SMART GHOST
JF-Expert Member
- Feb 3, 2020
- 2,657
- 10,356
Huyu mwamba ilimbidi avujishe video akimbandua yule malaya kuonyesha kwamba haikua ubakaji, aliridhia!Kwa mfano ishu ya mendy wa man city mwisho wa siku jamaa hana hatia. Ila inamgharimu performance yake
Ndio ilikua ponea yake. Kesi za hivyo tena ukiwa black kuchomoka salama ni nadra sana.Huyu mwamba ilimbidi avujishe video akimbandua yule malaya kuonyesha kwamba haikua ubakaji, aliridhia!
Ila naona blacks hawajifunzi. Kwa kiasi kikubwa, wao ndio wanakuaga target ya hawa gold-diggers. Ila hawashtuki.Ndio ilikua ponea yake. Kesi za hivyo tena ukiwa black kuchomoka salama ni nadra sana.
Kuna vishawishi ni vigumu kuchomoka ila kwa yanayoendelea kutokea inabidi wajifunze kuzuia tamaa za kingono. Maana ndio wanapotegwaIla naona blacks hawajifunzi. Kwa kiasi kikubwa, wao ndio wanakuaga target ya hawa gold-diggers. Ila hawashtuki.
Pumbavu wewe, nani alikuambia mke uleta faraja kwa mwanaume?Mwamba anapitia magumu alafu na mke nae anazidi kumuongezea ugumu wakati alipaswa awe faraja yake.
Pumbavu mwenyewe, toa ushauri sio matusi.Pumbavu wewe, nani alikuambia mke uleta faraja kwa mwanaume?
Bado nadhani Kwa heshima ya baca anataftiwa pakotokeaMwamba sijui kapigwa nyundo ngapi huyu
Ne-Yo ana case ganiBut huez jua , jamaa pia waga ana ego flani hivi huko ndani itakua ndio balaa huoni pia case ya Ne-Yo?
Ila na wao wanapenda kuoa mademu wa kizungu ndo mana wanawatumia hamna mzungu anaipenda kuoa mweusi ujue anakutumiaKwa mfano ishu ya mendy wa man city mwisho wa siku jamaa hana hatia. Ila inamgharimu performance yake
Bongo ina mademu kushinda Brazil kumbeaje bongo akitoka jela,mademu kibao
Mke huleta nini kwa mume??Pumbavu wewe, nani alikuambia mke uleta faraja kwa mwanaume?
Wanafuata umaarufu kwa blacks ambao wana pesa na jina.Ila na wao wanapenda kuoa mademu wa kizungu ndo mana wanawatumia hamna mzungu anaipenda kuoa mweusi ujue anakutumia
๐ mke anadai talaka, si angeendelea kutulia kesi iishe kwanza, kuna kamchezo kachafu kalifanyikaYani mtu kacheat lakini lawama anatupiwa mke๐๐๐aisee hii ndo Afrika,
Kwenye suala la cheating, mwenye maamuzi ya kusamehe, kuendelea au kuachana ni la yule aliyesalitiwa, na uzuri wenzetu wana sheria kali, acha alipie matendo yake
Alves amekiri kuchepuka ila kwa makubaliano, mke hana lawama kwenye hili,๐ mke anadai talaka, si angeendelea kutulia kesi iishe kwanza, kuna kamchezo kachafu kalifanyika
Sawa ngoja tuone yataishaje haya ila wazungu na kesi za ubakaji kuchomoka ni shughuli pevu.Alves amekiri kuchepuka ila kwa makubaliano, mke hana lawama kwenye hili,
Mi naona kapata alichotafutaSawa ngoja tuone yataishaje haya ila wazungu na kesi za ubakaji kuchomoka ni shughuli pevu.
Ajali kaziniMi naona kapata alichotafuta