Waache kupigia kelele waone km hao nemc watawasogeleaYani kisa mtu unamadaraka unanyanyasa watu na biashara yao wakati unamkuta yeye kiosk hajawahi fungua, huu ni uhuni, ndo maana majitu ya namna hii ,Rais aliyaita mastupidi, nami nasema stupid,
Watu wanapambana tengeneza ajira kama sector binfsi alafu mtu mmoja kisa ni mkurugenzi wa NEMC ,analeta ustupidi hapa , ndo maana maajari yanawatafuna
Sio kisa mziki kisa ni kelele zilizopitiliza hilo ndio tatizoKuna viwanda na migodi kibao inachafua mazingira ila wanafungia bar kisa mziki.
Mikwara ya nn chief? Si mfuate sheria?Kwa uzoefu wangu huyo Mkurugenzi au afisa yoyote aliyepo front lazima atapata anachokitafuta. Kufungia Bar 89 kwa mara moja sio jambo dogo. Kagusa pabaya mno. Wasichokijua biashara nyingi kubwa ni za hawa hawa viongozi wetu ila hawatokei front. NEMC wajitafakari.
Moderator nisaidieni huyu mjinga awe kwenye Ignore list ili kuepusha umwagaji wa damu
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Sheria za Tanzania zina tungwa na kina Msukuma .. Ambao hata maana ya sheria hawajui..Mkuregenzi WA NEMC amezipa siku Kumi na NNE waliofungiwa bar kulipa Faini ya shillingi milioni tano la sivyo watazifutia lesini.
Mtumishi huyo WA umma ameyasema hayo Leo wakati akitoa taarifa Kwa vyombo vya habari. Hali hii inazidi kuonyesha namna ilivyo ngumu kufanya biashara Tanzania na ilivyo ngumu Kwa sekta binafsi kutoboa.
Wakati akitoa kauli hii hakuna sehemu alipoweza kufafanua
1. Waajiriwa katika bar hizi wataishi vipi?
2. Mapato ya bar husika Kwa mwezi ni kiasi gani?
3. Milioni tano akiambiwa yeye alipe anao uwezo wa kulipa?
4. Anapopanga kuzifutia leseni Kodi inayopotea itapatikana Kwa njia gani
5. Waliolipa Kodi ya biashara kwenye hizo bar mfano wenye leseni ya chakula ndani ya bar hizo ambao NI tofauti na mmiliki WA bar anaathirika vipi?
6. Serikali ikigikishwa mahamani na kudaiwa fidia Kwa hasara alizosababisha atalipa yeye?
7. Wakati wa ufungaji WA bar husika watu wa NEMC awakuweza kukusanya ushahidi WA makosa yaliyotendwa, je serikali ikitakiwa kuthibitisha hayo ataweza kulisaidia Taifa?
8. Nani aliyetoa leseni ya hizi biashara? Nini mtizamo WA taasisi nyingine?
Haya na mengine yalipaswa kutangulia faini lakini Kwa kuwa mfumo uliopo unatamani wanaojitegemea wasifanikiwe na wanaoiba kama walivyotajwa kwenye ripoti ya CAG wafanikiwe basi ..........
Matokeo yake Kwa mambo haya hakuna mchina wala muhindi wala hata mbongo serious ataweka pesa zake Tanzania ; wote watazitorosha kwenda kuzihifadhi nje.
Taifa langu Tanzania mnavyowatesa Watanzania sidhani kama mnaweza kuzitesa biashara za mabeberu hivi.......
Ikivuma Sana inakaribia kupasuka
Walevi waache ujinga🤣Naunga mkono hoja🤔.Walevi wasitugeuze wote hamnazo🤸🤸🤸
Acha mikwara bossUngejua ulizozitaja nazo zimefungiwa ndo ungejua kuna husda katika hili lililofanywa na NEMC.
Hawa NEMC ni wajinga na wapumbavu, eti watafungia leseni, kwa mamlaka gani waliyo nayo? Kwani wao ndo waliotoa hizo leseni??
Hivi nikiwafikisha mahakamani kwa madai, si naweza shinda fidia ya maana? Wanaweza vipi kuproduce ushahidi usiotia shaka kwamba wakati wanafika walikuta bar yangu inapiga muziki kwa kelele iliyozidi desibeli inayoruhusiwa? Ushahidi wao ni wa namna gani?(mfano traffic wao hukuonesha picha ya gari lako likioverspeed) Je wao NEMC watanipa audio iliyokuwa inakuwa played na kiwango cha desibeli, watathibitisha vp mziki huo ulikuwa kwangu na sio bar nyingine? Wakili mzuri nione PM tuyajenge PM, nina hisa kwenye Bar moja maarufu hapa DSM wameifungia
Acha kusumbua watu wewe tangu umeanza kutumia jf hujui kuweka ignore list kweli wewe pwagu pwagu tuModerator nisaidieni huyu mjinga awe kwenye Ignore list ili kuepusha umwagaji wa damu
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Uko sahihi tumechoka na masebene yasiyo IshaWawe wanawapiga hizo mln 5 mara,kwa mara mpk watie akili
Ova
Kwa hiyo viongozi ndio wana haki ya kuvunja sheria na kufanya usumbufu kwa raia wengine?? Akili za hovyo sana hizi.Kwa uzoefu wangu huyo Mkurugenzi au afisa yoyote aliyepo front lazima atapata anachokitafuta. Kufungia Bar 89 kwa mara moja sio jambo dogo. Kagusa pabaya mno. Wasichokijua biashara nyingi kubwa ni za hawa hawa viongozi wetu ila hawatokei front. NEMC wajitafakari.
Sawa ni kweli mkuu hata mi mtaani kwangu ni hivo hivo ila Huwa haidumu dk 20 hizo maneno zote.Sasa mziki Huwa ni kuanzia saa tatu usiku Hadi kunakucha.Hapa jirani kuna msikiti unaanza adhana saa kumi za usiku na mwingine saa kumi na moja.
Kuna shehe anapiga adhana halafu anaanza mawaidha usiku, mwingine anaaza vitisho kwa watakaokaidi kuamka, mwingine anaweka Kawaida. Hili nalo liangaliwe kuwe na kanuni ya kuanza adhana na nini kisifanyike ili wengine waendelee kuchapa usingizi.
Bar zimefungiwa kisa kelele kwa watu wa nje wasiohusika nazo, sio kwa sababu ya muziki.Kuna viwanda na migodi kibao inachafua mazingira ila wanafungia bar kisa mziki.
Nimesikitika sana mzeeJohnnie Walker nasikia kiwanja chako kimefungiwa
Ndege nyingine itakamatwa ili kuwafidia wafanyabiasharaSerikali ikigikishwa mahamani na kudaiwa fidia Kwa hasara alizosababisha atalipa yeye?
Hawana 5m kweli??Nimesikitika sana mzee
Ujue mimi naona kuna figisu pale mziki ata ukiwa tips hausikii mziki wa wavuvi kempu hapo kuna mmoja kamchongea mwezio now days wavuvi ndio habari ya mjiniHawana 5m kweli??
Tuliwambia wakati wa Jiwe biashara za watu zinakufa mkasea aaah wapi hao ni wapiga deal.😄😄Mkuregenzi WA NEMC amezipa siku Kumi na NNE waliofungiwa bar kulipa Faini ya shillingi milioni tano la sivyo watazifutia lesini.
Mtumishi huyo WA umma ameyasema hayo Leo wakati akitoa taarifa Kwa vyombo vya habari. Hali hii inazidi kuonyesha namna ilivyo ngumu kufanya biashara Tanzania na ilivyo ngumu Kwa sekta binafsi kutoboa.
Wakati akitoa kauli hii hakuna sehemu alipoweza kufafanua
1. Waajiriwa katika bar hizi wataishi vipi?
2. Mapato ya bar husika Kwa mwezi ni kiasi gani?
3. Milioni tano akiambiwa yeye alipe anao uwezo wa kulipa?
4. Anapopanga kuzifutia leseni Kodi inayopotea itapatikana Kwa njia gani
5. Waliolipa Kodi ya biashara kwenye hizo bar mfano wenye leseni ya chakula ndani ya bar hizo ambao NI tofauti na mmiliki WA bar anaathirika vipi?
6. Serikali ikigikishwa mahamani na kudaiwa fidia Kwa hasara alizosababisha atalipa yeye?
7. Wakati wa ufungaji WA bar husika watu wa NEMC awakuweza kukusanya ushahidi WA makosa yaliyotendwa, je serikali ikitakiwa kuthibitisha hayo ataweza kulisaidia Taifa?
8. Nani aliyetoa leseni ya hizi biashara? Nini mtizamo WA taasisi nyingine?
Haya na mengine yalipaswa kutangulia faini lakini Kwa kuwa mfumo uliopo unatamani wanaojitegemea wasifanikiwe na wanaoiba kama walivyotajwa kwenye ripoti ya CAG wafanikiwe basi ..........
Matokeo yake Kwa mambo haya hakuna mchina wala muhindi wala hata mbongo serious ataweka pesa zake Tanzania ; wote watazitorosha kwenda kuzihifadhi nje.
Taifa langu Tanzania mnavyowatesa Watanzania sidhani kama mnaweza kuzitesa biashara za mabeberu hivi.......
Ikivuma Sana inakaribia kupasuka