tetere
JF-Expert Member
- Dec 3, 2006
- 963
- 431
Tetere,
Baraza hili si BAKWATA...
Soma tena tamko kwa uangalifu...
Hayo mengine mie sina haja ya kuyasemea labda wengine watakujibu.
Mohammed, wewe waone hivyo hivyo unavyotaka kuwaona. Suala la mahakama ya kadhi ni kitendawili kuliko unavyodhani. Na BAKWATA wana SHUGHULIKIA kuhakikisha kuwa lengo halifikiwi. Tatizo liko hivi:
1. Lengo la mahakama ya kadhi haliko wazi
2. Nia haiko wazi
3. Mkakati na mipango ya kufikia lengo ni vurugu, dhaifu na imejaa rushwa
4. Waislam hawawezi kufikia lengo wakati kuna waislam wanaSHUGHULIKIA lengo lisifanikiwe kwa kula rushwa, kushibishwa matumbo yao na tamaa zao, kwa dhuluma!