Baraza Kuu la Waislam Tanzania latoa tamko kuhusu Mahakama ya Kadhi na Katiba iliyopendekezwa

Status
Not open for further replies.
Waislam ni sehemu ya Watanzania wanalipa kodi haki yao mambo yao kufanyiwa na serikali.

Ritz wewe ni:
msemaji wa Ikulu
msemaji wa CCM
msemaji wa waislam
Msemaji wa viongozi woooote Tanzania lazima wewe tu utoe matamko??? duh!
 
Hiyo Mahakama ilikuwepo tangu,
Suali ni je, nani aliiondosha....!?

Tuanze na hapo ndo penye KIINI, mangine yatatufika kirakhisi mno.

Ahsanta na tuendelee na Darsa.

Swali lako kaulize Bakwata!

Pili unaelimu dunia au haela?

Mwisho, tafuteni sources mablimbali za kipato kama jumuhiya then endesheni mahakama yenu.

Hiv mimi itanisaidia nini wakati ninayo yangu (Baraza la usuluhishi la ndoa/ Mahakama ya ndoa) inayoendeshwa na sadaka yangu bila serikar kuingilia, kwanini na nyie sadaka zenu msitumie kwa mahakama ya kadhi zaidi manaongeza wa.ke tu.
 
Wala sio bakwata ndio wametoa taarifa hii. Hawa ni siasa kali wenye mwelekeo wa kutaka dola ya kiislaam. Sijui akili yao haiwezi kuelewa kwamba nchi hii sio dola ya kiislaam. Wanataka kuweka sheria za dini yao kwenye mfumo rasmi wa nchi jambo ambalo wengine hatukubali. Huko zanzibar wanawake wanadhulumiwa haki zao kwa sababu za kuchanganya sheria za dini na za nchi. mpango uliokubaliwa ni kwamba kufuata sheria ya dini iwe hiari ya waomini na itasimamiwa na wao wenyewe sio dola kuingia gharama kusimamia sheria za kidini.
 
Wabara
Kama ilikuwepo kwenye sheria ni wazi kuwa iliwekwa na watunga sheria na iliondolewa na watunga sheria. Labda tujiulize sababu

Sasa twaenda uzuri,
Tuulizane nani aliiondosha upo hapo na tusiseme kwa ujumla tu ati kuwa watunga Sheria laa....!?
 

Ukiukubali uislamu hutakiwi kupingana na sheria za dini kwani ukipinga wewe si muislam kwani utakua unaenda against misingi ya dini na kitabu chake. Kuna mambo ambayo tayari yashawekewa jinsi ya kutoa maamuzi yake ambapo Mahakama ya Kadhi ndio suluhisho lake. Kwahio hili suala ni la waislam wote na sio wenye msimamo mkali
 
Sasa twaenda uzuri,
Tuulizane nani aliiondosha upo hapo na tusiseme kwa ujumla tu ati kuwa watunga Sheria laa....!?

Tangu uhuru Tz haijawahi kuongozwa kidikteta
 

Ni wazi waislamu wengi au wote wanataka iwepo. Ila wengi hswataki iwepo kwenye katiba. Ushahidi ni bunge la katiba
 
Hivi hawa wazee bado wanaamini CCM na serikali yake sikivu itwapatia Mahakama ya kadhi? Wonders never cease.

Ka
tika wachawi na wezi wa wa tanzania ni hawa viongozi wa dini. catholic, Prostant, Sabato, bakwata etc wako ki dili tuu no much to expect from e'm
 

1. Mahakama ya kadhi kwa faida ya nani?
2. Mahakama ya kadhi aanzishe nani?
3. Mahakama ya Kadhi kwa ajili ya nini?
4. Mahakama ya kadhi kwa gharama ya nani?
5. Civil court /civil law zimekwenda wapi?
6. Hukumu ya kadhi ikipingwa rufaa itakatwa wapi?
7. Anayepinga hukumu ya m/kadhi atafanywa nini? Kama kukamatwa atakamatwa na nani?
8. Mwislamu akizaa na mkristu,wakigombania mtoto kadhi akaamua mtoto afuate mzazi mwislamu Je mkristo akikataa kwa vile hatambui kadhi itakuwaje?
9. Kanisa katoliki lina mahakama inatumia canon law kwa mambo ya ndani ya kanisa,lakini haijawahi kuomba itambuliwe na serikari/haikuanzishwa na serikari/wala haiombi kuendeshwa na fedha za serikari!

Kwa sasa mahakama ya kadhi si habari,habari ni wizi/ufisadi/huduma mbovu za afya/elimu/ maji.

Lakini pia ,mnaweza kuanzisha mahkama ya kadhi hata kesho alfajiri nyie wenyewe na mkaendesha mtakavyo. Serikari inatambua dini,lakini haina dini.

 
Tangu uhuru Tz haijawahi kuongozwa kidikteta

Turejeze utamaduni wa HAKI penye ukweli tusigubikwe na kigugumizi.

Mekuuliza nani aliiondosha na kwa nini kuiondosha na je, pana mbadala wake uliekwa /alieka....!?
 
Kwa kuwa baraza limejiingiza katika siasa, kwa nini serikali isiiondolee dini status ya kuwa tax exempt?

Tax exemption ni levarage ya serikali dhidi ya taasisi za kidini katika masuala kadhaa, tatizo litakuja pale utakapoiondoa, ukakosa leverage kabisa juu ya taasisi hizi, ni vigumu kuzicontrol na zinaweza kusababisha madhara makubwa kwa serikali zilizoko madarakani!. Good option ni kunegotiate nazo!
 
Kweli watu hatuoni mbele yanayotokea somalia bado kisa dini sasa mahakama ya nn kueni name akili na ata kama ikitugwa sheria juu ya mahakama hiyo haitakwepa mtu coz ikitokea blasphemy lazima aliyehusika ata kama nikristu lazima aende kuhukumiwa kipagani .......na waislam ambao hawajabatizwa ka ndo ivyo bora isiwepo kabisa
Jifunzeni linalompata MARIAM wa Sudan kisa mahakama hii ambayo haijui utu
 
hapo kwenye red acha kigugumizi, sema tu CCM.
Cha muhimu hapa ni kuikataa katiba tuliyoandikiwa na kafiri CHENGE. Hayo mengine tutaongea baadaye.

Hapana si CCM, asiyejuwa maana haambiwi maana.
 

Mpaka baraza la waislamu kusema hivyo serikali ishakosa leverage, ikose leverage mara ngapi?

My question was based on principle, not Machiavellian politicking.

Religious institutions derive their tax exempt status from being religious institutions, once they politicize their wherewithal, why shouldn't they be taxed like everyone else?

cc EMT
 
Last edited by a moderator:
Reactions: EMT

Ukana...
Hayo yote uliyouliza yalishatolewa majibu siku nyingi tena serikalini...

Inaelekea huna ujuzi na unachotaka kukujadili.
Fanya utafiti utakuwa katika hali nzuri ya kufanya mjadala wenye maana.
 

Wachana na porojo za Ndanda, hapa mjadala si Ndanda.
 
Hivi ndugu zetu waislam hamna jambo lingine la kuwaza zaidi ya kadhi?? Yani mnataka.kutuambia kadhi ndo kikwazo cha maendeleo yenu au kiaje???
Mnataka kutuongezea mzgo tu eti kodi za serikali zitumike kugharamia mahakama ya dini moja.. Huu upuuzi hauwezekan labda huko.dubai. Syo Tanzania....
 
Hapa kimenuka nga nga nga! Mgogoro mwingine huu wa hiyo Katiba ya Chenge.
Ova
 
Bado hujajibu, kwa nini umenitukana? Sidhani kama Mtume unayempigania angelinijibu majibu ya matusi! Jitafakari tena na Uislamu wako kama unatimiza unavyokutaka

wewe ndo ujitafakari, si lazima kuchangia hapa kama huna hoja kwenye jambo la msingi, comment yk ya kwanza uliudharau uislamu na kubeza Mahkama ya Kadhi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…