Baraza la Mitihani lakanusha Mtwara kushika nafasi ya mwisho matokeo kidato cha nne, yataka wananchi kupuuza taarifa hizo

Baraza la Mitihani lakanusha Mtwara kushika nafasi ya mwisho matokeo kidato cha nne, yataka wananchi kupuuza taarifa hizo

Basi kama ndo hivyo.... Kutakuwa na makunyanzi makubwa na mengi ndani ya NECTA......
 
..mkoa ulioshika nafasi ya mwisho ni upi?

..lazima viongozi wa mkoa huo wawajibike.

..infact, viongozi wote ambao mikoa yao imefanya vibaya ktk mitihani ya kitaifa wawajibishwe.
 
Watakuwa wakisha type huwa wanakimbilia tu habari maelezo kutoa taarifa, hawafanyi proof reading!.

Sasa watuambie hizo shule zimetoka sayari ya Mars, au nayo itakuwa inasingiziwa na "mitandao", basi tufanye Jupiter kwasababu ndio kubwa zaidi.
napenda maneno Haya," proof reading,copy &paste,overlook"jina linarudiax 196.aibu
 
..mkoa ulioshika nafasi ya mwisho ni upi?

..lazima viongozi wa mkoa huo wawajibike.

..infact, viongozi wote ambao mikoa yao imefanya vibaya ktk mitihani ya kitaifa wawajibishwe.
Kuwa wa mwisho haimaanishi kwamba mmefanya vibaya.

Hata shule zote zikifanya vizuri bado atakuwepo wa kwanza na wa mwisho!
 
Baraza la mitihani nchini NECTA limekanusha taarifa zilizozagaa mitandaoni kwamba mkoa wa Mtwara umeshika nafasi ya mwisho matokeo ya kidato cha nne.

Necta imewataka wananchi kupuuza taarifa hiyo kuwa shule 9 kati ya 10 zilizoshika nafasi za mwisho (umbwigi) zinatoka mkoani Mtwara.

Source: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!

===
NECTA YAKANUSHA SHULE MTWARA KUBURUZA MKIA
Baraza la Mitihani nchini (NECTA) limekanusha taarifa za kuwa shule tisa kati ya kumi zilizoburuza mkia katika matokeo ya kidato cha nne ya mwaka jana zinatoka Mkoa wa Mtwara.

Taarifa iliyotolewa na Afisa Habari na Uhusiano wa baraza hilo, John Nchimbi imebainisha kuwa taarifa hizo zililenga kuuchafua mkoa huo na kuwaomba wananchi kuzipuuzia taarifa hizo.

“Baraza linapenda kuujulisha umma kuwa taarifa hizo ni za uongo na zinalenga kuupotosha umma, kuleta taharuki na kudhalilisha Mkoa wa Mtwara.” Amesema Nchimbi

Nchimbi amefikia kutoa kauli hiyo mara baada ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa mapema hii leo kulitaka baraza hilo kutoa ufanuzi juu ya taarifa hiyo.

Taarifa: habarileo_tz
Huu ni upumbavu wa hali ya juu.
 
Baraza la mitihani nchini NECTA limekanusha taarifa zilizozagaa mitandaoni kwamba mkoa wa Mtwara umeshika nafasi ya mwisho matokeo ya kidato cha nne.

Necta imewataka wananchi kupuuza taarifa hiyo kuwa shule 9 kati ya 10 zilizoshika nafasi za mwisho (umbwigi) zinatoka mkoani Mtwara.

Source: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!

===
NECTA YAKANUSHA SHULE MTWARA KUBURUZA MKIA
Baraza la Mitihani nchini (NECTA) limekanusha taarifa za kuwa shule tisa kati ya kumi zilizoburuza mkia katika matokeo ya kidato cha nne ya mwaka jana zinatoka Mkoa wa Mtwara.

Taarifa iliyotolewa na Afisa Habari na Uhusiano wa baraza hilo, John Nchimbi imebainisha kuwa taarifa hizo zililenga kuuchafua mkoa huo na kuwaomba wananchi kuzipuuzia taarifa hizo.

“Baraza linapenda kuujulisha umma kuwa taarifa hizo ni za uongo na zinalenga kuupotosha umma, kuleta taharuki na kudhalilisha Mkoa wa Mtwara.” Amesema Nchimbi

Nchimbi amefikia kutoa kauli hiyo mara baada ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa mapema hii leo kulitaka baraza hilo kutoa ufanuzi juu ya taarifa hiyo.

Taarifa: habarileo_tz
Matokeo haya hayana tofauti na Uchafuzi Mkuu. Hivyo Tanzania tunaweza nini? Kila kitu ni hovyo!
 
Hivi hao NECTA walilipa posho za wasahishaji maana kuna mmoja alifungua uzi humu akilalama....isije ikawa wame copy na ku paste. Wabongo tupo vizuri sana kwenye hizo angle, copy and paste...yaani kiulaini tu.
Ha ha ha ha kwamba hawakulipwa au ipo wapi hyo nyuzi
 
Nimeamua kufanya fact check ili kujiridhisha na hiyo orodha uliyoiweka hapo juu (iliyosambaa mitandaoni).

Niliyokutana nayo huko ni yafuatayo;-

Kwa mujibu wa matokeo rasmi ya kidato cha nne mwaka 2020, shule hizo zinashika nafasi zifuatazo kitaifa.
1. Chingungwe 669 kati ya shule 986
2. Lukokoda 739 kati ya shule 986
3. Malocho 3894 kati ya 3956
4. Naputa 2505 kati ya 3956
5. Chanikanguo 3563 kati ya 3956
6. Mtiniko 3250 kati ya 3956
7. Michiga 2123 kati ya 3956
8. Msimbati 3500 kati ya 3956
9. Salama 3784 kati ya 3956

Sasa hata kwa mtu ambaye si mtaalamu sana wa hisabati au takwimu, ni vigumu sana kusema hizo shule tajwa ni shule kumi za mwisho kitaifa.

Source: https://matokeo.necta.go.tz/csee2020/csee.htm

Kuna watu tunaweza kuwa tunawaonea hapa.
Yaaan ukizama kwenye matokeo yao tu nafasi ipo kimkoa na kitaifa yaaan. Watu wala hawajiongezi
 
Baraza la mitihani nchini NECTA limekanusha taarifa zilizozagaa mitandaoni kwamba mkoa wa Mtwara umeshika nafasi ya mwisho matokeo ya kidato cha nne.

Necta imewataka wananchi kupuuza taarifa hiyo kuwa shule 9 kati ya 10 zilizoshika nafasi za mwisho (umbwigi) zinatoka mkoani Mtwara.

Source: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!

===
NECTA YAKANUSHA SHULE MTWARA KUBURUZA MKIA
Baraza la Mitihani nchini (NECTA) limekanusha taarifa za kuwa shule tisa kati ya kumi zilizoburuza mkia katika matokeo ya kidato cha nne ya mwaka jana zinatoka Mkoa wa Mtwara.

Taarifa iliyotolewa na Afisa Habari na Uhusiano wa baraza hilo, John Nchimbi imebainisha kuwa taarifa hizo zililenga kuuchafua mkoa huo na kuwaomba wananchi kuzipuuzia taarifa hizo.

“Baraza linapenda kuujulisha umma kuwa taarifa hizo ni za uongo na zinalenga kuupotosha umma, kuleta taharuki na kudhalilisha Mkoa wa Mtwara.” Amesema Nchimbi

Nchimbi amefikia kutoa kauli hiyo mara baada ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa mapema hii leo kulitaka baraza hilo kutoa ufanuzi juu ya taarifa hiyo.

Taarifa: habarileo_tz
Tunaomba necta watoe jedwali la shule 10 la mwisho kama wanavyofanya miaka yote, tujue mbivu na mbichi
 
Tunaomba necta watoe jedwali la shule 10 la mwisho kama wanavyofanya miaka yote, tujue mbivu na mbichi
Kesho kila kitu kitawekwa hadharani!

Kuna mkoa huko kaskazini utawashangaza wengi!
 
Back
Top Bottom