Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uaskofu Kaniisa Katoliki siyo njugu .Huwa najiuliza sana kwa nini Kitima hapewi uaskofu?
Kwani wewe baba yako huwezi kumpa heshima ya uheshimiwa?Hadi mapadri siku hizi wamekuwa"waheshimiwa"! Kazi kwelkwel
CCM! CCM! CCM! Rais huchaguliwa kwa kura ya siri kwa kipindi cha miaka 5, ikiisha anachaguliwa tena kwa kipindi kingine cha miaka 5, basi. Rangi zao ni rangi za Yanga. CCM! CCM! CCM!Wanabodi,
Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania katika mkutano wake Mkuu wa 77 uliofanyika makao makuu Kurasini kuanzia tarehe 21-25 Juni 2021 walifanya uchaguzi wa Viongozi watakaosimamia wa shughuli za baraza katika miaka mitatu ijayo kuanzia 2021 mpaka 2024
- Baraza limemchagua Mhashamu Askofu Mkuu Gervas Nyaisonga kuwa Rais wa Baraza kwa awamu ya pili
- Limemchagua Mhashamu Askofu Flavian Kassala kuwa makamu wa Rais kwa awamu ya Pili
- Limemteua Katibu Mkuu, Padre Charles Kitima kwa awamu ya pili
- Limemteua Mheshimiwa Padre Chesco Msaga kuwa naibu mkuu wa Baraza kwa kipindi cha miaka mitatu
MnafikiHuwa najiuliza sana kwa nini Kitima hapewi uaskofu?
hawana ukomo wa madaraka- kwa nini warudie wao tu- nawe unatoa hongeraOngereni sana kanisa katoliki la roma
Katiba ina ruhusu awamu mbili za miaka 3 sheehawana ukomo wa madaraka- kwa nini warudie wao tu- nawe unatoa hongera
Kazi iendelee. Hawa TEC mambo yao yako systematic..huwasikii wakifanya siasa nyingi,wakigombania vyeo. Imenikumbusha wale wa ELCT,ilikuwa ngumi mkononi.. Tujifunze
Itabidi ibadirishweKatiba ina ruhusu awamu mbili za miaka 3 shee
Leo ndiyo umejuwa mkuuMh Padre Kitima? Mh aisee
MAPADRE NI WENGI MNO TZ, NA MAJIMBO NI MACHACHE MNO "every priest is possible candidate " THOSE WITH MERITS
UASKOFU SIO UJI ,AU ASALI KWAMBA KILA MTU AONJE/ARAMBE...[emoji2357][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2]
By the way mchakato wa kumpata ASKOFU sio rahisi kama unavyofikiri!
Kitima ni Intellectual anapaswa kutumiwa effectively na Kanisa katoliki.
Kumpa uaskofu anakuwa limited!
Mengine ni MAMBO YA CHUMBANI...
we Ishia hapa sebureni PANAKUTOSHA.
Tuachie wenyewe tuliopo KANISANI.
Naona umejaza MBOJI/SAMADI kichwani kwako,Pole sana KUBWA LA MAKUBWAJINGA 🤣🤣🤣😃😃Chumbani ni Vatican sio huko Buza kwa mpalange.
HahahahahahaOngereni sana kanisa katoliki la roma
Wewe si ni msenge wa jelaMBONA UNA GUBU wewe DADA?
"upo kwenye siku zako"???🤣🤣🤣
Mimi mwenyewe ni Mkatoliki, lakin kumuita padri muheshimiwa hapana. Waitwe tu baba. Uheshimiwa tuwaachie wanasiasa.Kwani wewe baba yako huwezi kumpa heshima ya uheshimiwa?
Wale ni wageshimiwa ndio.
Au mbunge musukuma kwako ndio muheshimiwa?
Alimnyoosha Heche kweri kweri pale SAUT!Kwa Katibu Mkuu wamepatia maana siyo muoga yule
Hivi vyeo vya uheshimiwa ni mbwembwe tu, yaani mtu mwenye PhD amwite kibajaji na msukuma waheshimiwa na elimu yao ya kwenda kuvulia samaki feri.....si bora hiyo title umpe padri maana anayo madini ya kutosha kichwani.Mimi mwenyewe ni Mkatoliki, lakin kumuita padri muheshimiwa hapana. Waitwe tu baba. Uheshimiwa tuwaachie wanasiasa.
Mtumishi wa Mungu unamwita muheshimiwa? Mbona kwenye biblia hatujaona Elisha na Eliya wanaitwa waheshimiwa na wamefanya mambo makubwa sanaHivi vyeo vya uheshimiwa ni mbwembwe tu, yaani mtu mwenye PhD amwite kibajaji na msukuma waheshimiwa na elimu yao ya kwenda kuvulia samaki feri.....si bora hiyo title umpe padri maana anayo madini ya kutosha kichwani.