Barmaid amenisimulia 'take home' yake kwa mwezi na maisha anayoishi mpaka nimejiona fala na degree yangu Halmashauri

Iv ukiwa na mwanao unamshauri kazi kati ya uwalimu na ubar medi utamwambia afanye kazi ipi inamasilahi
 
Ushauri rahis tu acha kazi halmashauri then nenda kawe
bar med from there ungekuja na uzi "niliacha kazi halmashauri nikawa bar med sasa nimefanikiwa hivi na hivi.
Lkn hizi story unazotoa ni Sawa na umbea tu, utaulizwa maswali juu huo ubar med utashindwa kujibu
 
Kumbuka kuwa
1.hakopesheki na taasisi kubwa
2.hana Bima ya afya
3.hana CV
4.anadanga
5.akiumwa hapati pesa
6.hana Mfuko wa jamii
Yote hayo tija yake ni ndogo sana 1.Unaposema kua hakopesheki sio kweli,2.Bima sio kwa wafanyakazi tu Bali hata mkulima au msukuma tololi anaweza kua na bima,3 CV haina faida yoyote kama hauna chapaa 4.Kudanga ni Tabia ya mtu maana wapo waajiliwa wengi tu na Wanadanga
 
K inakipato kizuri ,huyo kakudanganya anauza k tu
 
Ivi vyote akivitaka anavipata
What iz matter iz understanding
 
Kuna vitu vingine ukifikiria sana mkuu utaishia kutafunwa tu kalio.. kubali hali yako, kila mbuz anakula kwa urefu wa kamba yake
 
Sishangai yeye kulipwa pesa ndefu kuliko wewe, kama na elimu yako yote unakuja kutuandikia bar mad, alafu kuonyesha kua sio typing error umerudia mara mbili. Hahaha! muwe mnagoogle basi kitu ambacho hamjui kabla ya kukiandika. Wanaitwa "barmaids" sio bar mad.
 
Achana NA barmaids
Tufanye car wash naingiza 40000 per day na naowaoshea magari wananilipa 3000 @ car nikiosha 15 NA zaidi ya 40 elfu hadi wengine wakat nawaludishia chenyi wakiziona elfu 10 10 wanaona wivu
Utasikia unajua dogo unapiga ela kunizidi !!!

Wengine wananichana laivu unajua dogo sioshi gali kila siku sbb per day naingiza elfu 15 kulingana na mshahara wangu
Sio siri kuajiriwa sio issues
Let change our mindset
 
Hana security, hilo neno lina maana kubwa sana, fanya kazi uliyopangiwa na Mungu, fanya kwa mapenzi yake siyo mapenzi yako.
Watu wengi hamjui kwamba Mungu aliumba mbingu na nchi zikaliwa kwa mapenzi yake, ukweli fanya kwa mapenzi yako uone shida na taabu zinavyokuhangaisha.
Kwa kuwa wengi hatuna maawasiliano na Mungu so huwa tunafanya kwa mapenzi yetu, hyo degree umepewa uitumie kwa matakwa yake.....wengi hamjanielewa hahaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…