pasi na bughudha.Mount Point itakua anaiongelea na mwenye Picnick(wakina Frank) ndio hao hao wamiliki wa hii Mount Point.
🤣🤣🤣
Tuache utani Arusha kuna pisi kali kama sisimizi tena for the LOKOSTINilikuaga mbishi kama jamaa pia , baada ya kufika chugga nikabadili mtazamo.
Arusha patamu sana aisee, the weather is perfect.
Kuna watoto wazuri sio mchezo aisee [emoji23]
Viwanja classic vizuri vikali vipo, vya kiswahili vipo pia.
Nilipata sifa za Mrina, nikafika [emoji3], aisee nilibaki mdomo wazi.
Nitarudi [emoji1691]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahNi Gran Melia.. grand ndio nini?
Mimi nilikuwa natembea na mguu wa mtoto nilitamani sana kumwaga ubongo wa mtu ila hakuna fala aliyebahatika kunidhamiria kunidhuru ijapokuwa nilikuwa narudi geto usiku sana kwa siku zote nilizokaa hapo jijini.Kuna vijana huwa wanakaa nje ya picnic pale kwenye maegesho ya Taxi hao ndo coordinators wa WIZI
Kuna mmoja nilimvunja mguu yaani umwibie KAMANDA
Huwa nikifika wananyoosheana vidole
Chuga imerudi kwa kasi mzunguuko wa DOLALI umeanza so matukio nayo Yameongezeka
Washirikale kama wapita humu waongeze ULINZI kwenye huo mtaa
Inaonekana ulipewa tahadhari lakini hukuzingatia. Maelezo yako yote yanaonyesha hukuamini tahadhari uliyopewa. Hii tabia ni watanzania karibu wote wanayo. Jambo mpaka limkute ndiyo anakubali lipo na kuanza kulalamika. BTW nikupe angalizo. Hata counter za hizi bar za mitaani kunaweza kusiwe salama kuacha kinywaji kama unavyodhani.Alinipa tahadhari Kwa maana Lile eneo ni Hatari Mzee, Kwanza pale parking yenyewe ni ts own risk
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Utalii wa wanyama pori barabarani 🤣🤣🤣Last time nimeenda Picnic nimeona wameboresha kidogo kuna kaunta kubwa ndani na walinzi (bouncers) tatizo pale ni parking I suggest kama unaenda pale ni bora ukae nje barazani(sema uwe umejiandaa na kile kibaridi cha usiku) ufanye yako huku ukingonjea msosi wako coz wako vizuri kwenye misosi sio mbaya sana, huku ukiendelea kufanya utalii wa wanyama pori barabarani wanavyojipitisha. kuangalia raha sana hahha .Kitu kingine kizuri about Picninc ni Maliwato zao ziko vizuri sana usafi mzuri sana Maji ya moto na TV ndani chooni.
Try La fiesta Njrio PPF pia kuzuri ulinzi kama wote nice vibe.
Wanyamapori wenyewe mchana hawaonekani ni usiku tuUtalii wa wanyama pori barabarani 🤣🤣🤣
Fire🚶♀️🚶♀️🚶♀️🔥Utalii wa wanyama pori barabarani 🤣🤣🤣
Wewe utakuwa mmojawapo,Uandishi wako unaonesha hapa si pa kujitetea Badilikeni.Huu uzushi mnatoaga wapi?
Mnasimuliana vijiwe vya kahawa?.
Kabla sijaja Arusha nilitishwa kama wewe lkn niko nimeishi Arusha zaidi ya miaka 12 hakuna ujinga huu.
Dodoma nimeishi pia tena nilikuwa natembea mwenyewe sikuonaga hili pia.
AU WEWE KI MUONEKANO UMEKAA KISHAMBA?
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Acha uoga mkuuWewe utakuwa mmojawapo,Uandishi wako unaonesha hapa si pa kujitetea Badilikeni.
Huyo amekaa miaka 12 anatoa povu,Hajui watu Tumeishi na kusoma huko Madili yote tunayajua...Tukiwastua watu humu wanaumia maana ndio Dili zao,Vijana fanyeni kazi.
Akina jumanne na afande kingai hawapo kwani ili kuzuia uhalifu huo,Arusha kwa sasa sio.sehemu salama ya kuishi
Kuna unyama na ushenz mwingi Sana Arusha
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app