Baraza Jipya la Mawaziri 2020: Hizi ndizo kasoro kuu 3 ninazoziona

Unachotaka kusema hapa ni sawa na kusema hii mitaa yetu ya Rombo tuwe na mwenyekiti wa mtaa kutoka Kigoma. Dadaa mbona hujiongezi?
Huo ni ukabila nyie watu wa huko ni wakabila Sana , Ukija uku kwetu Mbeya mwenyekiti anatoka sehemu yoyote Ile ya Tz ili mradi anaishi kijijini kwetu,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu Waislam bara na visiwani msiwe mashaka. Mwenyezi Mungu yupo na atayajibu. Ila niwakumbushe mnawatu imara Sana pale juu kuanzia Jaji Mkuu, Waziri Mkuu na Mam Samia. Msimsahau waziri Jafo Ila Jaji Mkuu embu ndugu wa Islam msimsahau huyu Mh ktk Salah zenu mwekeni mbele za Mungu Jaji Mkuu wa Taifa. Hili. Amin
 
It seems ameteua watakaoitika amina kwa sauti nyingi zaidi pindi akianza vikao kwa sala ya bwana
 
Uctake kujidanganya ww mwenyew kashasema hapangiw???kwan mbna kipindi cha.nyuma hakukuwa na utofauti mkubwa huu unaoonekana???unadhn m/Rais au P/M ana ubavu wowote mbele ya mfalme???
 
Haina shida akiingia Raisi muislamu na yeye baraza lake la mawaziri litakuwa 80% waislam na 20% wakristo
 
Usinipangie!!
Usinichanganyie Battery Na Gunzi Hiyo Torch Sitaiwasha.
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
😁😂😅😄😃😃😀😁😂

"Mimi ni msema kweli"
 
Na huu ni ukwel mchungu ambao hawautaki
 
Amehakikisha wenye ambitions za Urais 2025 anawatoa. Wenye akili hapo mnajiongeza!
 
Kwenda kule..unamlalamika Nani jomba. Baraza linakuhusu Nini wewe subiri utekelezaji wa kazi na ilani ya chama..hata angeamua ateue watu 10, We subiri utekelezewe mahitaji yako..mambo mengine hayakuhusu..ndio maana waafrika hatuendelei kwa kuchimbua vitu very minor na kuacha vikubwa..mawazo ya kimaskini na kupanga kufeli tuu ndio tunafikiria...

Angalia unaanza kuleta udini hapa , kwani udini ndio unatekeleza ahadi zilizoahidiwa..mpuuzi kweli wewe.. hivi umesoma mpaka darasa la ngapi jomba.

.kwanini wewe usigombee Urais halafu ukateua na kufanya unayoyataka unataka kudandia kazi ya mwenzako....
 
Hebu tuache sera za udini, udini sio kigezo cha kumchagua mtu kushika nafasi fulani hao waliochaguliwa wana vigezo tosha kuliko hao unaofikiria walitakiwa kuchaguliwa na kumchagua mtu kisa ni dini fulani ni uvivu wa kufiri.
 
Tukianza kuangalia vigezo hivyo hakika hakutakuwa na teuzi.Maana ukimaliza ya udini na uzanzibari utakuja ya ukabila kusema baraza zima ni wachaga,wasukuma n.k ukimaliza hapo utakuja na baraza zima halina waziri kijana,mzee n.k kwa kifupi vigezo vyote vikizingatiwa ni mwanzo wa kupata watendaji wabovu na kigezo kikuu na cha muhimu kati ya vyote ni utendaji uliotukuka! Tukianza kuangalia vigezo vingine ni mwanzo wa kupata viongozi wasio na tija kwa taifa kisa tu kuzingatia swala la dini,uzanzibari,wanawake,umri n.k jambo ambalo litarudisha juhudi za taifa nyuma.
 
Kwa Islam mtanielewa, siku moja kabla ya uchaguzi Muft alikuwa Chamwino akifungua "msikiti" halafu huyo huyo aje akemee huu utezi kweli? Kwa hili Islam hatuna.mtetezi. kama kuna ambaye hajanielewa asinikurupukie
Kwann akemee uteuzi, kwani kigezo mojawapo ni dini? So far Serikali haina dini. Acheni mawazo potofu.
 
A very good calculated incident: Picha iko hivi,mawaziri wataapishwa pressure toka nje na ndani itaongezeka,serikali itavunjwa na uchaguzi ambao ni free and fair utaitishwa tena kabla ya miezi mitatu.
NI MAWAZO YANGU
 
Kasome vizuri katiba

Ikizungumzwa Cabinet, Naibu Waziri si sehemu ya Cabinet

Siwezi kukushangaa, wengi wenu mnadhan Naibu ni sehemu ya Cabinet
Lugha inakupa tabu?!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…