ikisimama panda
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 2,716
- 2,388
Binafsi natamani watu kama kina Bashiru (Team JPM) aendelea kuwaacha nje ya mfumo, aendelee tu na akina Makamba et al, kuna kitu nataka kujifunza.Akimrudisha Dr Bashiru atakuwa kala bingo. Kwa nini? Ni kwa sababu Dr Bashiru ni kama alivyo Polepole, hao ni asset na ndiyo wanaoonekana na ku reflect Dkt Magufuli na falsafa zake. Akimleta ndani ya mfumo Dkt Bashiru maana yake ataua upinzani ktk kukipata kiti cha 2025 na pia Dkt Bashiru ni mwenye msimamo hata lamba asali ya Mama maana yake ata balance
Code inasukwa kweli kweli mnaogopa nini?Amekosea nini mapero
Ikulu inaendeshwa na rimoti toka msoga🤣no msoga gang no govt 🏌️🏊🏂🤺Tujiunge na wenzetu waliopo Msoga ili kukuletea matangazo ya moja kwa moja...
Ila ntakuwa wa mwisho kuamini kuwa Kipara ataondolewa kwenye Cabinet!
Kuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbalimbali
Je, BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
2025 maandalizi mapemaKuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbalimbali
Je, BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
Mawaziri aliwateua mwenyewe, anayo kila haki kuwabadilisha aonavyo na wakati umfaao.Kuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbalimbali
Je, BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
Kuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbalimbali
Je, BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
Mbususu ya mamayoKwani amewaibia nn haswa?!!! Mbususu za wake zenu?!!
Watu wale wale, Chama kile like na wezi ni wale wale!Tatizo sio kubadilisha watu tatizo ni kudeal na mfumo
Hizi nguvu angezitumia kuboresha Sheria na kuleta katiba mpya
Watanzania ni wale wale tu wote weziwezi na wajanja wajanja!!
Nchi ya watu wa hovyo!!!.
Haya mkuu wangu hayakwepeki Sikukuu hizi zikiisha zinaweza acha mtu analia,Mkuu britanicca heshima kwako.
Kwanini umetumika kumzuia au kumchelewesha Mh. Raisi kufanya mabadiliko ya Baraza Mawaziri kwa wakati ili kuleta tija kwenye taifa letu? Mkuu britanicca kwa ninavyokufahamu kupitia mabandiko yako ni dhahiri wahusika uliowataja wamekutumia uvujishe siri za kilichopo "pipeline" ILI wabadiliko yasifanyike?
Pole kwa usaliti wako kwa Taifa la Tanzania
🤣🤣🤣🤣HaiwezekaniTujiunge na wenzetu waliopo Msoga ili kukuletea matangazo ya moja kwa moja...
Ila ntakuwa wa mwisho kuamini kuwa Kipara ataondolewa kwenye Cabinet!
Hiv zile za "niko kwenye kamati ya uteuzi,Jina lako linasemwa semwa.unaweza kujiongeza ili lithibitishwe"Kuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbalimbali
Je, BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
Hee, toka lini kubadilishwa ikawa out!
Una wiki hii na ijayo kujibu.
Sikukuu hizi zikiisha
Haya, twasubiri....Mama asubiri bajeti ipite ndo afanye Mabadiliko.
Afanye asifanye ndo itabadilisha niniKuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbalimbali
Je, BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
Kama Samia hatakuwa amejifunza,itakuwa bad luck for her.Ushauri wangu kwake wa bure ni huu:anybody affiliated to Kikwete in any way or form ni fisadi in some way,aachane naye,watu wazuri wapo.Kwa bahati mbaya sana,nadiriki kusema amezunguukwa na wahuni na mafisadi,watu ambao nia yao ni kumharibia na kuiibia nchi.Kuna source yangu Muhimu huenda nami nashiriki, niiweke ilivyo Mama Samia ambaye ni Rais wa Tanzania atafanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na cha kufurahisha kuna sekta kazigusa
Zaidi ya Mawaziri 5 watabadilishwa,
Makatibu wakuu 7 watabadilishwa
Na wakurugenzi mbalimbali
Je, BASHIRU anarejea kivingine ?
Tu subiri week hii na ijayo
Britanicca
ikisimama panda twendeBinafsi natamani watu kama kina Bashiru (Team JPM) aendelea kuwaacha nje ya mfumo, aendelee tu na akina Makamba et al, kuna kitu nataka kujifunza.
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app