Barabara ya Njia 4 Kibaha - Morogoro itakuwa na Tozo

Ahahahahah shaba moja kwa moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani kulikoni huyo mzabuni bora serikali ichukue tozo yenyewe. Sababu gharama ya kusafiria barabara kwa hizo kilometre inaweza kuwa ndefu kichizi. Ila bora ilimradi isiwe na matrafiki tu ambao ni kero namba 1
Extrovert,

US kuna barabara mtu kama wewe amejenga, let's say mtu anataka kwenda Airport JK nyerere, kufika JK Nyerere Airport kuna pathways tofauti tofauti.

Katika Pathways za kufika Airport kuna ambazo zina foleni na hazilipiwi- free of charge na zimejengwa na zimekuwa financed za serikali na mara nyingi ni ndefu na time consuming.

Another pathway nyingine unakuta sasa imejengwa na kampuni fulani au na mtu kawa wewe extrovert, hii pathway mara nyingi hainaga foleni, ni very fast, na the shortest one. Ukipita kwenye hii pathway lazima umlipe extrovert.

Kwenye issue ya tozo kwa wenzetu, hailipwi na watu wote. Wanaopenda kuokoa muda na gharama nyingine ndiyo hugharamikia pale wanapopita. Hazinaga mavizuizi yasiyokuwa na sababu.

Hii barabara ya kibaha to chalinze nadhan lazima watajenga expressway ili hili jambo liwe na tija.
 
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Godfrey Kasekenya amesema TANROADS imetangaza zabuni ya ujenzi wa barabara ya njia 4 kutoka Kibaha hadi Morogoro ambayo itajengwa kwa utaratibu wa Engineering, Procurement, Construct and Finance
Kwa tabia zetu watanzania na wapinzani,hizo barabara zitajengwa, na itakapofikia kipindi Sasa serikali inaanza kuchukua Tozo kwenye hizo barabara hili kurudisha ghalama alizotumia mkandarasi,utasikia wananchi watakuja kuanza kulalama mitandaoni kuwa tozo ziondolewe na blablaa kibao,na wapinzani nao watavalia njuga, na anaweza tokea miaka hiyo Rais mpenda Sifa za kisiasa akaondoa hizo tozo na mkandarasi akapata hasara au serikali,

Japo lengo Ni zuri Sana, kwamba tujenge kwa fedha zetu,japo tujaribu
 
kazikwe pembeni yake
 
Si mlisema kwamba jamaa ni mshamba 😂 mara ooh dikteta. Yule mzee alazwe pema peponi mazuri yake ni mengi kuliko udhaifu wa kibinadamu aliokuwa anasimangwa nao.
Kazikwe pembeni yake nawewe huende peponi mkuu, yaani serikali isifanye Jambo kisa huyo mungu wenu,,kubarini serikali inaongozwa na walio hai sio waliokufa
 
Kwenye miradi yoyote mikubwa ya umma, ni lazima public iwe engaged properly lasivyo hakutakuwa na sustainability.

Common understanding ya makundi yote katika jamii ni muhimu sana, na kupitia forum mbalimbali, hizi changamoto ni rahisi kuwa addressed.
 
Mhe. Silvester Koka, mmoja wa wabunge makini kabisa. Hii ni product ya Tambaza alikuwa mbele yangu akiwa na Dr. Mwinyi, Dr. Seche, na wengine wengi.
P
 
Mhe. Silvester Koka, mmoja wa wabunge makini kabisa. Hii ni product ya Tambaza alikuwa mbele yangu akiwa na Dr. Mwinyi, Dr. Seche, na wengine wengi.
P
Vp mkuu unaona hii project itawezekana kweli au Siasa tuu
STANDARD GAUGE Bado inasua sua
BANDARI KAVU KWALA Bado inasuasua
INDUSTRIAL PARK PWANI Hakuna kinachoendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Barabara yetu, iliyojengwa kwa kodi zetu, anapewa Mwekezaji aipanue halafu atulipishe tozo? Hao wawekezaji kwanini wasijenge mahighway yao wakaweka hizo tozo? Hizi zilizopo ni Interstate roads zetu, haiingii akilini kuwagawia wawekezaji
 
Maandalizi gani hayo wakati ndio kwanza tender inatangazwa?
 
Barabara yetu, iliyojengwa kwa kodi zetu, anapewa Mwekezaji aipanue halafu atulipishe tozo? Hao wawekezaji kwanini wasijenge mahighway yao wakaweka hizo tozo? Hizi zilizopo ni Interstate roads zetu, haiingii akilini kuwagawia wawekezaji
Watajenga mpya ndio watatoza hela, ya zamani inabaki vile vile ya bure.
 
Hii inatofauti gani na Ule ujenzi wa bandari Bagamoyo? Kweli viongozi wetu mnavhemka na badala ya kuwasaidia wananchi mnawakatisha Tamaa.
Badala ya kupunguza gharama za safari na masherehe ya kukimbiza mwenye na mikutano ya kuunda tume feki! Pesa za ndani zinatosha kujenga kwani mali ghafi nyingi tunazo.
Ardhi ni yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…