Barua kwako Rais Samia Suluhu Hassan

Ukifuata ya mitandaoni ya watumia fake ID's utapasuka kichwa ,hawana jema hao,kinachotakiwa Rais afanye kazi yake kwa haki na weledi bila kuangalia anamchukiza au kumfurahisha yoyote yule
 
Kwani aliye mshika nani?
Mtaje ili wote tumzomee!
Ima una agenda yako mfukoni??

Mkuu Mgen,

Last week jukwaa lilichafuka hili KWA tuhuma chafu baada ya mama kuwateua waislam kama wanne hivi Kati ya watu nane,

Huo uz mods waliufuta,SASA juz hapa kawateua nyinyi pekee na hatuwaskii wakizozaa,na sisi tunawaulizaa je SASA mumefurahiiii wenyewe hapo eeeeh??!!..

Kana kwamba hao waislam wanaoteuliwa siyo watanzania??achen roho mbaya tujenge nchii, chuki siyo mpangoo
 
Mahaba yamekupofua hadi huoni LA dhara wala maskhara!
ww umejuaje hao wanao hemka ni Wakristo??
weka ushahidi!
Isije ikawa ni power stragglers wanatumia mwavuli wa deen!
 
Kuna mijitu mingine mipumbavu sana ukiwemo wewe.Wengine tunasikiaga na kuona rais amemteua mtu fulani lakini hatuna muda wa kufuatilia majina na dini.Hivyo vitu vinatusaidia nini katika kuleta maendeleo.Wewe mwenyewe ni mdini nambari moja.Basi wawe wanachagulia watu wasio wa imani yoyote ili mfunge hiyo midomo yenu mikubwa
 
Hebu acha ujinga bro!
Umejuaje hawa ni Waislamu na hawa ni Wakristo!?
 
Kama Rais atatenda haki hana haja ya kujibu lalamiko lolote! Kwa vyovyote vile hataweza kufurahisha kila mtu!
 
Umejuaje hao walio chafua Jukwaa ni Wakristo??
Ona unavyo jichanganya! Muumini Mkristo Ameagizwa mke mmoja [emoji106]
Mimi mgen Nina Majiko.2
Kwa nini unaniita Mkristo?!
 

Mkuu, mimi nashukuru sana kwa kuanzisha mada kuhusu waislamu bila uoga.

Wapo baadhi ya waislamu humu humu wakijifanya waumini wakweli kumbe waislamu jina, hawawezi kuja kuunga mkono hoja yako, alakini tembelea majukwaa ya siasa, mahusiano, michezo, udaku n.k utawakuta huko wakichangia, lakini hoja za msingi kama hizi zinazohusu waislamu tunavyofanyiwa na hawa jirani zetu hawaonekani hawa ndugu zetu. Refer, Afande sele alivyomtukama Mwenyezi Mungu, baadhi ya waislamu wakawa upande wake, na kuwalaumu kishki na mazinge, nimeshuhudia mmoja amekomenti "KISHKI NI MNAFIKI" aliecoment ni muislamu, tena wa humu JAMII FORUM, je ingetokea huyo huyo afande sele amtukane YESU mambo yangekuwaje!!!!!

Refer, masheikh wa UAMSHO, wapo baadhi ya waislamu hawasapoti kuachiwa masheikh hawa, very sad! Na ndio waislamu wenzetu wanathubutu kufanya ivo na kuwapa faida wasio waislamu. Pumzi inawahadaa, vyeo walivyonavyo vinawapa kiburi na kujiona dunia yote ni yao, wanasahau kuna umauti mbele yao. Allah atustiri
 
Umejuaje hao walio chafua Jukwaa ni Wakristo??

Wewe unadhan watakuwa ni kina nan KWA mfano,

Waislam waje jukwaani kulalamikiwa kuwa mama SAMIA anateua KWA kuwapendelea wao?

After all,tusitoke nje ya nada hii ni Letter to madam president,hakuna Tena kusikiliza kelele za malalamiko ya udini,

Aachwe afanye kazi
 
Kama Rais atatenda haki hana haja ya kujibu lalamiko lolote! Kwa vyovyote vile hataweza kufurahisha kila mtu!

Ni kweli,hataweza mfurahisha yeyote yule.

Ila na hawa jamaa zetu,wawe na aibu bbasi,wanataka kupendelewa KWA kigezo gan na wao ndiyo wamejaa huko serikalin
 
Maada kana hizi ni chukizo ungebaki nalo tu moyoni, mi hata sikujua kuw kuna jambo kama hilo, sasa nimejua,
 
Ni kweli,hataweza mfurahisha yeyote yule.

Ila na hawa jamaa zetu,wawe na aibu bbasi,wanataka kupendelewa KWA kigezo gan na wao ndiyo wamejaa huko serikalin

We jamaa ni Lipuuzi limojaa ivi hujijui tu,

Allah akbar
 
Shauri maswala ya Msingi, sio huu utumbo wa kipuuzi, unatuharibia mfungo bhana

Haya tunayoyazungumza ndiyo mambo yenyewe ya msingi,

Wewe unayaona siyo ya msingi KWA kuwa hayana umuhim kwako na infact yanakuumiza,we want you to take this and deliver to your fellows that,mama aachwe afanye kazi,hatutak malalamiko yasiyo na msingi
 
Maada kama hizi hazitujengi Waislam, nitakaa out usjari, lkn maada yako hii haina afya katika ustawi wa Taifa Lako.
 
Hat hao Wa upande mwingine wowote wale wenye fikra kama hizi, hamlisaidiii taifa, hayo ni Majungu majungu na upuuzi tuu
 

Mama hana shida, wewe ndo umejiweka kimbele mbele kumshauri, Mama tayari anawashauri wake, huo ushauri wako hata hahitaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…