Tetesi: Baraza Kuu La CHADEMA linatarajia kukutana kwa dharura Kumjadili Mbunge Machachari (Joshua Nassari)

Tetesi: Baraza Kuu La CHADEMA linatarajia kukutana kwa dharura Kumjadili Mbunge Machachari (Joshua Nassari)

Mkuu naona unaandika utafikiri unaijua Arusha vizuri nikwambie tu kwamba unaowachukia ndio hao hao wamejaa kwenye utumishi huko nchini mkoa unakotoka ndio leo imepata shule ya Advance level wenzako hizo shule zipo kila kata .

Hii dhambi ya kubaguana unayopenda kueneza ni mbaya sana ebu ntajie mkoa ambao utaenda uwakose hao watu unaowachukia leo hii ? Hizo shule zenu za kata wamejaa walimu wa kutoka kwenye huo mkoa unaoichukia nikwambie tu kwamba uchumi wa Arusha unakuzwa kwa asilimia kubwa na hao watu unaowachukia . Nyerere aliona mbali sana. Mungu ibariki Tanzania , Mungu ibariki watu wale wanaochukiwa ata na rais kisa awakumchagua.. Amen
Pitia list ya watumishi wenye vyeti feki kwenye halmashauri Na utumishi wa umma iliyotolewa na wizara ya utumishi wakiwemo walimu wengi waliofoji wanatoka Kilimanjaro
 
Arumeru ni Ngome ya Nassari wanaolitaka ilo jimbo ndani au nje ya CDM walisahau hizi drama za madiwani ni siasa nyepesi sana. ..

Sent from my SM-N910H using JamiiForums mobile app
 
Mhh hao wanaosema kuwa kuna chama kinagharamia elimu yake si kweli hiyo ni scholarship alipewa na waUK wala hakuna chama cha kibongo hapo!

Ila wanasiasa wa kiafrika walio wengi kwa asili ni wachumia tumbo wala haitakuwa jambo la ajabu kama kuna chama kingine kimefika bei nae ni kawaida sana hiyo!
HATA.MACHALI WALIFIFIKA bei yuko wapi Zito yuko wapi Wachilia mbali Mrema na Cheyo
 
Mhh hao wanaosema kuwa kuna chama kinagharamia elimu yake si kweli hiyo ni scholarship alipewa na waUK wala hakuna chama cha kibongo hapo!

Ila wanasiasa wa kiafrika walio wengi kwa asili ni wachumia tumbo wala haitakuwa jambo la ajabu kama kuna chama kingine kimefika bei nae ni kawaida sana hiyo!
HATA.MACHALI WALIFIFIKA bei yuko wapi Zito yuko wapi Wachilia mbali Mrema na Cheyo
 
Kama ni kweli! Huyu dogo anapotea, wanaomhusu wamtafute, wampe ushauri.

Wasaliti wa Mapambano ya Haki hawajawahi kubaki salama hata kidogo.

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Yaweza kua kweli pia yaweza kua uongo kikubwa hapa in muda tu

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
mlimsema myika leo nasari nyie ma ccm hamridhiki na mambo ya maendeleo bado mnakalia umbea umbea vidole juu?

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Pitia list ya watumishi wenye vyeti feki kwenye halmashauri Na utumishi wa umma iliyotolewa na wizara ya utumishi wakiwemo walimu wengi waliofoji wanatoka Kilimanjaro
Weka hapa hiyo list ! Chuki binafsi zitakuua .
 
Binadamu mwenye ubongo unaofanya kazi kwa 45% tu hawezi kuunga mkono chadema
 
Baraza kuu la CHADEMA linatarajia kufanya kikao kizito cha kumjadili na Kuamua hatima ya Mbunge mwenye akili zaidi ndani ya chama hicho
Nyee ndio wapumbavu mnaojiona kuwa mna akili nyingi zaidi ya wazazi wenu waliowazaa,Nassary anakuwaje na akili nyingi kuzidi waanzilishi wa Chama na wanachama waliomtangulia kwenye Chama?.
 
Taarifa za Kichunguzi zinaniambia Nassari yu mbioni kuhamia chama hicho mwishoni mwa mwaka 2019 kuelekea Uchaguzi Mkuu,
Kwa nini ni mpaka kuelekea uchaguzi mkuu na siyo sasa?kwani Nassary akihama CHADEMA sasa na kuhamia Chama kingine na Chama hicho kikamsimamisha Kama mgombea wao ndio uchaguzi hautafanyika?halafu hamuoni kuwa Nasari ni binadamu Kama binadamu mwingine yeyote mpaka ijeifika muda wote huo siatakuwa ameshabadili nia ya kuhama CHADEMA?.
 
Ramli za kitoto namna hii haziwezi kutusaidia kujenga viwanda wala kukomesha mauaji ya watu wasio na hatia kibiti
Unategemea watu wapigane Kibiti halafu ukomeshe mapigano hayo kupitia jf? Wewe ndo zero kabisa
 
Nyee ndio wapumbavu mnaojiona kuwa mna akili nyingi zaidi ya wazazi wenu waliowazaa,Nassary anakuwaje na akili nyingi kuzidi waanzilishi wa Chama na wanachama waliomtangulia kwenye Chama?.
Waaanzilishi wana akili???? Mmmmm waliimba lowasa fisadi miaka 20 ghafla ndani Ya nusu saa wakamtangaza lowasa sio fisadi na kumpa ugombea uraisi mmmmmmmmm
 
Back
Top Bottom